Ni hatari kuacha watu wengi kufuatilia Siasa na Uongozi wa Nchi! Wazindike kwa burudani kama Mipira n.k

Ni hatari kuacha watu wengi kufuatilia Siasa na Uongozi wa Nchi! Wazindike kwa burudani kama Mipira n.k

Fumadilu Kalimanzila

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2016
Posts
1,770
Reaction score
5,423
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.

Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!

Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.

Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k

Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.

Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!

Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.

Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!

CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!

Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!

Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
 
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.

Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!

Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.

Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k

Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.

Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!

Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.

Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!

CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!

Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!

Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
 
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
Una uhakika Mbowe alifeli kidato cha 4? 🐼
 
Ndomana wajinga wanakuwa wengi sana

Ova
 
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.

Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!

Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.

Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k

Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.

Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!

Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.

Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!

CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!

Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!

Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
Ukishindwa kuja na suluhisho la matatizo yanayokusumbua kila kitu kitageuka kuwa sababu ya matatizo hayo kuendelea kuwepo.

Yanga na Simba zikifanya vibaya kila msimu zitakuja nyuzi zenye kuilaumu serikali kwanini haina mpango wa kuuinua mpira wetu!.

Cha muhimu ni kupambana na matatizo yetu sisi wenyewe bila ya kuendeleza dhana potofu kwamba yanaletwa na kundi fulani la watu fulani.

Ni kutapatapa na kuishiwa mbinu za kujiendesha sisi wenyewe.
 
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
Wapuuzi sana, wanadhani matatizo ya nchi hii yanaletwa na wengine na wao eti wana hekima na busara kuliko watu wote milioni 64 waliopo Tanzania kwa sasa.
 
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.

Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!

Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.

Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k

Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.

Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!

Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.

Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!

CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!

Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!

Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
Mnaona wivu Rais Samia kuwa kiongozi mkuu wakati huu Yanga na Simba zipo vizuri kiuwezo?.

Yanayotokea kwenye mpira muda huu misingi yake ilianza kuwekwa awamu ya nne wakati wa Kikwete sasa hivi tunaendelea kuvuna matunda.
 
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
Hivi Mzee Ali Kibao alikuwa Mchaga!?
 
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.

Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!

Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.

Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k

Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.

Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!

Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.

Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!

CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!

Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!

Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
TungewekEZA KWENYE KAZI NA TIJA HIVI….. Tanzania ingekua tajiri sana

Siasa ni domodomo tu
 
Mnaona wivu Rais Samia kuwa kiongozi mkuu wakati huu Yanga na Simba zipo vizuri kiuwezo?.

Yanayotokea kwenye mpira muda huu misingi yake ilianza kuwekwa awamu ya nne wakati wa Kikwete sasa hivi tunaendelea kuvuna matunda.
Aisee! Rais anaonewa wivu!? Hii ndio comment ya kijinga kabisa kuwahi kuiona hapa JF.
 
TungewekEZA KWENYE KAZI NA TIJA HIVI….. Tanzania ingekua tajiri sana

Siasa ni domodomo tu
Magufuli alisema hii nchi ni Tajiri, mbona huo utajiri unaonekana kwa viongozi na mashoga zao wafanyabiashara wakubwa. Unao
Waona wa Tz wengine ni wajinga sana kwa kutokuwa matajiri au sio!?
 
Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.

Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!

Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.

Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k

Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.

Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!

Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.

Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!

CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!

Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!

Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
Kenya ni wafuata mkumbo tu ndo maana Laila odinga na genge lake walivyoingizwa kwenye ulaji wakanywea huku wakiwa wameuawa Kwa maelfu
 
Hivi Mzee Ali Kibao alikuwa Mchaga!?
Unaokota wasio wachaga mzee ,leo hii myika ambae sio mchagga amekuwa katibu mkuu boya maana John Mrema ndio kila kitu Mangi ,kushoto anapambana Lema ,huku Mzee Mbowe ameshika usukuni .
 
Aisee! Wao ndio wamemuua!? Au sio!. Wewe ndiye mpumbavu namba Moja duniani. Wapelekee ushahidi huo akina Mafwele watekaji.
Mmlilishwa tango pori na mzee mbowe na mkalibeba hivyo hiyo eti Mafwele
 
Mzee Mbowe na genge lakr ndio alivyowaaminisha machadema aisee
Mtawaponza maaskari wenu wachomwe moto kama watekaji ninyi wapumbavu. Nchi nzima Sasa hivi watu hawako tayari kuchukuliwa na maaskari bila mashahidi kushuhudia na kujiridhisha.
 
Back
Top Bottom