Mtawaponza maaskari wenu wachomwe moto kama watekaji ninyi wapumbavu. Nchi nzima Sasa hivi watu hawako tayari kuchukuliwa na maaskari bila mashahidi kushuhudia na kujiridhisha.Mzee Mbowe na genge lakr ndio alivyowaaminisha machadema aisee
Mzee Mbowe ndiye alitekwa kupelekwa Oysterbay Kisha kupigwa Risasi polini Katavi na kutupwa huko au sio!? Na ndiye aliyemtambua mmoja wa askari aliyehusika au sio!? Kweli wewe umekatikiwa na kipande cha dhakari huko nyuma.Mmlilishwa tango pori na mzee mbowe na mkalibeba hivyo hiyo eti Mafwele
Wewe una shida na wachaga!?Unaokota wasio wachaga mzee ,leo hii myika ambae sio mchagga amekuwa katibu mkuu boya maana John Mrema ndio kila kitu Mangi ,kushoto anapambana Lema ,huku Mzee Mbowe ameshika usukuni .
Hivi unafikiri kama sio wachagga hii saccos ingekuwepo?tena hawa wachagga feki wa machameWewe una shida na wachaga!?
Wewe una shida na wachaga!? Hiyo unayoiita "saccos" kwa nini ipo na serikali ya ccm isiyopenda upinzani inaiangalia!? Kama vipi ongea na yule Chura kiziwi akuzawadie usajili wa vyama vya siasa ili uifutilie mbali hiyo saccos.Hivi unafikiri kama sio wachagga hii saccos ingekuwepo?tena hawa wachagga feki wa machame
Ni swala ka muda tu hii SACCOS itafutiliwa mbali ,bado haijaingia vizuri kwenye kumi na nane za watoa maamuzi ,hamtakaa muamini kitakachoikuta aisee.Mzee mbowe alikuwa walau anaoustarabu kidogo ila anaomelekea hakuna namna hii SACCOS itafutwa tuWewe una shida na wachaga!? Hiyo unayoiita "saccos" kwa nini ipo na serikali ya ccm isiyopenda upinzani inaiangalia!? Kama vipi ongea na yule Chura kiziwi akuzawadie usajili wa vyama vya siasa ili uifutilie mbali hiyo saccos.
Fanyeni haraka kuifuta ninyi wapumbavu wa ccmNi swala ka muda tu hii SACCOS itafutiliwa mbali ,bado haijaingia vizuri kwenye kumi na nane za watoa maamuzi ,hamtakaa muamini kitakachoikuta aisee.Mzee mbowe alikuwa walau anaoustarabu kidogo ila anaomelekea hakuna namna hii SACCOS itafutwa tu
Hapa ndio mnapofeli mnafundishwa maneno ya kipuuzi na yule mmchame anaishi Arusha ndio mnashinda nayo huku mitandaoni.Fanyeni haraka kuifuta ninyi wapumbavu wa ccm
Kwani hakuna watu wapumbavu. Kama yule muuaji anayekula Kodi za wananchi kule Arusha. Daudi Albert Bashite. Muhalifu aliyetakiwa kuwa gerezani maisha au akisubiri kitanzi.Hapa ndio mnapofeli mnafundishwa maneno ya kipuuzi na yule mmchame anaishi Arusha ndio mnashinda nayo huku mitandaoni.
Kama huna kazi na umeingia katika siasa inawezekana ukaacha ushabiki wa soka ili upate ubunge. Lakin hiz siasa ambazo chama kinamtukana Lowasa weee halafu Lowasa ndio anakua mgombea urais wa chama?Au hiz siasa za kumshabikia Sugu Mbeya mwisho anakuonyesha hotel ya gharama aliyojenga. Hizi siasa za kumshabikia wabunge wa CDM ili wakiwa wabunge Mbowe awakate shs million moja kila mwezi na kuendelea na biashara zake? Aidha, hao vijana ambao waliuliwa huko Kenya, family zao zilipata nn? Acha ujinga ndugu. Tafuta Kaz, tuache na raha zetu za soka.Kenya Kila mtu ni mwanasiasa, anajua Katiba na anaweza kuchambua Financial Bills na kumpinga Rais na Serikali yake muda wowote tena kwa hoja thabiti.
Nenda Jacaranda kwenye Bunge la Mtaani la akina Nuru Okanga uone hoja zao.Bunge la Tulia Ackson linasubiri!
