Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

Ni gari gani huwezi kununua Wala kumshauri mwingine anunue?

1. Range rovers- haya magari si imara na yatakugharimu kiasi kikubwa kutengeneza. Na pia thamani yake inashuka haraka sana pale tu linapoanza kutumika. Mbadala wa hili unaweza kumiliki landcruiser 200series (maararufu kama v8)
Hapa focus tu kwenye depreciation.

RR ni kama Ndege ya aridhini, kufanya maintenance na repairs frequently ni kawaida tu.
 
1. nissan extrail, hii imeshachangiwa na members wengine humu tayari, cha kuongezea tu ni kwamba hizo nissan wenyewe walitoaga tamko kwama walibugi kwenye hizo gari, kuchemsha hilo gari ni ugonjwa mkubwa, labda ubadilishe rejeta uweke kubwa_modification

2. European cars ambazo hazijathibitshwa na wenyewe, kwamba umenunua kwa third part owners kama sbt, kwa mtu, befoward etc..yaani iwe bmw, volvo, honda etc kama umenunua used kwa mtu basi jua asilimia ya kuwajua mafundi wote hapa mjini ni mkubwa sana, nunua hata ikiwa used iwe imethibitishwa iko okay na authourised European car agent wa hayo magari..itakupa garantii kwamba sensor hazijawa bypassed etc etc engine haijawahi chezewa ili kukunusuru otherwise buy 0 km car.
ukitaka kuthibitisha hili nenda kuna mtaa mmoja hapo mwenge kule karibu na mapambano yamejaa mabmw, nenda kinondoni hananasif mtaa wote umejaa rangerover..au tembelea mitaa ya mbezi beach, makumbusho uone bmw na rangerover zimekuwa mapagale..

3. Daihatsu Terrios/ camry...automatic gear box zake mbovu

4. mazda tribute, hyundai , isuzu trooper, bighon, honda oddesy..hamna spare utachina na hela unayo, litaishia kupaki uwani liwe jumba la panya..spare mpaka nairobi au japan
5. Nissan kwa ujumla: ie terrano, navara.. hazikopeshi hizi gari, hazivumilii watu maskini, ihudumie ikuhudumie, ikose maji tu au oil mlimani inakukaangia engine dakika 0 tu..iwekee shock up og ukiweka za 80k wiki tu unayaingia mashimo mazima mazima.

Pendekezo.
Toyota ndo magari yako made for us, yanavumilia, hata ukiyawekea oil ya boda boda yatakuvumilia..nenda milimani mahenge uko utakua toyota corolla ya mwaka 89 inakilometa laki 6 na inapiga kazi mzee.

Vp Nissan patrol y61
 
1. nissan extrail, hii imeshachangiwa na members wengine humu tayari, cha kuongezea tu ni kwamba hizo nissan wenyewe walitoaga tamko kwama walibugi kwenye hizo gari, kuchemsha hilo gari ni ugonjwa mkubwa, labda ubadilishe rejeta uweke kubwa_modification

2. European cars ambazo hazijathibitshwa na wenyewe, kwamba umenunua kwa third part owners kama sbt, kwa mtu, befoward etc..yaani iwe bmw, volvo, honda etc kama umenunua used kwa mtu basi jua asilimia ya kuwajua mafundi wote hapa mjini ni mkubwa sana, nunua hata ikiwa used iwe imethibitishwa iko okay na authourised European car agent wa hayo magari..itakupa garantii kwamba sensor hazijawa bypassed etc etc engine haijawahi chezewa ili kukunusuru otherwise buy 0 km car.
ukitaka kuthibitisha hili nenda kuna mtaa mmoja hapo mwenge kule karibu na mapambano yamejaa mabmw, nenda kinondoni hananasif mtaa wote umejaa rangerover..au tembelea mitaa ya mbezi beach, makumbusho uone bmw na rangerover zimekuwa mapagale..

3. Daihatsu Terrios/ camry...automatic gear box zake mbovu

4. mazda tribute, hyundai , isuzu trooper, bighon, honda oddesy..hamna spare utachina na hela unayo, litaishia kupaki uwani liwe jumba la panya..spare mpaka nairobi au japan
5. Nissan kwa ujumla: ie terrano, navara.. hazikopeshi hizi gari, hazivumilii watu maskini, ihudumie ikuhudumie, ikose maji tu au oil mlimani inakukaangia engine dakika 0 tu..iwekee shock up og ukiweka za 80k wiki tu unayaingia mashimo mazima mazima.

Pendekezo.
Toyota ndo magari yako made for us, yanavumilia, hata ukiyawekea oil ya boda boda yatakuvumilia..nenda milimani mahenge uko utakua toyota corolla ya mwaka 89 inakilometa laki 6 na inapiga kazi mzee.
Hapo kwenye Toyota umenikosha, hizo ndio gari zangu pendwa
 
Ukitaka yakukute, osha Engine ya Nissan Xtrail, hakika Alternator itakufa hapo hapo na itakupasa ukanunue nyingine. Nissan wamechemsha sana gari zao

Kuosha kupi sasa
Nimeosha xtrail kwa miaka 8 na sijaona unachosema
 
Hapana
Usichanganye mtu kushindwa kuhimili gharama za gari na suala la pasua kichwa.

Mfano
Unaambiwa oil ya gari flani tumia synthentic ya Atlantic kisha mtu anaweka oil zake za mwendokasi, hapo ni pasua kichwa gari au ni elimu ya ufahamu na affordability?
Hatari Sana lakini nissan ni shida
 
Wakuu hivi kati ya
IST 1.5L new model ya 2010
IST 1.5L old model ya 2005
Ipi Ina performance nzuri na comfortability kwenye road ukiachana na gharama zao.
 
Kuosha kupi sasa
Nimeosha xtrail kwa miaka 8 na sijaona unachosema
Mimi nimetumia:
Nissan sunny mpaka nikauza sikupata shida. miaka 7
Nissan Xtrail miaka 3 mpaka nimeuza sikuona shida kubwa
Nissan Skyline mwaka bila shida (mpaka ikapata ajali ikaisha)
Nissan March ya 2006 ninayo mpaka sasa haina shida
Gari ni kujua matunzo na service zake tu...
 
Back
Top Bottom