Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.
Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.
Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.
Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?
Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.
Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.
Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?
Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.