Sarahivi bei yake si itakuwa balaaAiseeh kuna headphone nilipataga kipindi hicho zinaitwa "creative" back in 2012 nilibahatisha mliman city kwa 100k.huwa nazitafutaga mpaka kesho sijawahi ziona...Zina mziki mmoja umechujika balaa.
Nilipata websita yao ila nitakujaga kuziagiza
Creative Headphones & Aurvana Headsets for best audio - Creative Labs (Pan Euro)
Creative Headphones & Headsets for best audio experience. Wide range of Aurvana headsets, Wireless bluetooth headphones, Noise-isolating & noise cancelling earphones are available for online shopping. Free shipping for orders above €49.00.en.creative.com
Mlimani City kuna Duka la Sony nitapitia nione km watakua nazoRock inawezekana nilipigwa fake product Sony ni hadi za kuagiza , mimi nilinunua kwa dola 49 plus shipping
Akg n400 nilizisikia kwa jamaa flan , zina muziki wa balaa , ni audiophile class , ebay ni dola 86 shiped nafikiria kuziagiza mpunga ukiwa stable.
Mlimani City kuna Duka la Sony nitapitia nione km watakua nazo
Hivi studio headphones unaweza tu kutumia kwa matumizi ya kusikiliza muziki?uliagiza mtandaoni?Jana nimepokea oneodio pro 50, professional studio headphones, ni wired, nimechukua around 90,000tsh/=
Ngoma zinapiga balaa , hazichoshi maskio, very comfortable maskioni,
Kuna music player ya huawei naitumia, ina option ya 3d sound, utadhani studio imehamia kwenye maskio.
(Angalizo: matumizi ya muda mrefu ya headphones/earphones yanaweza hatarisha afya ya maskio,
usizidishe sauti zaidi ya asilimia 60 ya sauti ya kifaa chako )
View attachment 2353366View attachment 2353367View attachment 2353368View attachment 2353369View attachment 2353370View attachment 2353371
Duuuh Sawa MkuuAgiza mkuu , za pale naamini hutaziweza bei
Ile ni sony outlet , kama za ulaya tu, wanakuwa na latest products .ambazo zinakuwa gharama sana , wf xb 700, ni profuct ya 2019 kama sikosei , hutaikuta mlimani city, utazikuta wf 1000xm4, mambo ya laki saba plus
Yah, studio headphones unaweza pia kuskilizia muziki, tena unapata hires sound . Nyingi zina 40 to 50mm driver , so tegemea mziki uliochujika kama wa studioHivi studio headphones unaweza tu kutumia kwa matumizi ya kusikiliza muziki?uliagiza mtandaoni?
OK,asante japo umeongea kitaalamu sana,40-50 mm driver ina kazi gani?Yah, studio headphones unaweza pia kuskilizia muziki, tena unapata hires sound . Nyingi zina 40 to 50mm driver , so tegemea mziki uliochujika kama wa studio
Niliagiza AliExpress, mwezi uliopita mwishoni,
Kuna audio technica pia wapo vizuri Sana, Sema bei za headphones zake zimechangamka .
Mimi natumia moxom
Brand: Moxom.
Model Number: MX-WL22.
Type: Over Ear.
Wireless Version: V5.0.
FREQ: 2.402-2.480GHz.
Speaker: 40mm * 1.
Sensitivity:105±3dB S.P.L at 1KHz.
Lithium Battery: 300 mAh.
Charging time: 2 hours
Playing time=24hrs
Usipo play kitu 33hrs
Bei nilichukua 45k k/kooView attachment 2363614[/QUOTE ] @Farolito mkuu nenda k/koo tafuta hii ni 45k Tu lakini ni balaaa
Bosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]
Upate OG mkuu hata izi JBL za kibongo nyingi famba makumbusho kibao unaletewa na deliveryBOSE never disappoints, it's true American.
Vipi mziki wake ukoje?Mimi natumia moxom
Brand: Moxom.
Model Number: MX-WL22.
Type: Over Ear.
Wireless Version: V5.0.
FREQ: 2.402-2.480GHz.
Speaker: 40mm * 1.
Sensitivity:105±3dB S.P.L at 1KHz.
Lithium Battery: 300 mAh.
Charging time: 2 hours
Playing time=24hrs
Usipo play kitu 33hrs
Bei nilichukua 45k k/kooView attachment 2363614
Da!aisee pole,hivi huwa hawashtakiwi na kampuni yenye hatimiliki?Bosse nilinunua mwaka huu 75k makumbusho nililetewa kabisa delivery juu kumbe ni fake kmmk wachina wapo vizuri Kwa kutoa kitu ukikiona kama OG nilinunua bosse 700[emoji116]View attachment 2363620
Kuna Boss, Bosse, Na Bose yenyewe.Da!aisee pole,hivi huwa hawashtakiwi na kampuni yenye hatimiliki?
Ulizifuma wapi na kwa bei gani?Bose is the best mzee, nilizifuma hizi aisee ni zaidi ya earphones zote nilizowahi kutumia.... View attachment 2363899
Sent from my SM-G930U using JamiiForums mobile app