Ni harufu ya ufisadi tu! Mikataba mikubwa ya trilioni ya pesa haiwekwi wazi na wala Bunge hatusikii likihusishwa. Tunaibiwa tushtuke kabla ya 2025

Ni harufu ya ufisadi tu! Mikataba mikubwa ya trilioni ya pesa haiwekwi wazi na wala Bunge hatusikii likihusishwa. Tunaibiwa tushtuke kabla ya 2025

Wanafanya kila kichoshindikana awamu iliyopita.
 
JPM yupi aliweka mkataba wazi? Nitajie mkataba mmoja tu uliowekwa wazi na serikali yake?? Sheria tu za madini zilitungwa usiku usiku kwa hati ya dharura ndio eti alikua muwazi.

JPM alijitoa OGI, Alipinga sheria ya TEITI iliyotaka mikataba iwe wazi alafu mnakuja kumlaumu Mama Samia?
Hata makubaliano kati ya Barrick na serikali anayajua mwendazake kaburini na Propesa jalala Kabudi..
Hawajawahi kuyaweka wazi.
 
Mkuu una akili timamu? Kama hakukomaa kuhusu uwazi sekta ya madini hiyo Twiga minerals ingekuwepo?
Kila mtu anakumbuka JPM aliupiga chini ule mkataba mwingine wa Bagamoyo sababu ya masharti/ vigezo / mkataba usio na maslahi kwa Taifa.

Watu wanafikiri hakuupenda ule mradi, aliupenda na wengi Watanzania wangeupenda kama ungekuwa na manufaa kwao na kuweka kila kitu wazi.

Mama wa kuupiga Mwingi angeshausaini bila hata kuusoma. Chawa wake wangekuwa hapa kusifia anaupiga mwingi.
 
Ukibishana na chawa tena hawa buggs jr hawa utapoteza muda. They are brainwashed brainless kwa medulla oblangata zao. They have no sense of empathy wala rational thinking [emoji189]

Naona wanaiangalia ile bilioni 30 ya LNG, na hawajatuambia kiasi gani wameuza Loliondo. Ukipata 10% ni pesa ndefu. Akili zao ziko huko ubinafsi, 10%. Ni sawa walivyofanya kwenye gesi Mtwara. Watu walitimuliwa, wengine kuuwawa.
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.

Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
watasema unaleta udini
 
Tujifunze kanuni za mitandao ukimuuliza mtu swali una-quote. Usipofanya hivyo unawauliza wote waliotangulia. Ni kama kupiga kelele mtaani.

Kulikuwana tume ya Madini Chini ya Pro Kabudi wakiongea na Wakurugenzi wa Barrick Gold, kila week tulijulishwa wamefikia wapi kwenye mazungumzo yao.

50/50 kwenye economic benefits, 16% share, sit in the top table, na kuzisaidia jamii zinazozunguka migodi kama kujenga shule, hospitali, barabara, maji safi kutoa ajira.

Pia Kwa Watanzania watakaokuwa kwenye Bodi watajua kila kitu kinachoendelea. Wasome wenyewe.

Hiyo ndio ingetakiwa kuwa blueprint, mfano wa mikataba mingine yote. Kabudi anaijua kazi, sasa huvi hana kazi angeweza kutumika na timu yake kwa faida ya Taifa.

 
Tujifunze kanuni za mitandao ukimuuliza mtu swali una-quote. Usipofanya hivyo unawauliza wote waliotangulia. Ni kama kupiga kelele mtaani.

Kulikuwana tume ya Madini Chini ya Pro Kabudi wakiongea na Wakurugenzi wa Barrick Gold, kila week tulijulishwa wamefikia wapi kwenye mazungumzo yao.

50/50 kwenye economic benefits, 16% share, sit in the top table, na kuzisaidia jamii zinazozunguka migodi kama kujenga shule, hospitali, barabara, maji safi kutoa ajira.

Pia Kwa Watanzania watakaokuwa kwenye Bodi watajua kila kitu kinachoendelea. Wasome wenyewe.

