The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Ndio umeandika nini sasa? Ni mashairi au taarabu?Kitanda usichokilalia kunguni wake uwajueje? Kwani Ukraine au waliopotezwa chini ya uliowataja wao wanasema je?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio umeandika nini sasa? Ni mashairi au taarabu?Kitanda usichokilalia kunguni wake uwajueje? Kwani Ukraine au waliopotezwa chini ya uliowataja wao wanasema je?
Eti Waafrica wanaakili huyu Anajionyesha ajitambui na wala Hajui Mustakabali wa Nchi yakeMtu akikusikia ukisema kuwa Waafrika wana akili kuliko wazungu atacheka afe. Hebu tuambie kwenye dunia hii ni kipi mwafrika aliwahi kukifanya chenye kuonesha akili za kipekee ?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Ndio umeandika nini sasa? Ni mashairi au taarabu?
Rubbish.Nilichoandika kiko pale mashairi na taarabu umeandika wewe
Rubbish.
Hao jamaa hawatoi misaada Bali wanapigana vita ya kwao kabisa ndiyo maana zele ana jeuri na kuomba kwake misaada ni kama ana command tu, akiwa na maana kama hawataki kutoa waache Ile kwaoMrusi ni kikwazo namba Moja Cha hayo majamaa USA, CANADA, UK nk katika kuitawala Dunia, kutoa amri ambazo ni lazima zifuatwe na Dunia nzima na kuinyonya Dunia
Kwasababu Putin alianzisha vita vya kichokozi na kikatili kuteka maeneo ya UkraineBraza Pischal umekurupuka[emoji41][emoji41][emoji41]
Mtoa mada hajamlaumu yoyote isipokuwa anauliza kwa nin masponsa wananchi wao wanasota kutokana na ughali wa mahitaj ya msingi lkn wanasponsa ugenin???
Kwanini waafrica mnafurahia kupigwa kwa Ukraine na urusi kwani waukraine waliwahi kuikosea nini africa?Waafrika tumejaliwa akili nyingi mno,na wazungu ni wapumbavu mno,ila wanatuzidi kwa kuwa waafrika tumejisahaulisha kwa tamaa zetu,ulafi wetu,au njaa zitokanazo na uvivu,ama kukubali kunaswa na mitego ya wapumbavu wazungu na kusahau kutumia uerevu wetu kufanya mambo mazuri yenye maana na maendeleo yetu kama waafrika,kwa mataifa yetu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja katika mataifa yetu[emoji848].
Kwanini waafrica mnafurahia kupigwa kwa Ukraine na urusi kwani waukraine waliwahi kuikosea nini africa?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwa sababu gani ilivamiwa?Ulitaka waiache Ukraine iteketezwe na urusi kiraisi?kwanini usiilaume urusi iliyoanzisha vita vya kivamizi kwanza?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Libya aliikosea nini Afrika?Kwanini waafrica mnafurahia kupigwa kwa Ukraine na urusi kwani waukraine waliwahi kuikosea nini africa?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Libya aliikosea nini Afrika?
Pole sana mdauKwasababu Putin alianzisha vita vya kichokozi na kikatili kuteka maeneo ya Ukraine
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kama ile demokrasia waliyoenda kuipigania Libya? Afghanistan? Iraq? Syria na kwingineko?
Alipatwa na nin huyo dogoView attachment 2744018
Baada ya kupigania Demokrasia akarudi na faida kubwa[emoji23]
Urusi ilitaka kuiteka Ukraine na kumpandikiza kibaraka wakeKwa sababu gani ilivamiwa?
Mwafrica gani?alifurahia kupigwa kwa Libya mtaje kwani libya ilivamiwa na UkraineLibya aliikosea nini Afrika?