Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sasa kwani mlijichukulia?Zile zilikua za kupewa kumbe? yaani anapiga Yanga peke yake Azam hawapigi si ndio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kwani mlijichukulia?Zile zilikua za kupewa kumbe? yaani anapiga Yanga peke yake Azam hawapigi si ndio?
Saa zingine hua zinakurukaSasa kwani mlijichukulia?
Potelea mbali cha msingi vimidomo vimepungua mitaani na mitandaoniSaa zingine hua zinakuruka
Hiyo ni kwa Yanga sasa tuambie na kwa Simba pia.Kuna Namungo mliponea chupuchupu mkabebwa na tefa, wako Azam, bado hao Mbeya City, Simba yenyewe, wake Coastal mliwafunga kwao lakini hakuna uhakika wa kuwafunga DSM msiseme mko nyumbani, hii ligi bado mbichi..
Prison nao hawatabiriki, kwa ushindi wenu mnaoupata wa 1-0 kila siku lazima muanze kutetemeka tu hakuna namna nyingine.