Hiyo ndio ingetakiwa kuwa blueprint, mfano wa mikataba mingine yote. Kabudi anaijua kazi, sasa huvi hana kazi angeweza kutumika na timu yake kwa faida ya Taifa.

Acha uongo huo mkataba wa kampuni Tanzu ya Barrick na Serikali ya Tanzania umeuona?? Sheria zilifanyiwa mabadiliko kwa hati ya dharura alafu unadai kulikua na uwazi?? Maneno ya kabudi ndio mkataba wa kiutendaji?

Mfano walisema 50-50 economic benefits, sasa hiyo definition ya economic benefits unaujua according to mkataba?

JPM Yale Yale tu kuanza kumlaumu mama kumuonea tu
 
Acha uongo huo mkataba wa kampuni Tanzu ya Barrick na Serikali ya Tanzania umeuona?? Sheria zilifanyiwa mabadiliko kwa hati ya dharura alafu unadai kulikua na uwazi?? Maneno ya kabudi ndio mkataba wa kiutendaji?

Mfano walisema 50-50 economic benefits, sasa hiyo definition ya economic benefits unaujua according to mkataba?

JPM Yale Yale tu kuanza kumlaumu mama kumuonea tu

Hakuna anayemlaumu mtu, ayesema uongo, kila kitu kiko wazi.

Ukiamua kuona utaona, una chuki kubwa sana huwezi kuona manufaa yoyote ya awamu iliyopita. Kwa sasa Mbowe na Zitto ni sehemu ya serikali, kazi yako kubwa ni kama yao kukandia awamu iliyopita kwa kila kitu. Kusifia kila kitu sasa hivi hata kama hakina maslahi ya Taifa.
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.

Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
Kwani ni kiongoz yupi aliweka mikataba wazi?? Iweje mdai uwazi sasa na sio jana au juz?
 
haitasaidia wengi wanapenda kwiba! hivyo hata kura zitaibiwa! na watakaokuja wataiba tu!
 
Hakuna kiongozi aliweka mkataba hadharani, msimsumbuwe mama.
Usisite kufuata nyayo kama viatu vinakupwaya!
Ukinikuna visivyo jitayarishe kuparuliwa!
Chura wafananao hawagombei dimbwi!
KIla mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake!
Vya mlevi huliwa na mgema!
Kazi-iendelee1.jpg Kazi iendelee Kazi-iendelee2.jpg
 
Hakuna anayemlaumu mtu, ayesema uongo, kila kitu kiko wazi.

Ukiamua kuona utaona, una chuki kubwa sana huwezi kuona manufaa yoyote ya awamu iliyopita. Kwa sasa Mbowe na Zitto ni sehemu ya serikali, kazi yako kubwa ni kama yao kukandia awamu iliyopita kwa kila kitu. Kusifia kila kitu sasa hivi hata kama hakina maslahi ya Taifa.
Mkuu hutendi haki ukianza kuhama kwenye hoja, nimeuliza mkataba kati ya Barrick na Serikali ikiwekwa wazi??

Nmeuliza pia je 50-50 ni ipi hiyo according to mkataba
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.

Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
mama anaupiga mwingi na atatuuza wote
 
Mkuu una akili timamu? Kama hakukomaa kuhusu uwazi sekta ya madini hiyo Twiga minerals ingekuwepo?
Issue ni kupunjwa sio uwazi!! kama ni uwazi je hiyo Twiga minerals je mikataba Iko wazi?? Ammendements ya sheria za madini kma gesi na mafuta, permanent sovereignty n.k ilikua Siri sasa unadhani Kuna UWAZI Gani hapo?
 
Issue ni kupunjwa sio uwazi!! kama ni uwazi je hiyo Twiga minerals je mikataba Iko wazi?? Ammendements ya sheria za madini kma gesi na mafuta, permanent sovereignty n.k ilikua Siri sasa unadhani Kuna UWAZI Gani hapo?
Chakushangaza, ni ulivyojua hata hayo mapunjo, Umejua mpaka "Ammendments"??...na kama ilikua siri ina maana sasa sio siri tena....Huo ni uwazi.
 
Back
Top Bottom