Ona litoto lingine hili ,kuwa na akili mkeo hawezi kuwa anapendwa kikweli na mama yako ,wanawake huwa ni maadui by nature inatakiwa amtembelee akiwa mzima tena asizidishe siku 3 kwa mama yako watatengezeana bifu ,naongea kwa uzoefu kama unaakili itakuokoa mahali,kukubaliana kwenda kujifungulia kwa mama asiye mama yake? Unajua purukushani za kuzaa ww?? Ashasema huwa anatoa matumizi alishindwa nn kumpeleka kwao mkewe akawa huru na furaha na mtu waliye free naye ,huyu bado qnachukua ushauri wa mama kwenye ndoa ,ukishaoa wazazi wako pia ni maadui wa ndoa yako ,sababu wanapambana ww usihame kwenye utawala wao ,mke ataacha kwa ,kijana ataacha kwao wataaambatana ,we mfano unadhani mdogo wako wa kiume anafurahi umeokota limwanamke tu ghafla linanafasi kuliko yeye aliekujua toka utoto,unadhani gubu la mawifi ni kuwa mawifi ni wabaya ? Ile ni asili kuna ugomvi wa dada zako na mkeo wa kisaikolojia wanagombeq upendo wako.
Mwanaume halisi unatakiwa umlinde mkeo na ndugu ,wazazi nq marafiki,kwani kaka mara ngapi marafiki ukioa wanachukia ukianza waacha baa unamuwahi wife??
Ndoa inataka mtu ngangali sio unakaa sikiliza sikiliza watu