Ni harufu ya ufisadi tu! Mikataba mikubwa ya trilioni ya pesa haiwekwi wazi na wala Bunge hatusikii likihusishwa. Tunaibiwa tushtuke kabla ya 2025

Ni harufu ya ufisadi tu! Mikataba mikubwa ya trilioni ya pesa haiwekwi wazi na wala Bunge hatusikii likihusishwa. Tunaibiwa tushtuke kabla ya 2025

Chakushangaza, ni ulivyojua hata hayo mapunjo, Umejua mpaka "Ammendments"??...na kama ilikua siri ina maana sasa sio siri tena....Huo ni uwazi.
Tumejua wameshapitisha hatukutoa maoni wengi, wabunge hawakupewa muda wa kujadili zaidi ya dakika chache sana kazi kwisha, sasa hata kama Nia ni nzuri je huo ndio uwazi tunaopigania??

Matokeo Yake vipengele vinanyofolewa Kila siku maana hawakuuandaa kwa umakini walikurupuka, mfano kipengele Cha arbitration sheria ilisema zifanyikie Tanzania ila imebidi kifutwe na sasa itakua huko huko kwa mabeberu!!!

Hayo yote yasingekosewa kama uwazi ungekuwepo
 
Tumejua wameshapitisha hatukutoa maoni wengi, wabunge hawakupewa muda wa kujadili zaidi ya dakika chache sana kazi kwisha, sasa hata kama Nia ni nzuri je huo ndio uwazi tunaopigania??

Matokeo Yake vipengele vinanyofolewa Kila siku maana hawakuuandaa kwa umakini walikurupuka, mfano kipengele Cha arbitration sheria ilisema zifanyikie Tanzania ila imebidi kifutwe na sasa itakua huko huko kwa mabeberu!!!

Hayo yote yasingekosewa kama uwazi ungekuwepo
Ahsante kwa Taarifa.
 
Huwezi ukaingia mkataba mkubwa kama huu wa kuchakata gesi Lindi kimya kimya kama unaenda kuuza machungwa. Trilioni 70 ni uhai wa taifa letu.

Tunatakiwa kuambiwa ukweli juu ya huu mkataba. Ufafanuzi wa kinagaubaga na kujadiliwa na Bunge.

Hiyo mikataba iliyosainiwa Oman ni mashaka matupu. Maana kuna janja ya kutaka kurejesha usulutani wa Oman kuja kutuibia sisi watanzania weusi.

Kwa nini isainiwe bila ufafanuzi wa kina namna tutavyonuofaika?

Harufu mbaya inayotia mashaka inafoka.
Nani alihoji mikataba ile ya ununuzi wa ndege? Magufuli alikuwa mpuuzi kwelikweli
 
Bakuli la Dubai linawapa Jeuri.
A guarantee, 'election' security vis-a-vis investment security. Binafsi 'sishtuki' lakini harufu kali inayotoka, inakufuru harufu.



Nahisi kuna marobota??(sio bakuli) hivyo kuna nguvu ya kunyamazisha ya kuwafanya (wabunge)waangalie kwingine wakati Minada na Ufisadi ukishamiri lakini sijafa moyo wanapigika, watashindwa! Wao ndio "Walioibiwa" Uzalendo.
 
Hata makubaliano kati ya Barrick na serikali anayajua mwendazake kaburini na Propesa jalala Kabudi..
Hawajawahi kuyaweka wazi.
Lakini waungwana Wanasemaga we learn through mistakes !!

Au ni vyema tuendelee tu kama walivyokuwa wakifanya wengine ??!

Ni lini Usimba na Uyanga kwenye maslahi ya Nchi tutauweka pembeni ??!
Najaribu kutafakari tu ! Maana kila mtu anapotoa maoni kwa mfano kuhusu ubadhirifu wowote ule watakaopinga wataelekeza mashambulizi kwa awamu iliyopita !!

