Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Rais wa Jamhuri ana uhuru wa kufanya mkutano na kikundi chochote ikulu wakati wowote atakao.
Swali kama hili linakuwa na mantiki pale mkutano ufanyike ikulu alafu Rais asiwepo... lakini maadamu yupo utaambiwa na wana-usalama kwamba waliona Lumbumba sio salama sasa utasema je? na ofisi yake na makao yake yako Ikulu.
Hivi na mweshimiwa chenge ni mjumbe? au ni macho yangu tu? Haya kwa wale wanaofikiria kuwa ktk chama cha Mapinduzi kutatokea mabadiliko miaka ya karibuni wameliwa.
Unafahamu mzee cost ya kumpeleka Rais wa Jamhuri Dodoma na Kurudi. au unadhani Rais atalipiwa na chama... safari zote za Rais zinalipiwa na Serikali mkuu... they are the one responsible kwa usalama wake.
- Si Usalama wa Taifa ndio wanaamua Rais afanyie wapi mkutano, au aende wapi na asiende wapi, au? na kwamba kwenye hili la usalama wa viongozi wa juu wa taifa hakuna compromise wala negotiations na yeyote yule
Yes, But until when... kwa sasa yuko ndani ya mstari mkuu, na huwezi kulaumu kabisa.
Furthermore, kwa utaratibu wa sasa alivyofanya mkutano Magogoni it is cost effective kwetu taifa na kwa CCM kuliko angeupeleka Dodoma.
Ukifuatilia kwa makini CCM pia wanaogopa mzigo wa kusafirisha wajumbe wao ndio maana mara nyingi sana NEC inakutana wakati wa Bunge sessions.
Hivi mtoto wa rais akiolewa send-off atafanyia wapi?
Yes, But until when... kwa sasa yuko ndani ya mstari mkuu, na huwezi kulaumu kabisa.
Furthermore, kwa utaratibu wa sasa alivyofanya mkutano Magogoni it is cost effective kwetu taifa na kwa CCM kuliko angeupeleka Dodoma.
Ukifuatilia kwa makini CCM pia wanaogopa mzigo wa kusafirisha wajumbe wao ndio maana mara nyingi sana NEC inakutana wakati wa Bunge sessions.
Ni jambo linalokera lakini watu wako Kimya. Hivi hawa CCM wana haki gani ya kuendeshea vikao vya Kamati Kuu ya Chama chao kwenye Ofisi ya Umma. Ikulu nayo ni Ofisi ya CCM?
Gharama za kuendeshea vikao vya CCM Ikulu, inalipwa na nani. Na jee kama CHADEMA nao wakitaka kuendeshea vikao vyao Ikulu (kabla ya kushika Dola) wataruhusiwa na kama watakazwa ni kwa mantiki gani?