dhidi ya mavamizi na wanao support dictatorshipsDhidi ya nani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dhidi ya mavamizi na wanao support dictatorshipsDhidi ya nani.
Kwamba kwasasa haiteketezwi yaani inyeshe mvua liwake jua Ukraine [emoji1255] itachapwa na inaendelea kuchapwa mpaka itakapo amua kusalimu amri na kuacha kutumika na mabeberu dhidi ya Russia [emoji635]Ulitaka waiache Ukraine iteketezwe na urusi kiraisi?kwanini usiilaume urusi iliyoanzisha vita vya kivamizi kwanza?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Kwani Kuna alowashikia bunduki kutoa misaada waache wakate tuVipi ikianza kukatwa misaada ya NATO kama USAID hapa bongo ??
Kupinga zinazoitwa ndoa za watu wenye jinsia mojaMtu akikusikia ukisema kuwa Waafrika wana akili kuliko wazungu atacheka afe. Hebu tuambie kwenye dunia hii ni kipi mwafrika aliwahi kukifanya chenye kuonesha akili za kipekee ?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
UKRAINE [emoji1255] iliikosea na inaendelea kukosea sana RUSSIA [emoji635] nandio maana waafrika tulio wengi natunao jitambua tunasimama na anaeonewa nae si mwengine ni Russia [emoji635]Kwanini waafrica mnafurahia kupigwa kwa Ukraine na urusi kwani waukraine waliwahi kuikosea nini africa?
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Labda ujute wewe ila sio RUSSIA [emoji635]Ni kumfundisha adabu Mrusi kwamba huwezi kuamka tu umeshauriana na mkeo afu unavamia nchi nyingine ambayo ina uhuru kamili wa Bendera.
Nafikri hadi muda huu anajutia uamuzi wake, ila namna ya kutoka kashindwa.
Atafte nchi nyengine ahamie huyo mtoto aikache Ukraine [emoji1255]Bila kuituliza urusi kwanza ,Dunia haiko salama
Mkiona huko kugumu ,rudini kwenu ,wewe jitu Zima bilahaya unalia maisha magumu ,je mtoto wa kiukrein anayeshinda kutwazima anasikia miungurumo ya mizinga asemaje
Kama akitaka kufanya hivyo sio Mbaya tunamuombea na tupo nyuma yakeShida ya Putin kuivamia Ukraine sio kuwatetea wazungumzaji wa kirusi waishio mashariki mwa Ukraine na kuizuia Ukraine kujiunga na nato bali kuiteka Ukraine na kumpandikiza kibaraka wa urusi na kuchota raslimali za Ukraine
Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Poa tu,tutalazimika kutumia mbongo zetu wakati huo.Vipi ikianza kukatwa misaada ya NATO kama USAID hapa bongo ??
America hawana hiyo tabia ya kulazimisha mambo kama lgbtqdhidi ya mavamizi na wanao support dictatorships
Mbona hao Us walimtoa Ghadafi na Rais wa Iraq hiyo haikua kuibaka democrasi?,nijibuni kwanza hiliWanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.
Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.
Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
Keyboards warriorWanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.
Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.
Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
Aliikosea pale aliposema anataka iungane iwe kitu kimoja. Kitu ambacho wazungu hawakupenda ndio maana wakamtanguliza mbinguniLibya aliikosea nini Afrika?
Demokrasia gani kuna viongozi hawataki kuachia madalaka kazi yao kuiba kula na kutumia vyombo vya dola kufanikisha uhuni waoWanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.
Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.
Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
Watu wa magharibi ukiwauliza jambo la kwanza kwao ni demokrasia. Lakini kwa upande wa Russia jambo la kwanza ni usalama wa nchi na la pili ni demokrasia.Wanasema wanatetea demokrasia. Kwa kweli kupigania demokrasia faida yake ni kubwa mno.
Kulikoni Putin kutaka kuiamulia mambo Ukraine? Huo ni ubakaji ambao hata miye na wewe hatupaswi kuukubali.
Ndiyo maana kuna faida kubwa mno kwenye kupigania katiba mpya hata kama tutayapoteza maisha yetu kwenye mapambano.
Mawazo yako ni mazuri lakini yapo mbali na uhalisia. Angalia hii interview ya Tucker Carlson na Colonel Douglas Mcgregor. Kazungumzia nguvu ya Amerika kijeshi kwa sasa ipoje na kinachoendelea Ukraine ni kipi na hali ya Ukraine kwa sasa ipoje!Faida yake ni long term, Ukraine ni nchi tambarare haina natural boundaries nyingi zaidi ya Dnipro river inayoigawa Ukraine katikati, So endapo NATO ikiweza kuiweka Ukraine kwenye influence yake na Wakawa na vifaru Kama 600 hadi 1000 basi, Russia hataweza kujilinda tena dhidi ya USA na Marekani wataweza Kufika Moscow kirahisi sana
Unafahamu kwamba Ukraine ni nchi yenye rushwa kuliko Mexico?Hao jamaa hawatoi misaada Bali wanapigana vita ya kwao kabisa ndiyo maana zele ana jeuri na kuomba kwake misaada ni kama ana command tu, akiwa na maana kama hawataki kutoa waache Ile kwao