Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Ni faida gani ataipata Mungu kwa kuwachoma moto binadamu siku ya mwisho?

Kwani wewe ni nani aliyekwambia kwamba adhabu imewekwa ili ujifunze!?ndugu yangu mawazo ya kibinadamu hayo mungu hayuko hivyo.
You leap what you sow.
Nikirudi kwenye mantic yako ya kibinadamu ya "adhabu ni kujifunza." Kumekuwepo na adhabu aina mbali mbali kwa mfano adhabu kifungo kwenda jela ama kutumikia jamii,adhabu ya viboko adhabu ya kifo nk.
Adhabu ya kifo na adhabu ya kifungo jela labda kufungwa maisha au adhabu ya kifo kwa mfano hivi huyu tenda kosa kosa kuna kitu atajiza kitu chochote?kuna adhabu nyingine zimewekwa ili wengine wajifunzo...katika utawala wa mbingu kuna adhabu moja tu..kwenda Motoni ili sisi tuliobaki duniani tujifunze kwamba ukitenda dhambi stahili yako ni moto tu..Dini nyingine wao wametabainisha na kueleza uzuri wa mbingu kwamba ukitenda mema dunian mbinguni unapewa mabikra 74..kwa mukutadha huohuo ungehoji pia kwanini watu wapewe mabikra sabini!?na kwa manufaa ya nani..!
Acheni uzinzi wizi uasherati wizi nk tuziheshimu na kuishi amri za mungu.
Mungu yupo na adhabu zipo.
 
Mungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
Unapotea kwa kutumainia macho yakuongoze na milango mingine ya fahmu iliyo nje .Itafika hatua utasema upepo haupo kwa sababu macho hauonekani na hauna umbo.Swala la kuwa wewe Mweusi na structure nyingine ni nyeupe kisikusumbue,Nafsi zetu au Roho zetu ndizo tuliumbwa sawa ila zikapewa uhuru wa kubadilika si kwa rangi bali kwa imani.Ukiamua uwe mwizi na mzungu utampata mwiz,ukiwa huna iman kwamba Mungu yupo utamkuta Mzungu mnae fanana nae.
Sasa Roho yako kuwa kwenye structure yenye rangi nyeusi na mwingine nyeupe isikusubue naomba uongeze reasoning yako ndipo utajua mungu yupo.
 
Kutii jambo usilolijua kunajenga woga, woga, na woga hujenga hofu na hofu ikikua inajenga mazoea ambayo huitwa imani, na ukiisha kuamini ni kutarajia mambo yanayosemekana yanakuja tokea adamu ambayo kimsingi hayatakuja, tukubaliane ama kutokubaliana kwamba aliyeleta dhana hii ya uungu ni mbunifu wa hali ya juu, ambaye ana elimu kubwa ya maarifa yaliyomzidi mwanadamu wa kawaida na kwa kiwango kikubwa kachangia dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kwa kuvuruga akili za wanadamu!
Haya bwana maana najua hata wewe hunauhakika na unachokiongea unaamini tuu hukuwepo na hata Mimi sikuwepo ko kila mtu akiamini kile anachojua ni msingi wa maisha yake
 
Kwanza lazima utambue kuwa akili za Mungu hazichunguziki;
Kwani asipowachoma anapata hasara gani?
Unachoshindwa kujua unadhani wewe ni wa thamani sana machoni pa Mungu.
Kwa Mungu mwanadamu ni udongo na yeye ni mfinyanzi.
Mfinyanzi anapofinyaga gae (Kigae) harafu kikawa kibovu akikibomoa utamuuliza kwa nini kakibomoa?
Kwa mantiki hiyo, huwezi kupata ujasiri wa kumhoji Mungu kama huwezi kumtii yeye aliyekufinyanga.
Unajuaje uthamani wako kwa mungu maana umesema mwenyewe kuwa akili za mungu hazichunguziki
 
Kutii jambo usilolijua kunajenga woga, woga, na woga hujenga hofu na hofu ikikua inajenga mazoea ambayo huitwa imani, na ukiisha kuamini ni kutarajia mambo yanayosemekana yanakuja tokea adamu ambayo kimsingi hayatakuja, tukubaliane ama kutokubaliana kwamba aliyeleta dhana hii ya uungu ni mbunifu wa hali ya juu, ambaye ana elimu kubwa ya maarifa yaliyomzidi mwanadamu wa kawaida na kwa kiwango kikubwa kachangia dunia kuwa sehemu salama ya kuishi kwa kuvuruga akili za wanadamu!
Namwomba the ALMIGHTY SOVEREIGN ONE anipe hicho kipawa. ...walahi!
 
UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MBINGUNI NA HAKI ZAKE NA MENGINEYO MTAZIDISHIWA. ....na swali lako pia utajibiwa. ..barikiwa my friend
 
ukiwa unazini unapata faida gani?
Napata raha, na ndio maana viungo hivi vipo. na agizo lilitoka enendeni mkazaliane, mkaongezeke na kuijaza Dunia_japo sikku hizi imekuwa ujinga mpaka na ushoga kinyume na makusudi ya maumbile.
 
