Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Ni gari gani ambayo kila unapoiona unajisemea ipo siku nitanunua yangu

Najua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.

Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninaipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.

Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.
View attachment 3063171
Harrier ,Fortune,Prado Tx,V8 na LC 300 .Mtiririko utakua hivi
 
Sasa hapa inabidi ujiandae kuchukua fomu ugombee ubunge ushinde uwe waziri ukakwapue hiyo miela ya kuendesha hiyo migari.

Kibongo bongo kupata shughuli halali za kufanya ununue hiyo gari hakuna mifumo ya kiuchumi bado iko chini sana kumtajirisha raia mmoja mmoja.
 
WhatsApp Image 2024-08-06 at 21.25.51.jpeg
 
Back
Top Bottom