Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Rais wa Jamhuri ana uhuru wa kufanya mkutano na kikundi chochote ikulu wakati wowote atakao.
Swali kama hili linakuwa na mantiki pale mkutano ufanyike ikulu alafu Rais asiwepo... lakini maadamu yupo utaambiwa na wana-usalama kwamba waliona Lumbumba sio salama sasa utasema je? na ofisi yake na makao yake yako Ikulu.
Kwa hali hiyo hata vikao vya harusi anaweza kufanyia humo humo?
Amandla........