Njia za Mungu hazichunguziki..Muache Mungu aitwe Mungu
 
Mungu hayupo! Ni mastory ya watu tu wajanja ! Nakuuliza swali: Kama Mungu aliwaumba Adamu na Eva, walikuwa weupe, sasa weusi , wachina, wazungu walitoka wapi? Aliwaumba siku moja, ilikuwaje wakaa kama walivyo sasa hivi! Kwa nini Mungu aliumba bacteria, virus etc wa kumuumiza mwanadamu? Aliwaumba lini na tunaambiwa aliumba vitu vya kumsaidia mwanadamu! Maswali ni mengi ukiyatafakari unaambiwa UNAKUFURU ili usidaisi
Dah! Ivi mpaka leo kuna baadhi ya watu hawaamin uwepo wa MUNGU!
Nasikitija kukwambia umekufuru sana rafik yangu.
Omba toba kwa Mungu kupitua Iman yako maana inaonyesha uwezo wako wakufikir ni mdogo.
Labda nikupe mfano.

Mtoto anapokuwa tumboni kwa mama yake anayesimamia zoezi zima kuanzia yai kupevuka, kurutubishwa, kupewa uhai na mpaka anazaliwa ninani anaefanya kazi hiyoo?
 
Hakuna kitu kama hicho ni nadharia tu ambazo watu kama wewe walizianzisha na kuwaaminisha watu kuwa kuna kuchomwa moto kwa watenda dhambi siku ya mwisho Ili kupunguza madhambi kwa kiasi fulani
Hata wakati wa nuhu wabishi kama wew walikua kibao wamejaa
 
UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MBINGUNI NA HAKI ZAKE NA MENGINEYO MTAZIDISHIWA. ....na swali lako pia utajibiwa. ..barikiwa my friend

Whites walikuwa too tricky, walijua before colonial era kwamba ancestors wetu walikuwa na kitu kinachowaunganisha...gods..ambayo ilikuwa ni supreme being na principle object ya imani, na kwamba walikuwa na namna yao ya kuabudu na kutatua mambo yao! Wakaona ili kumtawala mtu aliye na umoja na mshikamano ni kumvuruga so wakaleta 'mafundisho ya kistaarabu' hapo ndipo mwanadamu alipoanza kuacha njia zake za asili na kufuata what called 'njia ya kweli' ndipo chimbuko la Fictional God...YES!
 
Salaaam..

Kwanza kabisa naomba niweke msimamo wangu kiimani, mimi naamini mungu yupo na ndie muweza wa yote.

Turudi kwenye mada..nacho jua mimi adhabu huwa inatolewa ili iwe funzo kwa mkosaji au kwa watu wanao mzunguka huyo mkosaji..adhabu hii huwa ni fundisho kwa mkosaji ili asirudie tena kosa pia ni funzo kwa wengine ili wasifanye kosa hilo.

Haya sasa binadam wote watakao kufa wakiwa na dhambi wameahidiwa moto wa milele kule jehanamu kama adhabu..lakini pia tuna ambiwa kuwa baada ya adhabu hiyo hakuta kuwa na kifo tena wala dhambi na watu watakao kuwa na dhambi watabaki motoni milele..

SWALI:

je adhabu hiyo ya moto itakua ni funzo kwa nan??

Na je ni faida gani mungu ataipata kwa kuwa choma moto viumbe alio waumba mwenyewe..

Je shetani alipangwa ili maisha yawe hivi??

Yesu alikufa msalabani kwa sababu ya dhambi zetu wanadam ambazo chanzo chake ni shetani..je shetani hawezi kudhibitiwa na kupewa adhabu kali kwa kuharibu ulimwengu???maana watu wanajaa kwenye anasa kuliko kwenye nyumba za ibada takatifu..


Nawasilisha..karibuni
huyo *mungu ni yupi labda??
 
Ndo shida ya kuwapeleka shule............kizazi cha nyoka....Aisee shetani mbaya sana....amekufikirisha mpaka hili......
Na sembe pia ni shida, watu wakishiba ni taabu sana, ndio maana wanaanzisha maada kama hizi. Nina imani huyu Ndugu angekuwa hana uhakika na mlo wa leo walaih saa hizi anf
 
Faida mojawapo ya kuchomwa moto ni hii atawachoma sasabu hawana faida kwake bora wachomwe wateketee milele kuliko aendelee kuwaona mfano wakawaida tu"maamlaka ya udhibiti wa chakula na dawa umeteketeza shehena za chakula madawa kwa moto baada ya kugundulika havifai kwa matumizi ya binadamu" sasa kwanini Mungu awaache wafilaji na matakataka mengine?
 
Back
Top Bottom