Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Ni headphone/earphone za brand gani zina ubora wa juu?

Asante,vipi za za 200k au 300k siwezi kupata quality headphones?
Hizo sony WH series ndio zinaanzia bei gani?
Natumia Sony WH-1000xm3 nilinunua June 2019, bei ilikuwa 900K. Iliniuma lakini sijawahi kujuta.

200K unapata headphones nzuri sana, ila make sure ni za ukweli. Angalia online uone brand kama Sony, JBL etc zina bei gani, utapata mwongozo. Ila ukiona mtu anakuuzia Sony kwa 100K kuwa macho.
 
Asante,vipi za za 200k au 300k siwezi kupata quality headphones?
Hizo sony WH series ndio zinaanzia bei gani?
Hii bei unaweza pata hizo hizo za milioni.
1. Jua namna ya kuship vitu toka nje kuja Tz
2. Hakikisha una hela muda wote ipo ready
3. Mara kwa mara cheki deals mbalimbali, utaona tu siku earphone za $500 zinashuka $100 ama $200.
 
Mimi nimeangalia reviews nyingi sana za earbuds/headphones.

Kwa earbuds, Rankings zipo hivi.
1. Sony WF-XM1000
2. Bose Quitecomfort
3. Senheizer momentum 3
4. Airpods Pro

Bei sio za kinyonge though, Sony WF-XM1000 (ninayotumia) inapatikana kuanzia 750,000 na kuendelea.
Mzee sio kinyonge hizo
 
Mie chizi earphones ila siku hizi nimepunguza.
My best choices were:
1.TDK
2.Sony
3.Skull Candy
 
Mimi nimeangalia reviews nyingi sana za earbuds/headphones.

Kwa earbuds, Rankings zipo hivi.
1. Sony WF-XM1000
2. Bose Quitecomfort
3. Senheizer momentum 3
4. Airpods Pro

Bei sio za kinyonge though, Sony WF-XM1000 (ninayotumia) inapatikana kuanzia 750,000 na kuendelea.
Du! Aise hizi bei kweli sio za kinyonge,vipi mziki wake lakini?
 
Natumia Sony WH-1000xm3 nilinunua June 2019, bei ilikuwa 900K. Iliniuma lakini sijawahi kujuta.

200K unapata headphones nzuri sana, ila make sure ni za ukweli. Angalia online uone brand kama Sony, JBL etc zina bei gani, utapata mwongozo. Ila ukiona mtu anakuuzia Sony kwa 100K kuwa macho.
Aisee 900k lazima iume, maana ukifikiria mara mbilimbili unaweza kuahirisha, ulinunua online au?
 
Hii bei unaweza pata hizo hizo za milioni.
1. Jua namna ya kuship vitu toka nje kuja Tz
2. Hakikisha una hela muda wote ipo ready
3. Mara kwa mara cheki deals mbalimbali, utaona tu siku earphone za $500 zinashuka $100 ama $200.
Asante, kwahio kumbe huwa zinashuka bei kutoka $500 hadi $200 au $100?.
Kinachofanya hasa bei ifike mamilioni ni nini?
 
Natumia hii haija ni disappoint,
IMG_2645.jpg
 
Me nitataja Mid rangers tu sio izo JBL za mamilioni.

1. Kwa Mazoezi natumia Redmi Airdot 3 na 3 Lite. (Dot 3 elfu 80 na Lite elfu 50).

2. Kwa music nikiwa ofisini au nafanya kazi kwenye PC natumia Anker Soundcore Q30 (Nilinunua 160).

3. Kwa kukaa tu ofisini na kuongea kwenye cm earpods za Apple gen 1 sio Pro. (Nilinunua 120 used).

Chaji inadumu muda gani endapo ikiitumia non-stop?
 
Back
Top Bottom