Kuna Namungo mliponea chupuchupu mkabebwa na tefa, wako Azam, bado hao Mbeya City, Simba yenyewe, wake Coastal mliwafunga kwao lakini hakuna uhakika wa kuwafunga DSM msiseme mko nyumbani, hii ligi bado mbichi..
Prison nao hawatabiriki, kwa ushindi wenu mnaoupata wa 1-0 kila siku lazima muanze kutetemeka tu hakuna namna nyingine.