za kuanzia 2015 kuendelea ni matata sanaHarrier new Model.... Soon.
Mwenyewe nimekukumbuka kwa haraka mno...🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Sijui kwanini nilipoona uzi nikakukumbuka!!!
Harrier ,Fortune,Prado Tx,V8 na LC 300 .Mtiririko utakua hiviNajua Kila mtu ana ndoto ya kuwa na maisha mazuri, kumiliki nyumba nzuri, gari nzuri nk.
Kwa leo tuzungumzie upande wa magari, mimi kwa upande wangu gari ninaipenda ni Range rover, iwe vogue au sports, wadau wanasema inakula sana mafuta, nami nawaambia gari kula mafuta ni kawaida kwani hakuna gari inayokunywa mtori au supu.
Hii ndiyo gari ya ndoto zangu, ntanunua no matter what.
View attachment 3063171
🤣🤣🤣🤣🤣Mwenyewe nimekukumbuka kwa haraka mno...🤣🤣🤣
Tuendelee kujichanga tu Ndugu yangu...
Kwa kweli ndugu yangu kwa sas ni LC 300 ila huko mbeleni tutajua 😂Unayama huu hapa. Ila.huko.miaka ya mbele ndoto itabadirika ila.kwa sasa na hii
Ewaaaaah!!! Hata mie hii ndiyo dream car angu.
Unajipongeza kufikisha laki🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ikifika laki natoa kwanza 30 ya kujipongeza!
Jeep wrangler na ile uijuayo😄Mkuu up grade basi kuanzia 2017 kuja miaka ya mbele ili tuwe kundi moja hizi za 2007 na 2008 za muda kidogo....una ndoto na gari zilizotamba enzi za Mwalimu..