Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulinzi wa nchi hasa mipaka (JWTZ)Huduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.
Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.
Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.
Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.
Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
Na wa mikoani Je?Swali zuri sana. Tunafuatilia comments.
Hata hivyo, tunawakumbusha wale wanaopenda kushiriki kwenye Programs za usafi na mazingira katika jiji la DSM kuendelea kujiorodhesha kwa wingi.
Kwa niaba ya Rais jiji la DSM litakuwa safi.
Tunakuja...tunaendelea kuweka mambo sawaNa wa mikoani Je?
Sawa.Swali zuri sana. Tunafuatilia comments.
Hata hivyo, tunawakumbusha wale wanaopenda kushiriki kwenye Programs za usafi na mazingira katika jiji la DSM kuendelea kujiorodhesha kwa wingi.
Kwa niaba ya Rais jiji la DSM litakuwa safi
Tunakuja...tunaendelea kuweka mambo sawa
Nipe miezi mitatu nifikirie manake sipati hata wazo tu ni huduma gani hiyo.Huduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.
Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.
Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.
Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.
Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
rushwa kiukweli wamejipanga vizuri katika hiloHuduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.
Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.
Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.
Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.
Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
sawa basi afanye kwenda extra mile; afanye jambo moja tu la maana litakalo mfanya aishi ndani ya mioyo ya akina mama na watoto wa Tanzania wakati wote; kila mama anayejifungua ampe laki moja tu kama "hongera" badala ya kuzimwaga kwa wacheza mpira ambao tayari ni matajiri;π π π π π Huduma zimeboreshwa hospital lakini
DaahChoo cha kulipia.