Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2.
Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.
Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.
Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.
Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.
Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!