Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
Mahari za namna hii ndio maana wanaume wanapata haki ya kuwanyanyasa wake zao......sababu kama wameuziwa hivi ..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ng'ombe 40 kahurumiwa kabisa huyo jamaa ako, kihalali ni ng'ombe 60 kwa mdada mweupe wa kinyantuzu ndio apewe mkeNdio nimweupe na amesoma mpaka chuo kikuu ila kaishia degree tu.
Chukulia ng'ombe mmoja ni 500,000 Kwa mfano so hapo kama kuna 20mKwani ngombe 40 kwa makadirio Ni sh ngapi?
Sasa gharama za wao kumsomeshabinti yao zinamhusu vipi muoaji[emoji848]Ndio nimweupe na amesoma mpaka chuo kikuu ila kaishia degree tu.
Huo Ni upuuzi mwanangu akifanya namuwasha makofiChukulia ng'ombe mmoja ni 500,000 Kwa mfano so hapo kama kuna 20m
Kumbe bado kuna watu wanauza mabinti zao lohMahari za namna hii ndio maana wanaume wanapata haki ya kuwanyanyasa wake zao......sababu kama wameuziwa hivi ..........
Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2.
Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.
Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.
Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Ninavyojua katika mahari ng'ombe huthaminishwa kwa laki mbili, so hata mtu akitoa million mbili inatajwa ni mahari ya ngombe kumi. Jamaa atafute wazee, arbagain ht ng'ombe ishirini, awape million ambayo ni 5, myingine aseme atamalizia, full stopKwani ngombe 40 kwa makadirio Ni sh ngapi?
Unamaanisha mbuzi?Ng'ombe wamahari elf 50 atashidwaje 😂😂😂
Kumbe rahisi hivi hauwezi kosa m8 aisee mimi nilipiga ng'ombe moja laki 8 hadi milioni so nikaona m 34 hadi m 40 parefu mnoNinavyojua katika mahari ng'ombe huthaminishwa kwa laki mbili, so hata mtu akitoa million mbili inatajwa ni mahari ya ngombe kumi. Jamaa atafute wazee, arbagain ht ng'ombe ishirini, awape million ambayo ni 5, myingine aseme atamalizia, full stop
Na hao ng'ombe ni vitoto ng'ombe au..me siwezi nunua ng'ombe nitawap max milion 4 hao ndo watajua wanunue niniUtamlaumu bure tu, lakini kwenye jamii ya wasukuma ni kweli wanathamini ng'ombe wengi sana. Kwa kawaida wanaanzia 25. Lakini kama binti kasoma na ni mweupe, mbona 40 kawaida sana.
But pia hua wanaeka exception kama mwanaume anaekuja kuoa ana kazi nzuri au kipato cha uhakika maana wanaamini kwa huyu binti yao hawezi kuteseka, so hapo watashuka maybe hata mpka ng'ombe 10.
Ushauri wa bure, huyo mwanao mwambie atafte wazee wa kisukuma kutoka pande hizo ndo aunganishe na wazee wake af ndo waende kuongelea mahari. Hapo atapata unafuu tena mkubwa tu. Lakini akoenda kibingwa ye na hao watu wa tanga, watakamuliwa mpka watoke jasho la kwenye meno.
Mwisho kabisa, mahari sio lazma ypte kwa mara moja. Ikishindikana amtungue kijusi tu, lazma wapoze engine.
Weka akiba ya maneno kijana wako atakutana na mnato zaidi ya sumaku anachanganyikiwa na haelewi jamboHuo Ni upuuzi mwanangu akifanya namuwasha makofi
Mkuu elewa hawataki hela wanataka ng'ombe kama ng'ombe yule mnyama!Ninavyojua katika mahari ng'ombe huthaminishwa kwa laki mbili, so hata mtu akitoa million mbili inatajwa ni mahari ya ngombe kumi. Jamaa atafute wazee, arbagain ht ng'ombe ishirini, awape million ambayo ni 5, myingine aseme atamalizia, full stop
Tafuta wazee wakaongee, kwa miaka ya sasa hakuna biashara za kupeleka zizi, ila wakikomaa nashauri achaneni na huyo bidada au mtieni mimba tu. Mahali itashuka yenyewe tuMkuu elewa hawataki hela wanataka ng'ombe kama ng'ombe yule mnyama!