Elisha Ray
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 323
- 94
Ndomaana kila siku tunasema tatizo la Nchi yetu ni Mkuu wa kaya hata akibadili mawaziri kila wiki bila ye mwenyewe kukiri Nchi imemshinda nakustep down ni sawa na kukausha bahari kwa kizibo cha soda.
Anataka kumuiga Farao kwa kuwa na moyo mgumu. Hajui hizi ni nyakati tofauti....