Ni halali CCM kufanyia vikao Ikulu?

Ni halali CCM kufanyia vikao Ikulu?

Kikao cha jana pia kilifanyika Ikulu. Pichani, Mwenyekiti wa CCM akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM kilichofanyika Ikulu jijini Dar Es Salaam jana.

8E9U0046.JPG
 
Spot on. Chama cha siasa kinaruhusiwa kuendesha vikao vyake Ikulu? Ni bora tujue wazi kama siku hizi Ikulu inakodisha kumbi za mikutano na sisi tukaombe kuendeshea meetings na ma-conference mle.

Kuna jambo moja kubwa ambalo ni wazi na watu wameliongelea mara kadhaa hapakwa lugha tofauti tofauti ingwa maana ni ileile juu ya kuwa mwanachama wa CCM, Ukishakuwa mwanaCCM hata ungekuwa na upeo wa kiwango cha hali ya juu utafikia kiasi cha akili yako kuwa retarded, kama huamini kumbuka mara ngapi watu tumelalamikia jambo hilo na bado linaendelea kufanyika kama hawana akili timamu ya kuelewa kinacholalamikiwa na kuendelea kukenua meno tu?
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kuna jambo moja kubwa ambalo ni wazi na watu wameliongelea mara kadhaa hapakwa lugha tofauti tofauti ingwa maana ni ileile juu ya kuwa mwanachama wa CCM, Ukishakuwa mwanaCCM hata ungekuwa na upeo wa kiwango cha hali ya juu utafikia kiasi cha akili yako kuwa retarded, kama huamini kumbuka mara ngapi watu tumelalamikia jambo hilo na bado linaendelea kufanyika kama hawana akili timamu ya kuelewa kinacholalamikiwa na kuendelea kukenua meno tu?

Inaonyesha kikao cha kwanza was not a mistake to them. Ndio maana wameamua kufanya kakao cha pili tena Ikulu. We will probaly see these sort of meetings Ikulu. Kuna practice inajengeka hapa na kama watu hawatachukua hatua vikao vya chama vitakuwa vinafanyika Ikulu sasa.
 
Inaonyesha kikao cha kwanza was not a mistake to them. Ndio maana wameamua kufanya kakao cha pili tena Ikulu. We will probaly see these sort of meetings Ikulu. Kuna practice inajengeka hapa na kama watu hawatachukua hatua vikao vya chama vitakuwa vinafanyika Ikulu sasa.

Vyombo vya habari vimenyamazishwa kabisa hakuna chombo cho chote cha habari kinachotoa utetezi wa jambo hili, bahasha za kaki zinafanya kazi iliyokusudia. Lakini jambo ambalo ni hatari wanahbari kufanya mambo kwa mazoea ya kushinikizwa kutotoa habari kwa kitu kidogo badala ya wajibu wa taaluma yao kwa umma.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Kikao cha jana pia kilifanyika Ikulu. Pichani, Mwenyekiti wa CCM akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri ya CCM kilichofanyika Ikulu jijini Dar Es Salaam jana.

8E9U0046.JPG


EMT yaani hii imejirudia tena licha ya mkutano wa siku tatu au nne zilizopita?
 
Maybe the chairman isn't feeling well physically, eg. Malaria, so due to the urgency of the meeting felt better to call the CC members to State House, ok!!?
 
EMT yaani hii imejirudia tena licha ya mkutano wa siku tatu au nne zilizopita?

Yep, imejirudia tena and probably inaonekana ni practice fulani inajengeka.
 
Inaonyesha kikao cha kwanza was not a mistake to them. Ndio maana wameamua kufanya kakao cha pili tena Ikulu. We will probaly see these sort of meetings Ikulu. Kuna practice inajengeka hapa na kama watu hawatachukua hatua vikao vya chama vitakuwa vinafanyika Ikulu sasa.
Ongea.jpg

Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Makamu wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal,
Makamu wa Pili wa Zanzzibar, Balozi Seif Iddi na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda,
wakijadili jambo muda mfupi baada ya kumalizika kwa kikao cha
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM
kilichofanyika
Ikulu jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.

IPPMedia ayo imeanika picha hii wakiwa lango la Ikulu.
 
Naomba kujuzwa....Je ni halali kuendesha shughuli za Chama cha siasa ndani ya IKULU au haya pia ni mapungufu yaliyomo ndani ya Katiba yetu ya sasa?? Hivi vyama si vinakuwa na ofisi zake kwa shughuli zake sasa iweje CCM mara kadhaa vikao vyao wanavifanyia IKULU.....Vikao vyao hivyo vinagharimiwa kwa fedha za chama au kwa fedha za Watanzania????
 
Naomba kujuzwa....Je ni halali kuendesha shughuli za Chama cha siasa ndani ya IKULU au haya pia ni mapungufu yaliyomo ndani ya Katiba yetu ya sasa?? Hivi vyama si vinakuwa na ofisi zake kwa shughuli zake sasa iweje CCM mara kadhaa vikao vyao wanavifanyia IKULU.....Vikao vyao hivyo vinagharimiwa kwa fedha za chama au kwa fedha za Watanzania????
Maneno yako ni ya kweli kabisa, CDM wakienda ikulu tena hakuna kupewa Juice , mambo ya kuomba glass mbili mbili za juice zinatia hasara taifa.
 
je ni harali kwa kamati ya ccm kutumia rasimali za ikulu kufanyia vikao vyake vya kichama ?​
 

Attachments

  • cc ta ccm ikulu.jpg
    cc ta ccm ikulu.jpg
    69.8 KB · Views: 44
Si halali
hiyo ni ishara kwamba wanatumia vibaya rasilimali za hili taifa
Unaonaje tukawapeleka kwa PILATO?
 
Du!sikuwah kuwazia hii kitu!kweli Jf kuna vichwa!watakuambia ndio ofisn kwa mwenyekiti!
 
Ni kujisahau,mimi sijawahi ona Ben,Mkapa enzi za utawala wake,hajafanya hivyo,lakini huyu bwana!sijui anajiamini vipi?
 
Kiukweli ni chama na sirikali......wewe unadhani JK aatacha kupeleka Uccm wake pale magogoni ilhali yeye ni mwnykigoda wa chama tawala? Hilo haliepukiki hata Kama si haki/sawa. Ndio hali halisi.
 
Ndomaana kila siku tunasema tatizo la Nchi yetu ni Mkuu wa kaya hata akibadili mawaziri kila wiki bila ye mwenyewe kukiri Nchi imemshinda nakustep down ni sawa na kukausha bahari kwa kizibo cha soda.
 
CCM ni chama kiongozi nchini mwetu,Viongozi wa CCM ndo hao watawala wa serikali yetu...kwahiyo CCM ndio Serikali...Hivyo HAKUNA UBAYA VIKAO KUFANYIKA IKULU!! ni mangapi yamefanyika ya kichama ndani ya IKULU lakin hayakuwekwa hadharani....conclusion ni HALALI hata kama hutaki kukabali ndio hivyo ishakuwa..

Senator, kama vile wizi ulivyo hatuutaki kwa sababu sio mzuri lakini ndo hivyo upo unafanyika na tuukubali hata kama hatutaki au? inafanana fanana na mambo ya ki-ccm. me sikubali au lumumba pashachakachuliwa??
 
Back
Top Bottom