Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
Kwani wewe ni nani aliyekwambia kwamba adhabu imewekwa ili ujifunze!?ndugu yangu mawazo ya kibinadamu hayo mungu hayuko hivyo.
You leap what you sow.
Nikirudi kwenye mantic yako ya kibinadamu ya "adhabu ni kujifunza." Kumekuwepo na adhabu aina mbali mbali kwa mfano adhabu kifungo kwenda jela ama kutumikia jamii,adhabu ya viboko adhabu ya kifo nk.
Adhabu ya kifo na adhabu ya kifungo jela labda kufungwa maisha au adhabu ya kifo kwa mfano hivi huyu tenda kosa kosa kuna kitu atajiza kitu chochote?kuna adhabu nyingine zimewekwa ili wengine wajifunzo...katika utawala wa mbingu kuna adhabu moja tu..kwenda Motoni ili sisi tuliobaki duniani tujifunze kwamba ukitenda dhambi stahili yako ni moto tu..Dini nyingine wao wametabainisha na kueleza uzuri wa mbingu kwamba ukitenda mema dunian mbinguni unapewa mabikra 74..kwa mukutadha huohuo ungehoji pia kwanini watu wapewe mabikra sabini!?na kwa manufaa ya nani..!
Acheni uzinzi wizi uasherati wizi nk tuziheshimu na kuishi amri za mungu.
Mungu yupo na adhabu zipo.
You leap what you sow.
Nikirudi kwenye mantic yako ya kibinadamu ya "adhabu ni kujifunza." Kumekuwepo na adhabu aina mbali mbali kwa mfano adhabu kifungo kwenda jela ama kutumikia jamii,adhabu ya viboko adhabu ya kifo nk.
Adhabu ya kifo na adhabu ya kifungo jela labda kufungwa maisha au adhabu ya kifo kwa mfano hivi huyu tenda kosa kosa kuna kitu atajiza kitu chochote?kuna adhabu nyingine zimewekwa ili wengine wajifunzo...katika utawala wa mbingu kuna adhabu moja tu..kwenda Motoni ili sisi tuliobaki duniani tujifunze kwamba ukitenda dhambi stahili yako ni moto tu..Dini nyingine wao wametabainisha na kueleza uzuri wa mbingu kwamba ukitenda mema dunian mbinguni unapewa mabikra 74..kwa mukutadha huohuo ungehoji pia kwanini watu wapewe mabikra sabini!?na kwa manufaa ya nani..!
Acheni uzinzi wizi uasherati wizi nk tuziheshimu na kuishi amri za mungu.
Mungu yupo na adhabu zipo.