Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
Wewe na akili zote mkuu na kusoma kwako kote na maarifa yote Mungu amekupaNdio hapo Sasa
Yanga omba omba hela watoe wapi ?
Si mnaona mpaka wameporwa na Simba mchezaji pale airport
Simba inajipa pressure bure
Huyo scars likija swala la simba yeye akili anazificha kwa matakoOna sasa umehamia kwenye mipasho na taarab, badala ya kujadili mada iliyoko mezani.
Sisi tunazo, nyie hamnazoKwahio unahisi yanga hawana hela
Simba mnazo
Wewe kichwa umeweka kuwa mfuniko wa mwili
asa we umeona chama nae mchezaji wa maaaana mpk utumwagie povu lote hilo,na usajili wote ule mliofanya bado mnamuwaza chama tu!!!Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .
Sijaridhishwa na namna wanavyotaka kumchukua Chama , huu ni ubabe wa kijinga sana , badala ya kupambana huko nje wao wanaamua kubomoa ndani , hii haikubaliki kabisa .
Siku sisi Tukiamua kujibu mapigo wasije kumlilia mtu .
hivi lile sakata la morisson kutoka yanga kwenda Simba lilikuwaje vile!?,Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .
Sijaridhishwa na namna wanavyotaka kumchukua Chama , huu ni ubabe wa kijinga sana , badala ya kupambana huko nje wao wanaamua kubomoa ndani , hii haikubaliki kabisa .
Siku sisi Tukiamua kujibu mapigo wasije kumlilia mtu .
Tushazoea huu utopolo.Kitendo cha kishamba cha timu ya Yanga kuanza kurubuni wachezaji wa vilabu vingine vya Tanzania kwa njia za giza , kitachochea vurugu kwenye soka na kudumaza ligi yetu .
Sijaridhishwa na namna wanavyotaka kumchukua Chama , huu ni ubabe wa kijinga sana , badala ya kupambana huko nje wao wanaamua kubomoa ndani , hii haikubaliki kabisa .
Siku sisi Tukiamua kujibu mapigo wasije kumlilia mtu .
[emoji23][emoji23][emoji23]Unafumua shono kabisa!.Kwani si tulikubaliana mchezaji akitaka kuhamia timu nyingine anaweza kununua mkataba wake na kuondoka! Yaani kama alivyotaka kufanya Fei Toto kipindi kile!!
Sasa unataka tukae mezani kufanya nini tena?
Toto Kalpana![emoji39][emoji39][emoji39]Sisi ni wakuuuuuuubwaaaaa
Unaloliwaza haliwezi kutokea.Kwa hiyo kwenye mkataba wa Yanga na Fei FIFA walikuwa hawa tambui sheria za mchezaji na club.
Alicho kifanya Fei mlikuwa mnakifurahia (ngojea kwanza tu TBT thread za Fei) ,ila Chama anataka kufanya kama alicho kifanya Fei cha ajabu mnaanza kulalamika,japo jambo lenyewe ni tetesi.
Uhuni haukubariki haijalishi kama utatokea kwa Simba au Yanga.
Msinambie hiyo ni busu, huyu jamaa ananusa jezi..
Mchezaji ana miaka 32 ya kiafrika ana thamani ya 2.3B? Kua serious basi
Mzinze na Chama, mkubwa nani?Mchezaji ana miaka 32 ya kiafrika ana thamani ya 2.3B? Kua serious basi
sijui niseme huna akili au unajifanya huna akiliMzinze na Chama, mkubwa nani?
Je utakubali kuwa Chama amezidiwa market value na Mzinze?
Yapo mazingira ambayo umri hau determine thamani ya mchezaji na ndio maana Ronaldo mwenye 35 anaongoza kuchukua mpunga mrefu kuliko Mbappe mwenye 24
Ndio maana nakwambia huna akili mshahara una husiana nini na ni market value? Sokoni sasa hivi Ronaldo ana 15M£ lakini mshahara hakuna anae mfikia kaulize mshahara wa Edin Hazard na market value yake pale Real Madrid, hivi kati ya Chama yule wa kipindi kile anaenda Morocco na huyu wa sasa yupi mwenye thamani?Mzinze na Chama, mkubwa nani?
Je utakubali kuwa Chama amezidiwa market value na Mzinze?
Yapo mazingira ambayo umri hau determine thamani ya mchezaji na ndio maana Ronaldo mwenye 35 anaongoza kuchukua mpunga mrefu kuliko Mbappe mwenye 24
Kwanini asiporwe sasa mbona kawaida sana hiyoo!!mkuu usnambie hujawahi skia fitina za mpira?Wewe na akili zote mkuu na kusoma kwako kote na maarifa yote Mungu amekupa
Na wazazi wazuri wakakusomesha
Unaamini mchezaji anaweza porwa airport zama hizi
Usiniangushe basi [emoji23][emoji23]
Nje ya madaKuna tetesi kuwa CHADEMA wanawaomba msamaha kina Mdee na wenzake Covid19.