Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Usinirekebishe as well ...wewe ndo unakurupuka! Ukitaka kusikia tu kile unachopenda nenda kwenye tundu la choo,piga filimbi kisha ussikilize mwangwi wake,si lazima tuwe sawa kwenye kutazama mambo!
Wanaume wa Dar..................mipashoooooooooooo......wanakunaniliiiii ww...............
 
Kijana mungu unayemdhania hayupo! Wewe mwenyewe unaona kabisa hayo yaliyokufanya ukaamini yenyewe yanajipinga.
Za kuambiwa changanya na zako
 
Whites walikuwa too tricky, walijua before colonial era kwamba ancestors wetu walikuwa na kitu kinachowaunganisha...gods..ambayo ilikuwa ni supreme being na principle object ya imani, na kwamba walikuwa na namna yao ya kuabudu na kutatua mambo yao! Wakaona ili kumtawala mtu aliye na umoja na mshikamano ni kumvuruga so wakaleta 'mafundisho ya kistaarabu' hapo ndipo mwanadamu alipoanza kuacha njia zake za asili na kufuata what called 'njia ya kweli' ndipo chimbuko la Fictional God...YES!
Naona umeufikia. ..
 
Bibilia inasema
Tazama makao ya Mungu ni pamoja na wanadamu
Sasa kwa ufupi tu
Pamoja na shetani kufanya alichofanya bado mpango wa Mungu ulibaki palepale kukaa ns wanadamu awape raha ya milele ndio maana ya kumleta Yesu duniani
Sasa inakuwa kuutafuta huu mpango wa Mungu then uuelewe uufanyie kazi ili ukaishi nae milele paradiso
Ukishindwa kuutafuta huu mpango w Mungu ambao ni kumpokea Yesu Kristo na kuishi maisha ya kupendeza Yeye basi hutaweza kuishi na huyu Mungu kwenye huii raha ya milele
Hapa sasa ndio nakupa jibu
Kwa kuwa ni lazima dunia ifike mwisho wake na wewe huna sifa ya kwenya kwa Mungu ni lazima uende jehanam kwenye moto wa milele
Elewa sehemu ni mbili tu na unachagua mwenyewe tangu sasa
Jehanam na Paradiso
Asante
 
Kwanza lazima utambue kuwa akili za Mungu hazichunguziki;
Kwani asipowachoma anapata hasara gani?
Unachoshindwa kujua unadhani wewe ni wa thamani sana machoni pa Mungu.
Kwa Mungu mwanadamu ni udongo na yeye ni mfinyanzi.
Mfinyanzi anapofinyaga gae (Kigae) harafu kikawa kibovu akikibomoa utamuuliza kwa nini kakibomoa?
Kwa mantiki hiyo, huwezi kupata ujasiri wa kumhoji Mungu kama huwezi kumtii yeye aliyekufinyanga.
Ndivyo mnavyokaririshwa sio?
 
KWANINI MOTO WA JEHANAMU NI ILLUSION???

1.Ule moto hatujaambiwa unatumia fuel ya aina gani e.g petrol,gas, kerosene, au mkaa.

2.Ziendazo huko ni roho.Roho hazina sensory cells, so watakaoenda huko hawatahisi maumivu.

3.Chanzo cha roho ni pumzi aliyopuliziwa Adam na Mungu, ile pumzi ndio tunayo ibreath in and out, nayo ni oxygen...oxygen kazi yake ni kusapoti moto uwake. So roho zitakazokwenda jehanamu zitakuwa na kazi ya kusapoti combustion.

SWALI: NINI KAZI YA MOTO WA JEHANAMU???...Wafiadini majibu tafadhali.

Wengi wanajibu kiimani tu, tena kwa kurejea vifungu vya maandiko ambayo yameandaliwa kwa namna ile ile so ni ngumu kutembea nje ya kile wameaminishwa. "Roho ni pumzi, pumzi ni Oxygen.... Oxygen+Oxygen zinasapoti COMBUSTION"

We chalii una akili kisenge, nadhani kuna haja kutafiti zaidi kwa dhana hii. Lakini je, ni hadi siku ya mwisho au moto unaendelea huko kwa kadri pumzi (roho) zinavyokuwa nyingi.?
 
Tumeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu. Tofauti na malaika binadamu tuna free will. Baada ya Yesu Kristo kufa msalabani ili tuhesabiwe haki, basi imebaki ni machaguo yako tu uende mbinguni au motoni. Si Mungu anayekupeleka. Yes binadamu ni dhaifu na wadhambi, lakini hakuna mtu atakayekulazimisha (hata Mungu) kukiendea kiti che rehema cha Mungu kutubu. Hivyo Mungu hapendi (mungu anapenda) mtu yoyote apotee bali wote tuiendee toba.

MALAIKA WANA FREE WILL si ajabu baadhi waliasi
 
Ni faida gani ataipata kupeleka watu wema peponi!!?

Labda tuanzie hapo mkuu..
 
Dah! Ivi mpaka leo kuna baadhi ya watu hawaamin uwepo wa MUNGU!
Nasikitija kukwambia umekufuru sana rafik yangu.
Omba toba kwa Mungu kupitua Iman yako maana inaonyesha uwezo wako wakufikir ni mdogo.
Labda nikupe mfano.

Mtoto anapokuwa tumboni kwa mama yake anayesimamia zoezi zima kuanzia yai kupevuka, kurutubishwa, kupewa uhai na mpaka anazaliwa ninani anaefanya kazi hiyoo?
Ni mwili wa mzazi ndio unaotenda hayo.
Vipi wewe ulidhani ni huyo mjinga mjinga wa kifikirika?

Tumia akili sio kila kitu ukokotwe kama mkokoteni
 
Fanya mpango mkamate shetani umdhibiti,baada ya hapo utaiona faida ya kumdhibiti,au uwe na mtoto akutukane uone utamfanya nini
 
Mungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
Elimu inamatokeo chanya na hasi,ila naona hasi ndo makubwa zaidi kuliko chanya
 
Wengi wanajibu kiimani tu, tena kwa kurejea vifungu vya maandiko ambayo yameandaliwa kwa namna ile ile so ni ngumu kutembea nje ya kile wameaminishwa. "Roho ni pumzi, pumzi ni Oxygen.... Oxygen+Oxygen zinasapoti COMBUSTION"

We chalii una akili kisenge, nadhani kuna haja kutafiti zaidi kwa dhana hii. Lakini je, ni hadi siku ya mwisho au moto unaendelea huko kwa kadri pumzi (roho) zinavyokuwa nyingi.?
Mkuu hii dhana ya kutisha watu ili anzishwa na watawala wa kale (probably wakirumi) ili kuwafanya watu wafuate sheria zao ambazo hazikuwa na kichwa wala mkia...baadae wakaiingiza kwenye dini ili kujilipikizia mali kwa njia ya sadaka....huo moto haupo mkuu!!! wanaosema upo wakiambiwa waaoneshe direction ya kuufikia wataonesha???
 
Ni mwili wa mzazi ndio unaotenda hayo.
Vipi wewe ulidhani ni huyo mjinga mjinga wa kifikirika?

Tumia akili sio kila kitu ukokotwe kama mkokoteni
Mkuu jibu tamu sana...ni kazi ya hormones,enzymes pamoja na damu...nothing more!!!..
 
Mungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
Mungu hayupo kwa hiyo wewe amekuumba mamako siyo??

Halafu unavyouliza maswali ya kitoto na kipuuzi kabisa eti watu weusi,wachina wazungu nk wametokea wap.Ww chukua kitabu cha dini ukisome utapata majibu yako yote kiufasaha zaidi na mahali ukikwama mtafute kiongozi wako wa dini atakufafanulia vizuri

Alaf kitu kingine unavyodai mungu kaumba bacteria ili watudhuru nan kakwambia hayo maneno.Si bacteria wote wanamadhara kwa binadamu wengine wanafaida kubwa sana kuliko unavyofikiria,mfano bacteria anaeitwa Escherichia colli anaeishi kwenye utumbo mpana wa binadamu anasaidia upatikanaji wa vitamin B.Halaf bacteria wengine wanatumika viwandani kwenye shughuli mbalimbali mfano utengenezwaji wa siagi, mkate nk
Bacteria wanaoishi kwenye utumbo mwembamba wa wanyama kama ng'ombe wanasaidia upatikanaji wa kimeng'enya kinachoitwa Cellulase kwa ajili ya kumeng'enya cellulose
 
Back
Top Bottom