Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Shida sio kwenda kwao, shida ni sababu ya kwenda kwao it's petty.Ungempeleka kwao maana hata kama kuna njaa huko anajua kwao
Ila umebugi sana kumpeleka kwenu
Ila kama bado unajiandaa itabidi umruhusu aende kwao
Huko utakuwa na piece of mind
Utamtumia yeye na huku ukimtumia mama yako
Mama ni Mama tu na ana nafasi kubwa
Usiwachonganishe
Hata sio kuna namna, huyo mwanamke ni mchoyoHapo ni kweli Kaka Kuna namna nahisi mwanamke anakosea pia maana Sasa nimekuelewa wewe yawezekana sikumpata vyema mleta mada ,Ila kwa hapo sioni Kama kumpa hela mwanamke na ilihali alishamzoesha mama yake kutuma hela ya matumizi Kama italeta afya Ila kwa hapo inabidi jamaa atumie hekima sana kumueleza mkewe aelewe vyema .
Soma kuelewa, na mke anamtumia fungu lake la mambo binafsi so anunue chips humoSo wife akitamani chipsi mpaka amuombe mama mkwe? Mimi mara nyingi huwa nawatumia wote. Ila nawawaweka wazi matumizi. Mfano laki moja hiyo ni manunuzi ya mahitaji muhimu kama chakula Sabuni n.k. hiyo elfu hamsini ni ya Mambo yako binafsi.
Nilimtumia wife namuambia kabisa hiyo yako hiyo ya mahitaji ya nyumbani. Jitahisi kuwa muwazi unapotuma pesa
Mke anakomaa na matumizi ya familia atumiwe yeye 😄 🤣 😂 😆 😄 as if huo ni mji wake.Kumpereka kwenu ni jambo sahihi kabisa kwani umemuoa wewe lzm akakae nyumbani kwenu kama bado kuna mambo ya msingi
Fedha za matumizi yake na mtoto mtumie yeye, mama mzazi mtumie kama mzazi wako
Imagine eti anatishia kurudi kwao.... arudi na akatoe maelezo kwao kilichomshinda ukweni ni nini.
Mtu uwaze kujipata ili maisha yarudi kwenye mstari na hapo hapo uwaze kusolve mambo ya kijinga
Wewe ndio muamuzi ila muelewane tuShida sio kwenda kwao, shida ni sababu ya kwenda kwao it's petty.
Ukiangalia a bigger picture akimkubalia saa hii anafungulia mlango wa tabia mbovu kwa vitu vidogo na kususasusa.
Akaze tu, akili ikimkaa sawa amruhusu aende kwao muda asio tarajia ila tayari atakua ashajua ana mume wa aina gani
Sio wanawake wote... mkewe tu ni mjinga mjinga, binafsi for as long natumiwa za mambo yangu binafsi basi mwenye mji afanye anachoweza.Wanawake wawili hawawezi kuishi pamoja
Hilo suala la kumtumia mama yake hela ndiyo afanye matumizi ya hapo nyumbani. Hayupo mwanamke atakayekubali hata huyo mama angekuwa anafanyiwa na baba yake na jamaa asingekubali.
Mkuu,hapa kinachoongelewa,inaonekana mwanamke hajafurahia kutochukua majukumu kama mke. Hajajiona kama yupo ukweni. Wakiwa wote,wanajuana wao. Mwenye kuomba ushauri,ameonyesha kuwa mke wake hajafurahi kitendo cha kuamliwa na mamkwe.Mkuu hata mimi sijasema tusiwapende Wazazi wetu! Lazima tuwaheshimu na kuwasaidia kadri tunavyoweza! Bado ni wajibu wetu kufanya hivyo!
Lakini fahamu mbele za Mungu ukishaoa wewe na mke ni Mwili mmoja! Mnaachana na wazazi,(Mwanzo2:21-24)
Cho chote unachofanya,unachopanga lazima umshirikishe Mkeo bila kimficha hasa hasa fedha.
Mali au fedha unayotafuta ni ya kwako na Mkeo SIYO YA WAZAZI.
