Ni haki kweli kumlipia mpenzi wako mahari ng'ombe 40?

Ni haki kweli kumlipia mpenzi wako mahari ng'ombe 40?

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2.

Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.

Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.

Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
 
Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2. Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu. Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine. Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Kama kashapiga basi aileta kule kwa kula kimasihara tu hakuna namna.
 
Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2. Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu. Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine. Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Kwa tamaa hizi za wazazi vijana wataishia kupiga tuu na kutia mimba bila kuoa
 
Utamlaumu bure tu, lakini kwenye jamii ya wasukuma ni kweli wanathamini ng'ombe wengi sana. Kwa kawaida wanaanzia 25. Lakini kama binti kasoma na ni mweupe, mbona 40 kawaida sana.
But pia hua wanaeka exception kama mwanaume anaekuja kuoa ana kazi nzuri au kipato cha uhakika maana wanaamini kwa huyu binti yao hawezi kuteseka, so hapo watashuka maybe hata mpka ng'ombe 10.
Ushauri wa bure, huyo mwanao mwambie atafte wazee wa kisukuma kutoka pande hizo ndo aunganishe na wazee wake af ndo waende kuongelea mahari. Hapo atapata unafuu tena mkubwa tu. Lakini akoenda kibingwa ye na hao watu wa tanga, watakamuliwa mpka watoke jasho la kwenye meno.
Mwisho kabisa, mahari sio lazma ypte kwa mara moja. Ikishindikana amtungue kijusi tu, lazma wapoze engine.
 
Back
Top Bottom