Ni hatari kuacha watu wengi kufuatilia Siasa na Uongozi wa Nchi! Wazindike kwa burudani kama Mipira n.k

Mwenye akili timamu hawezi kuvumilia utekaji na mauaji ya binadamu wenzake. Huyo ni mwehu na wewe ni mmoja wapo.
 
Wajinga ni nyinyi mnaopanga kuandamana kesho. Bodaboda wamewasusia maandamano yenu, wamegundua kuwa wanaweza kuvunjwa miguu kwa virungu vya polisi wakati mabilioni ya pesa anachukua Mbowe na Lema!.
Bodaboda hao bila shaka wewe ndio muwakilishi wao Hata mashoga nao wewe ndio muwakilishi wao, vipi mtaandamana pia, au nanyi mmesusa!?. Kama mnawapenda sana watibuni bure pale MOI badala ya kukimbilia kuwakata miguu. Wapumbavu nyie.
 
Wewe Baki kwako ugongane na mumeo.
 
Bodaboda hao bila shaka wewe ndio muwakilishi wao Hata mashoga nao wewe ndio muwakilishi wao, vipi mtaandamana pia, au nanyi mmesusa!?. Kama mnawapenda sana watibuni bure pale MOI badala ya kukimbilia kuwakata miguu. Wapumbavu nyie.
Ujinga wa kuwageuza watu mitaji ya maandamano umewachosha vijana ambao ni nguvu kazi ya taifa.

Wao wapigwe virungu na FFU nyinyi muende benki kupokea hela za wazungu kiulainiii, upuuzi huo umepitwa na wakati.
 
Mwenye akili timamu hawezi kuvumilia utekaji na mauaji ya binadamu wenzake. Huyo ni mwehu na wewe ni mmoja wapo.
Biashara za utekaji na mauaji hazitokei kila siku, kumbuka juu ya hilo. Hivyo shida za wengine haziwezi milele kuwa ndio mtaji wa nyinyi kulipwa mapesa mengi na wazungu.

Safari hii imekula kwenu mazima.
 
Wewe ni mpumbavu mmoja wa wale wanaojiita "chawa wa mama"
Chawa wa Mbowe safari hii hamumpati mtu huko kwenye upuuzi wa maandamano. Watu wanahangaika na fursa za kiuchumi wamechoka kugeuzwa mitaji ya nyinyi waviziaji wa fursa za pesa za wafadhili wa Ulaya.

JPM aliwapiga stop kufanya mikutano nje ya majimbo ya uchaguzi yanayowahusu.

Alifahamu kwa kina kwamba demokrasia ni dili la pesa ndefu kwa Mbowe na wenzake.
 
 

Attachments

  • 20240922_155031.jpg
    99.9 KB · Views: 1
 

Attachments

  • 20240922_155031.jpg
    99.9 KB · Views: 2
Umeona eeh hawajiulizi kuhusu mamia ya waliokufa Kenya huku hakuna mambo yaliyobadirika
Wajinga hao wanadhani milele yote wataishi kwa kutegemea uelewa mdogo wa jamii inayokuwa tayari kuandamana.

Historia ya Kenya ni tofauti na ya Tanzania. Kenya walipata uhuru kwa vifo vingi hivyo roho za mauaji zipo kwenye anga la nchi yao siku zote.

Tanzania siku moja kabla ya uhuru tarehe 8 Desemba 1961 pale Saint Joseph hii nchi ilikabidhiwa chini ya ulinzi wa Mama Bikira Maria.

Hakutakuja kutokea upuuzi wa vurugu kubwa zenye kuleta vifo vya watu 1,000 au zaidi kama inavyotokea kwa jirani Kenya.

Yanatokea mauaji ya hapa na pale ambayo huwezi kuyaweka kwenye kundi moja na zile vurugu za majirani wa kaskazini yetu.
 
Umesahau kuweka namba ya simu
 
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
Ni kweli watanzania wengi tunaendekeza mambo mepesi kwa kushobokea anasa. Hao unaowakebehi kwa kuingiza ukabila ndio moja ya jamii zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko makabila mengine na la kwenu likiwemo, maana mnachoweza wengine ni uchawa tu.
 
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
Wewe utakuwa2 wale form4 failure waliojiunga na kozi ya mimba ccp
 
Nyie wachagga na SAccos yenu acheni kabisa kuona watanzania wengine wasioshabikia hii saccos kuwa ni wajinga.Hivi hii Saccos inayoongozwa na waliofeli kidato cha nne kama mzee Mbowe na Lema mnao uhalali gani wakuona watanzania wengine ni wajinga ?
Hujitambui
 
Ni kweli watanzania wengi tunaendekeza mambo mepesi kwa kushobokea anasa. Hao unaowakebehi kwa kuingiza ukabila ndio moja ya jamii zilizopiga hatua kubwa kimaendeleo kuliko makabila mengine na la kwenu likiwemo, maana mnachoweza wengine ni uchawa tu.
Acha upumbavu Mangi oko,nakubaliana na wewe hadi mwanzoni wa mika ya tisini hakuna mkoa uliokuwa mbali kamarndelea kama kilimanjaro .Leo hii mikao mingi tu umepiga hatua kiasi kwamba ile tofauti kubwa ya miaka hiyo haipo tena .
Leo hii unakuta Mangi hana hata sent mfukoni zaidi utasikia akisema sisi ji matajiri ?🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…