Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
magonjwa ya zinaa yanatoka kwa MUNGU au kwa shetani?Napata raha, na ndio maana viungo hivi vipo. na agizo lilitoka enendeni mkazaliane, mkaongezeke na kuijaza Dunia_japo sikku hizi imekuwa ujinga mpaka na ushoga kinyume na makusudi ya maumbile.
Wanaume wa Dar..................mipashoooooooooooo......wanakunaniliiiii ww...............Usinirekebishe as well ...wewe ndo unakurupuka! Ukitaka kusikia tu kile unachopenda nenda kwenye tundu la choo,piga filimbi kisha ussikilize mwangwi wake,si lazima tuwe sawa kwenye kutazama mambo!
Wanaume wa Dar..................mipashoooooooooooo......wanakunaniliiiii ww...............
Na hilo pia utajibiwa. ..barikiwa my friendWewe iss Sina uhakika na comment yako Kama mnaendana
Naona umeufikia. ..Whites walikuwa too tricky, walijua before colonial era kwamba ancestors wetu walikuwa na kitu kinachowaunganisha...gods..ambayo ilikuwa ni supreme being na principle object ya imani, na kwamba walikuwa na namna yao ya kuabudu na kutatua mambo yao! Wakaona ili kumtawala mtu aliye na umoja na mshikamano ni kumvuruga so wakaleta 'mafundisho ya kistaarabu' hapo ndipo mwanadamu alipoanza kuacha njia zake za asili na kufuata what called 'njia ya kweli' ndipo chimbuko la Fictional God...YES!
Ndivyo mnavyokaririshwa sio?Kwanza lazima utambue kuwa akili za Mungu hazichunguziki;
Kwani asipowachoma anapata hasara gani?
Unachoshindwa kujua unadhani wewe ni wa thamani sana machoni pa Mungu.
Kwa Mungu mwanadamu ni udongo na yeye ni mfinyanzi.
Mfinyanzi anapofinyaga gae (Kigae) harafu kikawa kibovu akikibomoa utamuuliza kwa nini kakibomoa?
Kwa mantiki hiyo, huwezi kupata ujasiri wa kumhoji Mungu kama huwezi kumtii yeye aliyekufinyanga.
KWANINI MOTO WA JEHANAMU NI ILLUSION???
1.Ule moto hatujaambiwa unatumia fuel ya aina gani e.g petrol,gas, kerosene, au mkaa.
2.Ziendazo huko ni roho.Roho hazina sensory cells, so watakaoenda huko hawatahisi maumivu.
3.Chanzo cha roho ni pumzi aliyopuliziwa Adam na Mungu, ile pumzi ndio tunayo ibreath in and out, nayo ni oxygen...oxygen kazi yake ni kusapoti moto uwake. So roho zitakazokwenda jehanamu zitakuwa na kazi ya kusapoti combustion.
SWALI: NINI KAZI YA MOTO WA JEHANAMU???...Wafiadini majibu tafadhali.
Mpaka nikukereeee..........wanaume wa dar buanaaaaa............Huwa sina tabia ya kuarque ni wavulana, kama baba yako yupo mwite niongee naye wewe kacheze kibaba na mama na watoto wa rika lako!
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Tofauti na malaika binadamu tuna free will. Baada ya Yesu Kristo kufa msalabani ili tuhesabiwe haki, basi imebaki ni machaguo yako tu uende mbinguni au motoni. Si Mungu anayekupeleka. Yes binadamu ni dhaifu na wadhambi, lakini hakuna mtu atakayekulazimisha (hata Mungu) kukiendea kiti che rehema cha Mungu kutubu. Hivyo Mungu hapendi (mungu anapenda) mtu yoyote apotee bali wote tuiendee toba.
Ni mwili wa mzazi ndio unaotenda hayo.Dah! Ivi mpaka leo kuna baadhi ya watu hawaamin uwepo wa MUNGU!
Nasikitija kukwambia umekufuru sana rafik yangu.
Omba toba kwa Mungu kupitua Iman yako maana inaonyesha uwezo wako wakufikir ni mdogo.
Labda nikupe mfano.
Mtoto anapokuwa tumboni kwa mama yake anayesimamia zoezi zima kuanzia yai kupevuka, kurutubishwa, kupewa uhai na mpaka anazaliwa ninani anaefanya kazi hiyoo?
Elimu inamatokeo chanya na hasi,ila naona hasi ndo makubwa zaidi kuliko chanyaMungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
Mkuu hii dhana ya kutisha watu ili anzishwa na watawala wa kale (probably wakirumi) ili kuwafanya watu wafuate sheria zao ambazo hazikuwa na kichwa wala mkia...baadae wakaiingiza kwenye dini ili kujilipikizia mali kwa njia ya sadaka....huo moto haupo mkuu!!! wanaosema upo wakiambiwa waaoneshe direction ya kuufikia wataonesha???Wengi wanajibu kiimani tu, tena kwa kurejea vifungu vya maandiko ambayo yameandaliwa kwa namna ile ile so ni ngumu kutembea nje ya kile wameaminishwa. "Roho ni pumzi, pumzi ni Oxygen.... Oxygen+Oxygen zinasapoti COMBUSTION"
We chalii una akili kisenge, nadhani kuna haja kutafiti zaidi kwa dhana hii. Lakini je, ni hadi siku ya mwisho au moto unaendelea huko kwa kadri pumzi (roho) zinavyokuwa nyingi.?
Mkuu jibu tamu sana...ni kazi ya hormones,enzymes pamoja na damu...nothing more!!!..Ni mwili wa mzazi ndio unaotenda hayo.
Vipi wewe ulidhani ni huyo mjinga mjinga wa kifikirika?
Tumia akili sio kila kitu ukokotwe kama mkokoteni
Mungu hayupo kwa hiyo wewe amekuumba mamako siyo??Mungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi