Trayvess Daniel
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 651
- 1,244
Sijibizani na wehu.... kwaheriWewe hebu achana na uharo wako njoo na hoja
Kama uko menopause hasira zako hazina faida yeyote kwangu na sihitaji msaada wako
Unaweza nipa msaada gani wewe
Jiheshimu kunguni
Katembeze kishimo huko tu kazi kudandia mabandiko ya wenzenu tuSijibizani na wehu.... kwaheri
Muache arudi kwao,ndiko kwenye Uhuru zaidi.Mimi ni kijana bado natafuta kwa ajili ya familia yangu hivi karibuni nilihamishwa kazi na kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu nyumbani akiwa mjamzito.
Kutokana na ukata wa maisha ili tubidi kuuza baadhi ya vitu ambavyo ilikuwa gharama kuhamisha na nikampeleka mke wangu nyumbani kwetu wakati akisubiri kujifungua
Kabla na baada ya mke kujifungua huwa natuma pesa za matumizi madogo madogo ya nyumbani kupitia namba ya simu ya mama yangu jambo ambalo linamkera sana mke wangu licha ya kwamba na yeye huwa namtumia pesa za vocha na vitu vidogo vidogo
Mke wangu hataki kukaa nyumbani anatishia kurudi kwao na mimi bado sijarudi kwenye mstari bado sijawa na maisha ya kumleta mke wangu huku nilipo
Naombeni ushauri wenu wana jujwaa
umeongea point! Ila uliposema "mkamwana" nikacheki na id yako hahahDuh! Kazi kweli kweli. Mtu mzima ovyo. We mkamwana akija kwako,ndo awe anatoa pesa ya kuhemea na kuamua unakula nini siku hiyo? Mbona majanga!!!
Rudia kusoma kisa cha mleta mada. Mkewe yupo kwa mama yake na mmewe. Kapewa hifadhi tuuuu,iweje aanze na kuleta utaratibu wa maisha hapo? Mwanamke mwenye akili na busara,ndo angekuwa anamtoa na mamkwe wake sasa chochote
Nimepuyanga wapiumeongea point! Ila uliposema "mkamwana" nikacheki na id yako hahah
super!
Kuna namna mke wako anasauti kwako means ni kama amekupanda kichwani hivi.Mimi ni kijana bado natafuta kwa ajili ya familia yangu hivi karibuni nilihamishwa kazi na kwenda mkoa mwingine nikamuacha mke wangu nyumbani akiwa mjamzito.
Kutokana na ukata wa maisha ili tubidi kuuza baadhi ya vitu ambavyo ilikuwa gharama kuhamisha na nikampeleka mke wangu nyumbani kwetu wakati akisubiri kujifungua
Kabla na baada ya mke kujifungua huwa natuma pesa za matumizi madogo madogo ya nyumbani kupitia namba ya simu ya mama yangu jambo ambalo linamkera sana mke wangu licha ya kwamba na yeye huwa namtumia pesa za vocha na vitu vidogo vidogo
Mke wangu hataki kukaa nyumbani anatishia kurudi kwao na mimi bado sijarudi kwenye mstari bado sijawa na maisha ya kumleta mke wangu huku nilipo
Naombeni ushauri wenu wana jujwaa
umechangia madini boss!Nimepuyanga wapi
Ona litoto lingine hili ,kuwa na akili mkeo hawezi kuwa anapendwa kikweli na mama yako ,wanawake huwa ni maadui by nature inatakiwa amtembelee akiwa mzima tena asizidishe siku 3 kwa mama yako watatengezeana bifu ,naongea kwa uzoefu kama unaakili itakuokoa mahali,kukubaliana kwenda kujifungulia kwa mama asiye mama yake? Unajua purukushani za kuzaa ww?? Ashasema huwa anatoa matumizi alishindwa nn kumpeleka kwao mkewe akawa huru na furaha na mtu waliye free naye ,huyu bado qnachukua ushauri wa mama kwenye ndoa ,ukishaoa wazazi wako pia ni maadui wa ndoa yako ,sababu wanapambana ww usihame kwenye utawala wao ,mke ataacha kwa ,kijana ataacha kwao wataaambatana ,we mfano unadhani mdogo wako wa kiume anafurahi umeokota limwanamke tu ghafla linanafasi kuliko yeye aliekujua toka utoto,unadhani gubu la mawifi ni kuwa mawifi ni wabaya ? Ile ni asili kuna ugomvi wa dada zako na mkeo wa kisaikolojia wanagombeq upendo wako.Muwe mnaacha ujuaji na maneno makali ya kijinga, mpaka anampeleka ukweni walikubaliana haikuwa lazima, kufika huko ndo anabadilisha gia angani kwa sababu za kijinga.
Angekua na shida toka mwanzo angeenda kwao
Wala sijajihangaisha kusoma after the first sentence..... so kaa na ujinga wakoOna litoto lingine hili ,kuwa na akili mkeo hawezi kuwa anapendwa kikweli na mama yako ,wanawake huwa ni maadui by nature inatakiwa amtembelee akiwa mzima tena asizidishe siku 3 kwa mama yako watatengezeana bifu ,naongea kwa uzoefu kama unaakili itakuokoa mahali,kukubaliana kwenda kujifungulia kwa mama asiye mama yake? Unajua purukushani za kuzaa ww?? Ashasema huwa anatoa matumizi alishindwa nn kumpeleka kwao mkewe akawa huru na furaha na mtu waliye free naye ,huyu bado qnachukua ushauri wa mama kwenye ndoa ,ukishaoa wazazi wako pia ni maadui wa ndoa yako ,sababu wanapambana ww usihame kwenye utawala wao ,mke ataacha kwa ,kijana ataacha kwao wataaambatana ,we mfano unadhani mdogo wako wa kiume anafurahi umeokota limwanamke tu ghafla linanafasi kuliko yeye aliekujua toka utoto,unadhani gubu la mawifi ni kuwa mawifi ni wabaya ? Ile ni asili kuna ugomvi wa dada zako na mkeo wa kisaikolojia wanagombeq upendo wako.
Mwanaume halisi unatakiwa umlinde mkeo na ndugu ,wazazi nq marafiki,kwani kaka mara ngapi marafiki ukioa wanachukia ukianza waacha baa unamuwahi wife??
Ndoa inataka mtu ngangali sio unakaa sikiliza sikiliza watu
Naweza kuwa Hovyo ila nyie watoto wa mama hamuwezi kuelewa. Mke wako ndio wa kuambatana nae mama yako atapewa hela na mume wake ya kuhemea.Duh! Kazi kweli kweli. Mtu mzima ovyo. We mkamwana akija kwako,ndo awe anatoa pesa ya kuhemea na kuamua unakula nini siku hiyo? Mbona majanga!!!
Rudia kusoma kisa cha mleta mada. Mkewe yupo kwa mama yake na mmewe. Kapewa hifadhi tuuuu,iweje aanze na kuleta utaratibu wa maisha hapo? Mwanamke mwenye akili na busara,ndo angekuwa anamtoa na mamkwe wake sasa chochote
Mkuu,kwanza elewa. Kaenda kutembea au kapelekwa na shida zake?Naweza kuwa Hovyo ila nyie watoto wa mama hamuwezi kuelewa. Mke wako ndio wa kuambatana nae mama yako atapewa hela na mume wake ya kuhemea.
Tena kimsingi kama mkwe yuko pale ilitakiwa mama ndio amhudumie maana ni mgeni., Umasikini wa familia zetu ndio unatufanya tugomnaie hizo elfu mbili mbili za mboga.
Usioe unaharibia maisha watu jinga weWala sijajihangaisha kusoma after the first sentence..... so kaa na ujinga wako
DAda hapa hakuna mume nilichogundua bado anaendeshwa na mamake mzazi huyu.ukishindwa mfichamkeo dhidi ya huo utatu huna ndoaKama una pesa za kutuma huku na kule umeshindwa nini kukaa na mkeo???
Hiyo ni trela.....mke, mama mkwe, wifi huu utatu utakupasua kichwa mwanaume!!!!
Mama anashikaje hela za kijana mwenye mke wake?Mwanaume ambaye ana akili, hapo mama ni wako mke ni wako sasa wewe ni kubalance mambo la sivyo kitakukomba upande mmoja
Wewe sasa ndo unajua kuishi na wanawake ,nimemcshangaa sana na nimemwambia huu ndo ukweli ,kaishia kutukanaNajiuliza tu,
Huyo mke angekuwa kwa mama yake na ukawa unatuma pesa zote kwa mama yake, angekuwa na maoni gani?
Sioni haja za kubishana mkuu. Kimsingi na ushauri wangu mke wake atumiwe hiyo hela mama akitaka kwenda sokoni apewe hela na mka mwana, Huyo mkamwana ni ubavu wa mwanae, sawa na mwanae.Mkuu,kwanza elewa. Kaenda kutembea au kapelekwa na shida zake?
Je,kama kwao na mwanaume hawajiwezi,huyo mama anaetakiwa kumtunza mkwewe,amtunze na nini?
Elewa basi. Mwanaume kakili hali si shwali na ameomba hifadhi kwa mda. Ni vyema unaelewa familia hizo ni za kiswahili,hazijiwezi. Umejaribu kupima uzito lakini wa mke kupewa hela na kuamua alipopelekwa waishije?
Kama wewe ni mwanaume wa kuambatana na mkeo na kumuacha mama yako,una matatizo. Kabla hujazaliwa,enzi wanawake wana heshima na adabu. Leo hii mnaoa au mnaokota?
Huyo mzazi hajalaimisha kupewa pesa,lakini mwanaume imembidi kwa sababu anatambua alipompeleka si kwake,hivyo anatakiwa asiharibu. Haya,haribu mahusiano na ndugu na wazazi,af ambatana na chokolaa walo,kesho akikigeuka utajua hujui. Kwa hiyo,anatakiwa asiegemee upande wowote.