Sasa hii itaenda hivi mpaka lini !! Na tunafanya hivi kwa maslahi ya nani ??!

Najaribu kutafakari tu. !!
 
Lakini waungwana Wanasemaga we learn through mistakes !!

Au ni vyema tuendelee tu kama walivyokuwa wakifanya wengine ??!

Ni lini Usimba na Uyanga kwenye maslahi ya Nchi tutauweka pembeni ??!
Najaribu kutafakari tu ! Maana kila mtu anapotoa maoni kwa mfano kuhusu ubadhirifu wowote ule watakaopinga wataelekeza mashambulizi kwa awamu iliyopita !!

Sasa hii itaenda hivi mpaka lini !! Na tunafanya hivi kwa maslahi ya nani ??!

Najaribu kutafakari tu. !!
Mind boggling .....
Nimeweza kuwaona wale waliokuwa wakiteta, kuhusu Lissu, Akwilina(R.I.P) na ripoti ya CAG wakiwa kimya!
Yani kuna wakati walitaka tuingie barabarani...lakini .hili la DAR-ES-SALAAM Kha! ....tunaambiwa hatujui kiingereza, hatujasoma vizuri mistari ......uwongo, ukweli, ,Rushwa, wizi, geresha, kabumba.... ali mradi tu!

Ndii Watanzania tujue hatujui!


Sihami Nchi lakini, mumu humu
 
Mind boggling .....
Nimeweza kuwaona wale waliokuwa wakiteta, kuhusu Lissu, Akwilina(R.I.P) na ripoti ya CAG wakiwa kimya!
Yani kuna wakati walitaka tuingie barabarani...lakini .hili la DAR-ES-SALAAM Kha! ....tunaambiwa hatujui kiingereza, hatujasoma vizuri mistari ......uwongo, ukweli, ,Rushwa, wizi, geresha, kabumba.... ali mradi tu!

Ndii Watanzania tujue hatujui!


Sihami Nchi lakini, mumu humu
Ukihama Nchi Maana yake ni muoga unayakimbia matatizo 😅🙏🙏
 
Tukumbuke kuwa;
1. CCM wanapoingia mikataba yoyote kipaumbele cha kwanza ni MATUMBO yao (Ubinafsi)
2. Mkataba huu tayari ulishasainiwa tena hukohuko ughaibuni, hapa wanakuja kuupitisha tu kwa bunge dhaifu la chama chao (ccm) wenye malezi ya RUSHWA.
3. Wanachoangalia hawa CCM ni kupata fedha za kupigania uraisi wa mwaka 2025 na kuacha maslahi ya Taifa!
4. Ni ngumu mno kutofautisha kati ya RUSHWA na CCM kwani hawa ni NDUGU tena MAPACHA
 
Ufisadi upi Magufuli alifanya unajua huu unafiki na uzushi mnaoufanya mitandaoni mkiongozwa na mihemko ya chuki na visasi
Tukiandika ufisadi wa mwendazake hapa sidhani kama nafasi itatosha!
Aliiba!, alipora! alinyanganya! alikwapua! tena kaa kimya!
 
Wamasai laki moja wamejengewa nyumba 100 Handeni.

Nyumba maja waishi 1000? pia compesation haiko vizuri, kutoa watu kwenye eneo walioishi miaka 1000 na zaidi nakuwalipa pesa mbuzi haijakaa sawa.

The whole issue haijakaa sawa na serikali imeonyesha kutojali kabisa haki za Wamasai, maswali, concerns zao Watanzania wote kwa ujumla.

Democracy, human right ni nini? Serikali iko kwa ajili gani? ya nani? Wawekezaji?
Haya yote yanatokea kwa sababu ya uoga wa wanachi tunaogopa kufa. inafikia mahali kila mtu anatetea uhai wake laiti tungekuwa na ushirikiano nje ya mitandao ya kijamii, haya yote yasingetokea.
 
Back
Top Bottom