Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumekusikia Mkuu. Siku wakija kufanya vikao vyao kwenye chumba chako na mkeo usilalame.
Ikulu palikuwa mahali pa takatifu wakati wa urais wa Nyerere tu. Walipoingia dot com wakapageuza pango la wanyang'anyi. Hapo ndipo dili za wizi wa EPA, ugawanaji wa nyumba za serikali ullipoppangwa na kutekelezwa bila aibu. Hapo ndipo sasa utashangaa mtu aliyeitapeli serikali na RICHMOND yake akifika hapo na kupokelewa kwa heshima zote tena na makamu wa rais. Madudu ni mengi! You name it! Ingekuwa wakati wa Nyerere baadhi ya unaowaona katika picha hapo wasingenusa hapo. Wakati ule tuhuma tu ilitosha kukudisqualify. Lakini sasa mtu hata akituhumiwa kusafirisha pembe za ndovu au wanyama wetu anatinga ikulu kiulaiiiiini!!Naomba kufahamishwa na wale wenye kufahamu zaidi, hivi ni sawa vikao vya CCM kufanyika Ikulu? Ninavyotambua Ikulu huwasikilisha serikali ikiwa ni pamoja na jamii nzima ya Tanzania.
Hivi CUF, TLP au Chadema wanaweza kufanyia mikutano yao Ikulu au katika sehemu zingine kama hizo?
Hiki ndicho chanzo cha swali langu:
![]()
Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ikulu jijini Dar es Salaam (Photo by Freddy Maro).
mbona cdm washakaribishwa ikulu na kufanya naye vikao?
Ngoja waje.Ikulu ni mahala patakatifu.
Ikulu haina chama cha siasa
kama mnataka ukumbi wa kufanyia mikutano yenu ya fitna na majungu nendeni kwenye makao makuu ya chama chenu
turopoke ili iwejeMbn wengn wakifanyia guest au kwny hotel hamropoki
Umeelewa mada?Mbn wengn wakifanyia guest au kwny hotel hamropoki
Duuuuh ngumu hadi kukoment
Ikulu ni mahala patakatifu.
Ikulu haina chama cha siasa
kama mnataka ukumbi wa kufanyia mikutano yenu ya fitna na majungu nendeni kwenye makao makuu ya chama chenu
Kwahiyo ikulu sawa na guestMbn wengn wakifanyia guest au kwny hotel hamropoki