Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mimi niliponunua walisema hayo ya engines za D4, lakini mpaka sasa inapiga kazi na sijapata shida yoyote. Ukitaka pia zipo VVTI. Tofauti ya D4 VVTI na VVTI ni kuwa D4 zinatupa fuel moja kwa moja kwenye combustion chamber wakati VVTI zinatupa kwenye inlet manifold kisha huchanganywa na hewa ndio viende kwenye combustion chamber. hapo ndio unakuta VVTI inakula zaidi mafuta cuz inakuwa na likelihood ya incomplete Burning of fuel.Duh chief utakua msaada kwangu,nna mahaba na Voltz ila nimekula salio sasa jamaa akanipa option ya Caldina kua iko poa ili aniagizie watu wananiambia D4 VVTI ni engine magmashi sana zinasumbua ila hiyo ni CC 1990 ya mwaka 2003 nakusogezea na picha unipe uhalisia,bei kakomaa 11 anasmea hapo kanionyesha ushikaji pia.
View attachment 376060
View attachment 376062
Nitashukuru nikipata muongozo.
Mkuu nimekuelewa... Na kwenye kelele ni kweli kabisa ila hiyo full VVTi huwa silencer mnoo imetulia.Hata mimi niliponunua walisema hayo ya engines za D4, lakini mpaka sasa inapiga kazi na sijapata shida yoyote. Ukitaka pia zipo VVTI. Tofauti ya D4 VVTI na VVTI ni kuwa D4 zinatupa fuel moja kwa moja kwenye combustion chamber wakati VVTI zinatupa kwenye inlet manifold kisha huchanganywa na hewa ndio viende kwenye combustion chamber. hapo ndio unakuta VVTI inakula zaidi mafuta cuz inakuwa na likelihood ya incomplete Burning of fuel.
Kwa kifupi sijaona tatizo la D4.labda tu kitaalamu wanasema pia Engines zinakuwa na Noise uki compare na Full VVTI.
Hio inaitwa paddle shifting, hata gari za kawaida kama Mazda rx 8 Zina hio systemFerrari wana option ya Dual Clutch system ambayo gear zipo kwenye steering unafanya Ku push high na low gear badala kuhangaika kukanyaga mafuta mengi u just control gears at ur hands
Gari yoyote well serviced inatoboa vizuri tu, dar arusha km 650 sio big dealNaam
Kama title inavyojieleza hapo juu...
Actualy ni swali, At list ningependa kujua kutoka kwenu gari ndogo zenye 1790Cc -1500Cc ambazo mtu anaweza kutoboa safari za Dar-Arusha ama Dar-Mbeya au Dar-Mwanza angalau mara 2 ndani ya kila mwezi..
Nina mana ya kama ni Dar-Arusha basi ndani ya mwezi inaweza kusafiri mara 2...
hii gari nzuri saana, hivi shs ngapi ?Toyota Ractis nzur sana na ina option ya auto na manual mpaka gear 7 pale kwenye steering ndo kuna manual option zile + na - noma yani utafikir unaendesha Ferrari
12 kwa bei ya show room ila ukiagiza be forward au Enhance auto inafikia 11 hivhii gari nzuri saana, hivi shs ngapi ?
Thanks mkuu12 kwa bei ya show room ila ukiagiza be forward au Enhance auto inafikia 11 hiv