evangelical
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 5,035
- 8,218
Ni kweli siku hiyo nilikuwa natumia simu ambayo sikuizoeaMwanangu unachapia kishenzi uandishi wako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kweli siku hiyo nilikuwa natumia simu ambayo sikuizoeaMwanangu unachapia kishenzi uandishi wako!
Hapa focus tu kwenye depreciation.1. Range rovers- haya magari si imara na yatakugharimu kiasi kikubwa kutengeneza. Na pia thamani yake inashuka haraka sana pale tu linapoanza kutumika. Mbadala wa hili unaweza kumiliki landcruiser 200series (maararufu kama v8)
90% gari zetu ni pasua kichwa sana.Gari aliyetumia mbongo. Bora utoboke kuagiza [emoji28]
Kwanini uoshe engine?Ukitaka yakukute, osha Engine ya Nissan Xtrail, hakika Alternator itakufa hapo hapo na itakupasa ukanunue nyingine. Nissan wamechemsha sana gari zao
Hahaahhahaa mkuu umeupiga mwingi saaana[emoji848][emoji848]View attachment 2328979View attachment 2328980
1. nissan extrail, hii imeshachangiwa na members wengine humu tayari, cha kuongezea tu ni kwamba hizo nissan wenyewe walitoaga tamko kwama walibugi kwenye hizo gari, kuchemsha hilo gari ni ugonjwa mkubwa, labda ubadilishe rejeta uweke kubwa_modification
2. European cars ambazo hazijathibitshwa na wenyewe, kwamba umenunua kwa third part owners kama sbt, kwa mtu, befoward etc..yaani iwe bmw, volvo, honda etc kama umenunua used kwa mtu basi jua asilimia ya kuwajua mafundi wote hapa mjini ni mkubwa sana, nunua hata ikiwa used iwe imethibitishwa iko okay na authourised European car agent wa hayo magari..itakupa garantii kwamba sensor hazijawa bypassed etc etc engine haijawahi chezewa ili kukunusuru otherwise buy 0 km car.
ukitaka kuthibitisha hili nenda kuna mtaa mmoja hapo mwenge kule karibu na mapambano yamejaa mabmw, nenda kinondoni hananasif mtaa wote umejaa rangerover..au tembelea mitaa ya mbezi beach, makumbusho uone bmw na rangerover zimekuwa mapagale..
3. Daihatsu Terrios/ camry...automatic gear box zake mbovu
4. mazda tribute, hyundai , isuzu trooper, bighon, honda oddesy..hamna spare utachina na hela unayo, litaishia kupaki uwani liwe jumba la panya..spare mpaka nairobi au japan
5. Nissan kwa ujumla: ie terrano, navara.. hazikopeshi hizi gari, hazivumilii watu maskini, ihudumie ikuhudumie, ikose maji tu au oil mlimani inakukaangia engine dakika 0 tu..iwekee shock up og ukiweka za 80k wiki tu unayaingia mashimo mazima mazima.
Pendekezo.
Toyota ndo magari yako made for us, yanavumilia, hata ukiyawekea oil ya boda boda yatakuvumilia..nenda milimani mahenge uko utakua toyota corolla ya mwaka 89 inakilometa laki 6 na inapiga kazi mzee.
Hapo kwenye Toyota umenikosha, hizo ndio gari zangu pendwa1. nissan extrail, hii imeshachangiwa na members wengine humu tayari, cha kuongezea tu ni kwamba hizo nissan wenyewe walitoaga tamko kwama walibugi kwenye hizo gari, kuchemsha hilo gari ni ugonjwa mkubwa, labda ubadilishe rejeta uweke kubwa_modification
2. European cars ambazo hazijathibitshwa na wenyewe, kwamba umenunua kwa third part owners kama sbt, kwa mtu, befoward etc..yaani iwe bmw, volvo, honda etc kama umenunua used kwa mtu basi jua asilimia ya kuwajua mafundi wote hapa mjini ni mkubwa sana, nunua hata ikiwa used iwe imethibitishwa iko okay na authourised European car agent wa hayo magari..itakupa garantii kwamba sensor hazijawa bypassed etc etc engine haijawahi chezewa ili kukunusuru otherwise buy 0 km car.
ukitaka kuthibitisha hili nenda kuna mtaa mmoja hapo mwenge kule karibu na mapambano yamejaa mabmw, nenda kinondoni hananasif mtaa wote umejaa rangerover..au tembelea mitaa ya mbezi beach, makumbusho uone bmw na rangerover zimekuwa mapagale..
3. Daihatsu Terrios/ camry...automatic gear box zake mbovu
4. mazda tribute, hyundai , isuzu trooper, bighon, honda oddesy..hamna spare utachina na hela unayo, litaishia kupaki uwani liwe jumba la panya..spare mpaka nairobi au japan
5. Nissan kwa ujumla: ie terrano, navara.. hazikopeshi hizi gari, hazivumilii watu maskini, ihudumie ikuhudumie, ikose maji tu au oil mlimani inakukaangia engine dakika 0 tu..iwekee shock up og ukiweka za 80k wiki tu unayaingia mashimo mazima mazima.
Pendekezo.
Toyota ndo magari yako made for us, yanavumilia, hata ukiyawekea oil ya boda boda yatakuvumilia..nenda milimani mahenge uko utakua toyota corolla ya mwaka 89 inakilometa laki 6 na inapiga kazi mzee.
hahha ninayo sprinter no. B nilichukua kwa muhindi. ina km 170 lakini iko smoorh hatariHapo kwenye Toyota umenikosha, hizo ndio gari zangu pendwa
Ukitaka yakukute, osha Engine ya Nissan Xtrail, hakika Alternator itakufa hapo hapo na itakupasa ukanunue nyingine. Nissan wamechemsha sana gari zao
Haiondoi ukweli kwamba hizo gari ni pasua kichwa
Hatari Sana lakini nissan ni shidaHapana
Usichanganye mtu kushindwa kuhimili gharama za gari na suala la pasua kichwa.
Mfano
Unaambiwa oil ya gari flani tumia synthentic ya Atlantic kisha mtu anaweka oil zake za mwendokasi, hapo ni pasua kichwa gari au ni elimu ya ufahamu na affordability?
Hatari Sana lakini nissan ni shida
New model iko vizuriWakuu hivi kati ya
IST 1.5L new model ya 2010
IST 1.5L old model ya 2005
Ipi Ina performance nzuri na comfortability kwenye road ukiachana na gharama zao.
New model ina performance nzuri na ni more fuel efficient kuliko old.Wakuu hivi kati ya
IST 1.5L new model ya 2010
IST 1.5L old model ya 2005
Ipi Ina performance nzuri na comfortability kwenye road ukiachana na gharama zao.
Nimecheka aseeNissan march a.k.a ndoa ya kikristo.
Mimi nimetumia:Kuosha kupi sasa
Nimeosha xtrail kwa miaka 8 na sijaona unachosema
Kiongozi, hivi kati ya Allex na Runx kuna tofauti yoyote mbali na majina yao?