realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Huduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.
Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.
Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.
Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.
Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.
Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.
Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.
Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?