Elisha Ray
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 323
- 94
Ndomaana kila siku tunasema tatizo la Nchi yetu ni Mkuu wa kaya hata akibadili mawaziri kila wiki bila ye mwenyewe kukiri Nchi imemshinda nakustep down ni sawa na kukausha bahari kwa kizibo cha soda.
Unadhani????? Hivi ndugu zangu tutaishi kwenye zama za kudhani hadi lini? Je hatuna kanuni zinazotuongoza katika hili na masuala mengine kati ya vyama vya siasa na serikali....?
Hawa Jamaa wa Deep Green walishajimiulikisha kabisa hii nchi kama vile walivyoamua kujimilikisha Viwanja vya mipira huko mikoani
Yep, imejirudia tena and probably inaonekana ni practice fulani inajengeka.
Naomba kujuzwa....Je ni halali kuendesha shughuli za Chama cha siasa ndani ya IKULU au haya pia ni mapungufu yaliyomo ndani ya Katiba yetu ya sasa?? Hivi vyama si vinakuwa na ofisi zake kwa shughuli zake sasa iweje CCM mara kadhaa vikao vyao wanavifanyia IKULU.....Vikao vyao hivyo vinagharimiwa kwa fedha za chama au kwa fedha za Watanzania????