Ni huduma ipi inayotolewa na Serikali ndani ya Jamii unaifurahia kwa asilimia kubwa?

Ni huduma ipi inayotolewa na Serikali ndani ya Jamii unaifurahia kwa asilimia kubwa?

Huduma za;
1. Elimu,
2. Afya,
3. Maji Safi na maji taka,
4. Uzoaji wa taka,
5. Mkopo ya Vijana na wakina Mama kwenye Halmashauri,
6. Barabara,
7. Msaada wa kisheria,
8. Makazi.
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Swali zuri sana. Tunafuatilia comments.

Hata hivyo, tunawakumbusha wale wanaopenda kushiriki kwenye Programs za usafi na mazingira katika jiji la DSM kuendelea kujiorodhesha kwa wingi.

Kwa niaba ya Rais jiji la DSM litakuwa safi.
 
Huduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.
Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.
Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.
Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.

Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
Ulinzi wa nchi hasa mipaka (JWTZ)
 
Swali zuri sana. Tunafuatilia comments.

Hata hivyo, tunawakumbusha wale wanaopenda kushiriki kwenye Programs za usafi na mazingira katika jiji la DSM kuendelea kujiorodhesha kwa wingi.

Kwa niaba ya Rais jiji la DSM litakuwa safi.
Na wa mikoani Je?
 
Swali zuri sana. Tunafuatilia comments.

Hata hivyo, tunawakumbusha wale wanaopenda kushiriki kwenye Programs za usafi na mazingira katika jiji la DSM kuendelea kujiorodhesha kwa wingi.

Kwa niaba ya Rais jiji la DSM litakuwa safi
Na wa mikoani Je?
Tunakuja...tunaendelea kuweka mambo sawa
 
Swali zuri sana. Tunafuatilia comments.

Hata hivyo, tunawakumbusha wale wanaopenda kushiriki kwenye Programs za usafi na mazingira katika jiji la DSM kuendelea kujiorodhesha kwa wingi.

Kwa niaba ya Rais jiji la DSM litakuwa safi

Tunakuja...tunaendelea kuweka mambo sawa
Sawa.
 
Huduma ya kufuta vijiji na wilaya. Katika hili hawana mpinzani.

Nawaombea waendelee kukuwa zaidi, ikiwapendeza wafute na nchi kabisa.
 
Huduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.

Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.

Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.

Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.

Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
Nipe miezi mitatu nifikirie manake sipati hata wazo tu ni huduma gani hiyo.
 
Jeshi la wananchi pekee ndio kidogo wanajua wanachofanya hata ukienda hospital zao au maofisini wana-nidhamu ya kazi
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Kuwarundikia mapesa kina Aziz Ki kupitia goli la mama huku kina mama wakipoteza maisha leba kwa kukosa huduma stahiki;
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Huduma zimeboreshwa hospital lakini
 
Huduma zinazotolewa na Taasisi,Idara,Mashirika,Wakala na kwingineko.

Mimi binafsi katika utafiti wangu mdogo idara ya maji inajitahidi sana kutuma bili kwa wakati.

Pamoja na watu wengi kulalamikia bili hizo kuwa zinakuwa na bei kubwa ukilinganisha na matumizi lakini wamepiga hatua kubwa.

Vilevile wamejitahidi kuunda Group za WhatsApp kwa ajili ya kupokea kero za wananchi na kuzitatua kwa wakati.

Vipi kwenye eneo unalotoka huduma zipi zinatolewa vizuri?
rushwa kiukweli wamejipanga vizuri katika hilo
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… Huduma zimeboreshwa hospital lakini
sawa basi afanye kwenda extra mile; afanye jambo moja tu la maana litakalo mfanya aishi ndani ya mioyo ya akina mama na watoto wa Tanzania wakati wote; kila mama anayejifungua ampe laki moja tu kama "hongera" badala ya kuzimwaga kwa wacheza mpira ambao tayari ni matajiri;
 
Back
Top Bottom