Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Kiongozi, hivi kati ya Allex na Runx kuna tofauti yoyote mbali na majina yao?
Kama ipo tofauti yoyote itanisaidia kufanya decision niagize gari ipi muda ukifika.
Oii hivi vidude vinafanana vitu vingi kasoro badge tu.

Sehemu nyingi ukisoma, watasema tofauti ni mbili kuu, mosi ni size na pili ni fuel consumption.

Inasemekana Allex ina nafasi zaidi kuliko Runx, ingawa ni tofauti ndogo sana, na pia Allex kidogo ni rafiki kwenye mafuta kuliko Runx, kidogo sana tofauti. Nilioana mahala 15km/L Allex kwa 12km/L Runx.

Pia, Runx ni sport version ya Corolla wakati Allex ni family car. Kwenye sport hapo utaona suspension za Runx ni tiff wakati Allex iko soft. Pia nahamini Runx ina option ya 1.5L na 1.8L wakati Allex yeye ana 1.5L tu.
 
Oii hivi vidude vinafanana vitu vingi kasoro badge tu.

Sehemu nyingi ukisoma, watasema tofauti ni mbili kuu, mosi ni size na pili ni fuel consumption.

Inasemekana Allex ina nafasi zaidi kuliko Runx, ingawa ni tofauti ndogo sana, na pia Allex kidogo ni rafiki kwenye mafuta kuliko Runx, kidogo sana tofauti. Nilioana mahala 15km/L Allex kwa 12km/L Runx.

Pia, Runx ni sport version ya Corolla wakati Allex ni family car. Kwenye sport hapo utaona suspension za Runx ni tiff wakati Allex iko soft. Pia nahamini Runx ina option ya 1.5L na 1.8L wakati Allex yeye ana 1.5L tu.
Big up sana.
Mpaka hapo nishajua nataka nini
Allex for life.
 
Oii hivi vidude vinafanana vitu vingi kasoro badge tu.

Sehemu nyingi ukisoma, watasema tofauti ni mbili kuu, mosi ni size na pili ni fuel consumption.

Inasemekana Allex ina nafasi zaidi kuliko Runx, ingawa ni tofauti ndogo sana, na pia Allex kidogo ni rafiki kwenye mafuta kuliko Runx, kidogo sana tofauti. Nilioana mahala 15km/L Allex kwa 12km/L Runx.

Pia, Runx ni sport version ya Corolla wakati Allex ni family car. Kwenye sport hapo utaona suspension za Runx ni tiff wakati Allex iko soft. Pia nahamini Runx ina option ya 1.5L na 1.8L wakati Allex yeye ana 1.5L tu.
Tufafanulie hiyo 1.5L na 1.8L ndo imekaaje na option imekaaje?
 
Hivi hizo gari zina chngamoto gani hasa, juzi nilikuwa naendeshaa hiyo gen 2 ni ya ndugu yangu haikunisumbua hata kidogo nimekaa nayo almost mwezi mzima
Hizo gari nzuri sana, madalali wa Tanzania ndio wanazisagia kunguni.
Mimi nimetumia first generation miaka 5 bila shida.
 
Kama maisha ya kuunga unga nitamkataza haya:

BMW

BMW

BMW

BMW

BMW
Mkuu BMW ina shida gani kwani...
Mimi nilikuwa na 530i nimedumu nayo miaka 3 na nilikuwa naenda nayo trip za dar to mwanza. Mbali na service ya kawaida haikuwahi nisumbua chochote. Mwisho nikamuuzia msukuma fulani aliipenda
 
1000290890.jpg
 
Wana Jf salaam,

Ikiwa ni weekend tulivu kabisa.
Kama tujuavyo, kumiliki gari sasa hivi ni miongoni mwa vitu vya muhimu sana.

Wamiliki wapya wanaongezeka kila kukicha, na kwa bahati mbaya wengi hujikuta wanamiliki magari ambayo baadae yanakuja kuwapa changamoto na kujutia kabisa, hiyo inatokea mara nyingi kama kipato cha mmiliki hakiendani na aina ya gari analomiliki.

Leo tuambiane ukweli, pengine kupitia uzi huu utakuwa msaada kwa mtu au watu kabla ya kufanya maamuzi ya kuingia kwenye dunia ya umiliki wa gari.

Ni gari gani ambayo hauwezi kumshauri mtu kununua na ni kwanini?
Nisan X-Trail
 
Oii hivi vidude vinafanana vitu vingi kasoro badge tu.

Sehemu nyingi ukisoma, watasema tofauti ni mbili kuu, mosi ni size na pili ni fuel consumption.

Inasemekana Allex ina nafasi zaidi kuliko Runx, ingawa ni tofauti ndogo sana, na pia Allex kidogo ni rafiki kwenye mafuta kuliko Runx, kidogo sana tofauti. Nilioana mahala 15km/L Allex kwa 12km/L Runx.

Pia, Runx ni sport version ya Corolla wakati Allex ni family car. Kwenye sport hapo utaona suspension za Runx ni tiff wakati Allex iko soft. Pia nahamini Runx ina option ya 1.5L na 1.8L wakati Allex yeye ana 1.5L tu.
Hii gari ni toleo la mwaka gani ?
20241122_184059.jpg
 
Mkuu BMW ina shida gani kwani...
Mimi nilikuwa na 530i nimedumu nayo miaka 3 na nilikuwa naenda nayo trip za dar to mwanza. Mbali na service ya kawaida haikuwahi nisumbua chochote. Mwisho nikamuuzia msukuma fulani aliipenda
Mode gani?
 
Back
Top Bottom