Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Rock zircon ile earphones kiboko,saiz hazipo tena,nina kz ed9 lakin naona haifati mziki wa rock zircon,naona wadau wanashauri tupande dau tuacheni na upuuuzi wa low budget hizi [emoji2][emoji23]
Mchawi pesa tu ndugu,ukifikiria headphone ya 900k unawaza TV ya ukutani nchi kadhaa hapo imetulia sebuleni au ada ya mtoto au chochote mbadala wake,ila ndio hivyo kila kitu ni maamuzi tu
 

kwamba za 30k na 90k ni fekero[emoji1787][emoji1787]

hivi mnajua sisi wa zile za elfu 5 tunajiskiaje tukisoma vitu kama hivi!!!!

au mpaka aitwe mod ndio mjue kwamba kuna shambulio mmefanya[emoji24][emoji24][emoji24]
 

hizi ndio league zangu sasa,huko kwenye earphone za 700k mnitue kwanza[emoji23]
 
Oraimo za 5000 nikisikiliza mziki najihisi nipo mambele. Balaa lingine zilikuwa NEC siku hizi sizioni.
 
Oraimo za 5000 nikisikiliza mziki najihisi nipo mambele. Balaa lingine zilikuwa NEC siku hizi sizioni.
Aisee, kumbe nazo sio za mchezo
 
kwamba za 30k na 90k ni fekero[emoji1787][emoji1787]

hivi mnajua sisi wa zile za elfu 5 tunajiskiaje tukisoma vitu kama hivi!!!!

au mpaka aitwe mod ndio mjue kwamba kuna shambulio mmefanya[emoji24][emoji24][emoji24]
Mara ya mwisho nilinunua earphone kwa 45k na hazikudumu hapo ndo nkajua SAA ZA MSHALE NA EARPHONE hata ununue ya gaharama vipi unajisumbuaa hasa bongooo..wiziiii tuuuuu
 
Mara ya mwisho nilinunua earphone kwa 45k na hazikudumu hapo ndo nkajua SAA ZA MSHALE NA EARPHONE hata ununue ya gaharama vipi unajisumbuaa hasa bongooo..wiziiii tuuuuu
[emoji23][emoji23]
 
Zina nini humo ndani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Daah kuna comments zimenichekesha sana maisha haya

Anyway sishangai wanaonunua earphones za milioni maana kila mtu ana kile kitu chake fulani ambacho roho inapenda

Kile ambacho yuko tayari kukitolea pesa yoyote ilio ndani ya uwezo wake haijalishi ni kubwa kiasi gani

Lakini pesa hiyo hiyo akiambiwa atoe kununua kitu asichokipenda lazima tu ataiona kubwa na hatokinunua
 
Ni kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…