Ni faida gani ambayo wanapata NATO kwa vita hivi vya Urusi na Ukraine?

Ni faida gani ambayo wanapata NATO kwa vita hivi vya Urusi na Ukraine?

Ulitaka waiache Ukraine iteketezwe na urusi kiraisi?kwanini usiilaume urusi iliyoanzisha vita vya kivamizi kwanza?

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Ameuliza Faida inayopata NATO ilihali hali ya uchumi kwao inaendelea kuwa mbaya kutokana na viwanda vyao kukosa nishati ya gasi toka Urusi pamoja na kukosa chakula toka Ukraine na Urusi. Wanafaidika nini na hii operation?
 
Demokrasia gani kuna viongozi hawataki kuachia madalaka kazi yao kuiba kula na kutumia vyombo vya dola kufanikisha uhuni wao

Una maana Putin, Kim, Jinping na wa namna hIyo wenye kukomaa na urais milele?
 
Back
Top Bottom