Hapo ni kwake???? Akilijua hilo akili itamkaa sawaMkuu,hapa kinachoongelewa,inaonekana mwanamke hajafurahia kutochukua majukumu kama mke. Hajajiona kama yupo ukweni. Wakiwa wote,wanajuana wao. Mwenye kuomba ushauri,ameonyesha kuwa mke wake hajafurahi kitendo cha kuamliwa na mamkwe.
Ila mama ndo aombe hela ya mahitaji kwa mkwewe..... like seriously? Upo nyumbani kwangu halafu unipangie standards zako? Aache utoto huyo mke, asubiri ujipate arudi kwenye mji wake ajipangie anavyowezaTuma ela kwa mkeo
Mkeo awez kudai mahitaji kwa mama yako ila mkeo anawez kutoa mahitaji na akawa huru
We kidudu mtu , huyu kajifungua atahitaji nepi, sabuni, mafuta nk hayo lazima atumiwe yeye umtumie kwe aanze kuomba mama nimemaliza sabuni aisee . Fedha zingine kwa ajiri ya mama yake amtumie mama yake hapo yuko ukweni jambo la kula ni juu ya mkwe acha zako wewe mremboMke anakomaa na matumizi ya familia atumiwe yeye 😄 🤣 😂 😆 😄 as if huo ni mji wake.
Duh! Kazi kweli kweli. Mtu mzima ovyo. We mkamwana akija kwako,ndo awe anatoa pesa ya kuhemea na kuamua unakula nini siku hiyo? Mbona majanga!!!Kwa ushauri wangu kama mtu mzima ni hivi, Mtumie mke wako kama mama ndiye ananunua mahitaji yeye ndio ampe .
Kimsingi kwa sasa mke wako ndio mtendaji mkuu kwenye hiyo familia.
Jambo la mwisho fanya Juu chini hata kama hauko vizuri uishi na mke wako Mama wakwe hawawezi kukaa na wakwe zao kwa zaidi ya wiki moja.
Pole sana Mungu akusaidie Ufanikishe mipango yako
Ila mama ndo aombe hela ya mahitaji kwa mkwewe..... like seriously? Upo nyumbani kwangu halafu unipangie standards zako? Aache utoto huyo mke, asubiri ujipate arudi kwenye mji wake ajipangie anavyowezaTuma ela kwa mkeo
Mkeo awez kudai mahitaji kwa mama yako ila mkeo anawez kutoa mahitaji na akawa huru
Hafu umefunga pm 🤣 nilitamani nikulime jembeIla mama ndo aombe hela ya mahitaji kwa mkwewe..... like seriously? Upo nyumbani kwangu halafu unipangie standards zako? Aache utoto huyo mke, asubiri ujipate arudi kwenye mji wake ajipangie anavyoweza
Tatizo huna akili... kasome kichwa cha mtoa mada then soma na alichoandika ukiona hujaelewa na hapo sina cha kukusaidiaWe kidudu mtu , huyu kajifungua atahitaji nepi, sabuni, mafuta nk hayo lazima atumiwe yeye umtumie kwe aanze kuomba mama nimemaliza sabuni aisee . Fedha zingine kwa ajiri ya mama yake amtumie mama yake hapo yuko ukweni jambo la kula ni juu ya mkwe acha zako wewe mrembo
Duh! Kazi kweli kweli. Mtu mzima ovyo. We mkamwana akija kwako,ndo awe anatoa pesa ya kuhemea na kuamua unakula nini siku hiyo? Mbona majanga!!!Kwa ushauri wangu kama mtu mzima ni hivi, Mtumie mke wako kama mama ndiye ananunua mahitaji yeye ndio ampe .
Kimsingi kwa sasa mke wako ndio mtendaji mkuu kwenye hiyo familia.
Jambo la mwisho fanya Juu chini hata kama hauko vizuri uishi na mke wako Mama wakwe hawawezi kukaa na wakwe zao kwa zaidi ya wiki moja.
Pole sana Mungu akusaidie Ufanikishe mipango yako
Tatizo huna akili... kasome kichwa cha mtoa mada then soma na alichoandika ukiona hujaelewa na hapo sina cha kukusaiunatoa
Wewe hebu achana na uharo wako njoo na hojaTatizo huna akili... kasome kichwa cha mtoa mada then soma na alichoandika ukiona hujaelewa na hapo sina cha kukusaidia