Kenya kwenye burudani kama mpira na muziki hawafanyi vizuri ,kidogo labda kwenye riadha.
Hapa kwetu watu wakilala, wakiamka ni Simba na Yanga ndio mijadala! Wakienda mbali wanajadili pisi kali au habari za Diamond, Harmonize, Mwijaku, Baba Levo , Shishi Baby n.k
Na kama jana Yanga kapiga mtu bao 6 kwa mtungi na muda huu tunajiandaa kwenda kwenye mtanange wa Simba na Al Ahali Tripoli ya Libya, habari ya Maandamano ya CHADEMA yanasikika kwa mbaaaaaali kama siyo hapa Tanzania.
Nchi hii imezindikwa vizuri sana ,wengi wa Wananchi wake hawana tofauti na Nyumbu.
Nyumbu hata wawe elfu moja pamoja ,Simba anakamata mmoja wao anamtafuna mbele yao wala hawajali na hawana muda!
Rais Samia naomba uongeze dau katika Kila goli angalau iwe milioni 10, kwani promo unalopata ni kubwa sana kulinganisha na kiasi unachotoa.
Just imagine toka jana usiku karibia Watanzania milioni 40 wanakujadili wewe tu kwa shilingi milioni 30 ulizotoa kwa goli 6 za Yanga.Hapana Rais Samia ongeza hela!
CHADEMA maandamano yetu katika Nchi kama hii ni magumu sana kufanikiwa kwa kiwango mnachotarajia, Nchi imejaa Nyumbu wengi sana!
Polisi wangekuwa na maarifa Wala wasingepambana na nyie bali wangewapa ulinzi mkafikisha ujumbe wenu!
Bado dk 162 mechi ya Simba na Waarabu inaanza!
Watu wapumbavu wapo wengi tu kama Lema na mzee Mbowe pamoja na misukule yake ,hata wewe lugha unayotumia tu inaonyesha ni jinsi gani ulivyo. Kama unaitwa baba fulani aisee ni balaaa kubwaKwani hakuna watu wapumbavu. Kama yule muuaji anayekula Kodi za wananchi kule Arusha. Daudi Albert Bashite. Muhalifu aliyetakiwa kuwa gerezani maisha au akisubiri kitanzi.
Misukule ya mzee mbowe haiwezi kukuelewa hata kidogo mkuuKama huna kazi na umeingia katika siasa inawezekana ukaacha ushabiki wa soka ili upate ubunge. Lakin hiz siasa ambazo chama kinamtukana Lowasa weee halafu Lowasa ndio anakua mgombea urais wa chama?Au hiz siasa za kumshabikia Sugu Mbeya mwisho anakuonyesha hotel ya gharama aliyojenga. Hizi siasa za kumshabikia wabunge wa CDM ili wakiwa wabunge Mbowe awakate shs million moja kila mwezi na kuendelea na biashara zake? Aidha, hao vijana ambao waliuliwa huko Kenya, family zao zilipata nn? Acha ujinga ndugu. Tafuta Kaz, tuache na raha zetu za soka.
Wajinga ni nyinyi mnaopanga kuandamana kesho. Bodaboda wamewasusia maandamano yenu, wamegundua kuwa wanaweza kuvunjwa miguu kwa virungu vya polisi wakati mabilioni ya pesa anachukua Mbowe na Lema!.Aisee! Rais anaonewa wivu!? Hii ndio comment ya kijinga kabisa kuwahi kuiona hapa JF.
Mimi mzalendo ninayejielewa sio mjinga mjinga ninayeshikiwa akili na Mbowe.Umesahau kuandika na namba Yako ya simu. Hapo mwisho
Hawa CHADEMA wanadhani wao ndio wana ufahamu kuliko watanzania wote waliobakia kumbe mapimbi fulani tu.Kenya ni wafuata mkumbo tu ndo maana Laila odinga na genge lake walivyoingizwa kwenye ulaji wakanywea huku wakiwa wameuawa Kwa maelfu
CHADEMA mngekuwa na hoja iwapo Samia angekuwa hajulikani anafanya nini. Tembea sasa hivi nchi nzima uone namna kazi za maana zinavyofanyika.Hivi Mzee Ali Kibao alikuwa Mchaga!?
Umeona eeh hawajiulizi kuhusu mamia ya waliokufa Kenya huku hakuna mambo yaliyobadirikaHawa CHADEMA wanadhani wao ndio wana ufahamu kuliko watanzania wote waliobakia kumbe mapimbi fulani tu.