Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Majuto yapo pande zote tatu kwa sabab wote wanahali teteNi kumfundisha adabu Mrusi kwamba huwezi kuamka tu umeshauriana na mkeo afu unavamia nchi nyingine ambayo ina uhuru kamili wa Bendera.
Nafikri hadi muda huu anajutia uamuzi wake, ila namna ya kutoka kashindwa.
NATO wameshavuna wanachama wapya tayari Finland, Sweden na Ukrean mbioni vita ikiisha tu lakini pia zipo nchi nyengine wanafikiria kujilinda na kujihakikishia usalama zaidi wakiwa na NATO, kiuchumi nchi za NATO bado zinapetaHali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa.
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi.
Lakini kila kukicha Kama hapa Canada [emoji1063] serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha.
Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha.
Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe.
View attachment 2743324
View attachment 2743325
Vita hizo.Alipatwa na nin huyo dogo
Urusi na mabepari wa mfumo wa "Oligarchs"Ile sio vita ya ukraine na Urusi, bali ni vita kati ya ujamaa na ubepari.
Yaani pale NATO/mabepari yanapigania uhai wao kwaajili ya kuendelea kula migongoni mwa wakaazi wa dunia yote.... Kumbuka ile kauli ya mkuu wa nato kwamba Ukraine wakishindwa ni nato wameshindwa.
Maana yake kadri Urusi wanavyoendelea kuharibu uchumi wa nato, ndivyo hivyo nguvu ya kimamlaka inahamia kwa wajamaa ambao ni kina China, Iran, North Korea, Urusi yenyewe pamoja na yale mataifa yatakayokuwa pamoja katika kuangusha utawala wa kibepari
Dhidi ya nani.NATO wameshavuna wanachama wapya tayari Finland, Sweden na Ukrean mbioni vita ikiisha tu lakini pia zipo nchi nyengine wanafikiria kujilinda na kujihakikishia usalama zaidi wakiwa na NATO, kiuchumi nchi za NATO bado zinapeta
[emoji1787]Kama ile demokrasia waliyoenda kuipigania Libya? Afghanistan? Iraq? Syria na kwingineko?
Mwisho wa kukomaa huko ?!!!Kwani walibya wenyewe walikuwa wanasema je?
Hudhani nao walikuwa wakikomaa kama nasi dhidi ya wauza bandari zetu?
[emoji1787][emoji1787]Ni kumfundisha adabu Mrusi kwamba huwezi kuamka tu umeshauriana na mkeo afu unavamia nchi nyingine ambayo ina uhuru kamili wa Bendera.
Nafikri hadi muda huu anajutia uamuzi wake, ila namna ya kutoka kashindwa.
Africa gani mmejaliwa akili mno?Waafrika tumejaliwa akili nyingi mno,na wazungu ni wapumbavu mno,ila wanatuzidi kwa kuwa waafrika tumejisahaulisha kwa tamaa zetu,ulafi wetu,au njaa zitokanazo na uvivu,ama kukubali kunaswa na mitego ya wapumbavu wazungu na kusahau kutumia uerevu wetu kufanya mambo mazuri yenye maana na maendeleo yetu kama waafrika,kwa mataifa yetu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja katika mataifa yetu🤔.
Umeanza kwa kuwasifia waafrika kua wana akili, wazungu ukawaita wapumbavu lakini ajabu ukaja na evidence zinazoonyesha waafrica ni wapumbavu na wazungu wana akiliWaafrika tumejaliwa akili nyingi mno,na wazungu ni wapumbavu mno,ila wanatuzidi kwa kuwa waafrika tumejisahaulisha kwa tamaa zetu,ulafi wetu,au njaa zitokanazo na uvivu,ama kukubali kunaswa na mitego ya wapumbavu wazungu na kusahau kutumia uerevu wetu kufanya mambo mazuri yenye maana na maendeleo yetu kama waafrika,kwa mataifa yetu na maendeleo ya mtu mmoja mmoja katika mataifa yetu🤔.
Shida ya Putin kuivamia Ukraine sio kuwatetea wazungumzaji wa kirusi waishio mashariki mwa Ukraine na kuizuia Ukraine kujiunga na nato bali kuiteka Ukraine na kumpandikiza kibaraka wa urusi na kuchota raslimali za UkraineShida ya marekani na allies sio kuitetea kyv ila ni kumwangusha urusi sababu ya kubalance power wala hampendi mukraine bali ni kwa maslahi yake. NATO wanapelekeshwa tu na usa hawajielewi
Wanamzuia Putin asijitanue zaidi kwa kuimeza Ukraine maana wakibakia kimya hata wao hawatabaki salama siku zijazo.Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa.
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi.
Lakini kila kukicha Kama hapa Canada [emoji1063] serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha.
Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha.
Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe.
View attachment 2743324
View attachment 2743325
Ni kama tanzania na zanzibar hivi tanganyika tunapata nini kuwa pamoja na. Zanzibar wakati hawatupendi?Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa.
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi.
Lakini kila kukicha Kama hapa Canada [emoji1063] serekali wanatenga bajeti ya mabilioni ya pesa sio Canada pekee hata usa watu wanateseka na ugumu wa maisha.
Ila Mimi ninacho jiuliza hivi uko ukrain kuna nini Yaani mbona nchi za ulaya na marekani wanapambana saana kusaidia ukrain uku wananchi wao wakilalamika na ugumu wa maisha.
Yeyote anaye jua mambo haya ya uchumi anaweza kunieleweshe.
View attachment 2743324
View attachment 2743325