Kuna watu walihack, nashukuru imerudishwa....kuna habari gani hapa πNi wewe kweli au wamehack account?
Ng'ombe 40 ni hela nyingi sana hiyo. Wanawake wenyewe hawana maana kabisa siku hizi. Bora piga chakula chako vizuri fanya mazoezi kula ganja na cigar yako safi maisha yanaendaWashukuru kwa kipi ng'ombe 40 unadhani ni wote watamudu?
Mkuu 40 ni nyingi sana. mimi jamaa yangu alikaziwa ngombe kumi mamake hatari.. ikabidi tubadilishe tusiongee kuhusu ngombe tuwaweke kwenye mfumo wa pesa ndo ikawa pona yetu.Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2.
Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.
Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.
Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Apo mahari inayotakiwa m2 nabado anaweza kuomba kupunguziwa,Unamaanisha mbuzi?
Wewe unadhani watu wote wana uwezo wa kutoa milioni 8? Halafu mahari yote hiyo ya nini?Kumbe rahisi hivi hauwezi kosa m8 aisee mimi nilipiga ng'ombe moja laki 8 hadi milioni so nikaona m 34 hadi m 40 parefu mno
Mahari za watoto kanda ya ziwa rangi nyeupe huwa ndio iko hivyo, wanyantuzu ni jamii ya wasukumaNina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2.
Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.
Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.
Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Niliwahi kuskia story kwamba zamani ikitajwa ng'ombe mahari ya mnyama yaani ni kwamba wakwe wanakuja kuchagua wenyewe zizini sasa wanachukua yale yenye afya kweli kweli halafu wanawaachia wale waliokonda.Apo mahari inayotakiwa m2 nabado anaweza kuomba kupunguziwa,
Unadhani jamaa ataswaga ng'ombe awapeleke? Zamani ilikuwa ilikuwa inawezekana familia nyingi zilikuwa zakifugaji na walikua wanatoa kweli.
Jamaa atakuwa kila akiona ng'ombe, anashikwa na presha. Kapigwa kitu cha Emotional Damage.Nina mshkaji wangu, homeboy wangu kabisa ana mpenzi wake ambaye wamedumu naye kwenye mahusiano kwa takribani miaka 2.
Mwana akaamua ampeleke mtoto kwa wazazi wake huko Tanga kwanjeka. Wazazi wa mwana wakamwelewa na kumkubali huyo demu kiroho safi, sasa ikawa zamu ya demu kwao ni Simiyu maeneo ya Itilima ni mnyantuzu.
Kufika huko wazazi wa demu wakamkomalia mshkaji wangu alipe ng'ombe 40 kama mahari ya demu haswa ukizingatia wamemsomesha kwa gharama. Mshkaji aliponiomba ushauri juu ya hili swala, mi nikamshauri atoe kama kweli anampenda demu, ila wazazi wa mwana wamemwambia hawamtaki tena huyo demu wake nakwamba atafte mwingine.
Sasa kwanini wazazi wanaweka mahari za kukomoa watu? Na hapo si kama amemfanya mwanae kuwa kitega uchumi? Ni aibu sana tena sana!
Yaani ng'ombe 40 ni millioni 2 hao ng'ombe au kukuNg'ombe 40 kama yule aliyepewa mayele au maana kwa hesabu ya haraka ni kama 2 million hapo inakatika.