Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Gari bayaaa ata bure silitaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Gari bayaaa ata bure silitaki
It depends ya mwaka gani na model... Hizi za 2000-2003 ukiwa na 13-14M una miliki... 2005-2009 andaa 18-20M unachukua... 2010 bei zinazid kuwa moto...Wadau hivi Forester inaweza nicost kiasi gan mpka niwe nayo mkononi
Forester Gen. Ipi?Wadau hivi Forester inaweza nicost kiasi gan mpka niwe nayo mkononi
Sijui zina fault gani zile. Nahisi kuna shida kwenye umeme.
Tukubaliane kua wengi wetu vipato, utunzaji na kuwa na connection na mafundi wazuri ndio tatizo au kikwazo cha kumiliki aina fulani ya gari.
Kinachofurahisha sisi waswahili unakuta nazungumzia Benz au BMW wakati uwezo wangu ni Starlet au Passo[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Vipi kuhusu mnyama legency kila kukicha watu wana jitahidi kuziuza tena bei ya kawaida Forester xT habari nyingine inapuuliza wese asikwambie mtu
Asante mkuu..itabidi nichek ya 2009Forester Gen. Ipi?
Mkuu bajet yang ni 20m..naweza pata gen ipi?Forester Gen. Ipi?
Ukitaka yakukute, osha Engine ya Nissan Xtrail, hakika Alternator itakufa hapo hapo na itakupasa ukanunue nyingine. Nissan wamechemsha sana gari zao
😀 😀 😀 😀 Au ikubali gia ya reverse tu.
aaaa ata mercedes benz , nakumbua kuna mtasha rafiki yanu ainiachia kwa bei ya kutupa , sasa una siu bodaboda ainipitia akang'oa side mirror kuipata ilikuwa mbinde niipelekwa dukani kwa mhindi akaniambia anauza zote mbii laki 8, nilikuja kuipata kurasini wanapochinja magari laka mbili na nusu,Kama maisha ya kuunga unga nitamkataza haya:
BMW
BMW
BMW
BMW
BMW
Mzee baba TRA na TPA ni manyonyaji ukijaangalia gharama unaweza lina gari inapigwa kodi mara 3Wadau hivi Forester inaweza nicost kiasi gan mpka niwe nayo mkononi
[emoji3][emoji3] et inapulizaVipi kuhusu mnyama legency kila kukicha watu wana jitahidi kuziuza tena bei ya kawaida Forester xT habari nyingine inapuuliza wese asikwambie mtu
Hawa jamaa wanakatisha tamaa sanaMzee baba TRA na TPA ni manyonyaji ukijaangalia gharama unaweza lina gari inapigwa kodi mara 3
Engine ya Gari inasafishwa na povu maalumu. Inakuwa safi kama kitu gani sijuiUkitaka yakukute, osha Engine ya Nissan Xtrail, hakika Alternator itakufa hapo hapo na itakupasa ukanunue nyingine. Nissan wamechemsha sana gari zao
We binti una roho mbaya sana. Kwanini kumfanya na kumdharirisha hivi mzee wa watu?[emoji848][emoji848]View attachment 2328979View attachment 2328980
DaaahTena kipigo kikali[emoji16][emoji16][emoji38][emoji38]
Yaan mtu akiingia JF ghafla kawa tajiri[emoji16][emoji38][emoji38][emoji38]
We bwana si ulilalamika huna pesaNimejenga All hamdulillah, umri niliyo nao.
Nimejenga saana, Iringa , Arusha na Dar magomeni na kijitonyama - ya kununua.
Mjengo mwingine upo over90% kigamboni Geza ulole chini.
INSHA ALLAH before october will be done.
Njoo PM kama una pesa uchukue nissan Y62 ,kama huitaki - endelea na maswali.
Bahati mbaya bafili ya kuelemishhana kuhusu magari tunaulizana uwezo wa mtu na mambo binafsi.