Kwani TISS nani asiyewajua siku hizi makada wa CCM wanafanya hiyo kazi, sio lazima uletewe kitambulisho na vitu vingine.Taja kiasi alicholipiwa Dr. Slaa Hotelini na list ya jina la mlipaji. Tutajie pia majina ya walizi wa TISS NA namba za vitambulisho vyao. Huo ndo aina ya ushaidi unaotakiwa
Ndugu yangu jielimishe kujua aina mbalimbali za ushaidi unavyotakiwa uwe itakusaidia kujenga hoja
😂😂😂😂Ushahidi gani sasa unaoutaka?
Ile sadaka aliyoitoa kule Lagos unadhani ilikuwa sadaka kama ya matonya?
EL alimhonga nabii ili tangazo la nabii litangazwe madhabahuni ili liwalainishe walokole lia lia na ndivyo ilivyofanyika.
Slaa akifanywa tu kuwa mbuzi wa kafara.
Maswali ya msingi hukujibu.EL ni mtaji, Dr ni hakuna kitu pale!.
Karibu Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM!
Dr. Slaa hakuwa na uwezo wa kupata hata nusu ya kura za Eddo!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa... mtaji huu ndio Chadema wameutumia. Na kilichowakosesha Chadema ikulu ile 2015 ni kufanya makosa ya kijinga tuu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
P
Anakwepa maswali muhimuMaswali ya msingi hukujibu.
Je, ilikiwa kwa maslahi ya wananchi au ya wachache?
Je, hilo lilitosha kumsafisha na kumwondolea tuhuma walizozunguka wakimtuhumu kwa zaidi ya miaka mitano?
Je, kama mtu waliyemtuhumu kwa miaka 5 wakisema apigwe mawe, wakisema ni fisadi ila ndani ya siku moja wakamsafisha na kumpa kijiti cha kugombea urais, kwanini waaminike kwa tuhuma nyingine watakazozisema au chochote watakachosema maana inawezekana ikawa yale yale kama ya lowassa siku moja wanaweza kusema mwenye ushahidi aupeleke mahakamani.
2010 ilikuwa ni turning point ya cdm kwenda kuchukua nchi 2015. Kuanzia 2010-2015 cdm ndio chama Cha siasa kilichofanya kazi ya siasa kuliko chama kingine chochote. Wakati huo cdm wakifanya kazi ya siasa, Lowassa alikuwa ccm akigawa fedha makanisani. Tukajiandikisha kwa hamasa kubwa kupiga kura tukiamini ccm watampitisha Lowassa, huku tukiita kitambulisho Cha kura kichinjio, kwa kumaanisha ni Cha kumchinjia mbali Lowassa.Lowassa alizikuta kura gani Chadema? Kwanini Dr. Slaa asingezitumia hizo kura kumuondoa yule Kikwete dhaifu 2010?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Daaa so sad2010 ilikuwa ni turning point ya cdm kwenda kuchukua nchi 2015. Kuanzia 2010-2015 cdm ndio chama Cha siasa kilichofanya kazi ya siasa kuliko chama kingine chochote. Wakati huo cdm wakifanya kazi ya siasa, Lowassa alikuwa ccm akigawa fedha makanisani. Tukajiandikisha kwa hamasa kubwa kupiga kura tukiamini ccm watampitisha Lowassa, huku tukiita kitambulisho Cha kura kichinjio, kwa kumaanisha ni Cha kumchinjia mbali Lowassa.
Kwa mshangao wa wengi, uongozi wa cdm chini ya genge la Mbowe kwa maslahi Yao binafsi wakamuuzia Lowassa nafasi ya ugombea urais! Kosa lile la karne limeharibu haiba ya cdm hadi Leo kuwa ni chama Cha waropokaji, na wachafua heshima ya watu kwa tuhuma za uongo. Alaaniwe Mbowe na genge lake kwa kumpa mtu mchafu nafasi adhimu ya kugombea urais kwa maslahi Yao. Lowassa alifanikiwa kuwahadaa viongozi wa cdm kuwa angekwenda na wabunge zaidi ya 50 na madiwani lukuki, kitu ambacho kulikuwa uongozi mkubwa.
Hakuna uongozi makini unaweza kuukota mgonjwa, mchafu asiye na maadili muda mfupi wa kampeni na kumpa nafasi muhimu kama ya ugombea urais. Ukiona hivyo ujue hicho chama hakina uongozi wa maana, bali genge la wapigaji. Kwa hapa Slaa alikuwa sahihi kuzira, japo naye ni boya tu kwa kwenda kujiunga na dhalimu.
Ni kweli ni tuhuma kama Makonda na Lengai Ole walivyosingiziwa bila ushahidi- Part ya 1 ya mada yako, kosa la Dr. Slaa.
Kosa la Dr. Slaa alikuwa msaliti, alinunuliwa na CCM akaenda kufichwa hotelini, kisha akapewa ulinzi na TISS.
Alikuwa msaliti pia kwasababu, wakati wa kumpokea Lowassa alikuwepo, akajua yote yatakayotokea, lakini ghafla akabadilika na kuifuata njia ya CCM.
Nafahamu alinunuliwa na CCM ili apunguze nguvu ya Chadema kwa wakati ule, bahati nzuri licha ya kuhama kwake, bado Chadema ilishinda uchaguzi mkuu 2015 lakini wakaibiwa kura na wakina Nape na Makamba.
- Part 2 kumsimamisha Lowassa.
Alikuwa mgombea mwenye ushawishi kwa wakati ule, hili linathibitishwa na idadi ya kura za urais ilizopata Chadema zaidi ya milioni sita, licha ya kuibiwa kura nyingine na wakina Makamba.
Suala la ruzuku nalo ni sahihi, kwasababu chama kinapopata kura nyingi kwenye uchaguzi, matokeo yake huwa ni kupata ruzuku nyingi pia inayokiwezesha kuendesha chama.
Lowassa aliletwa kwa maslahi ya wananchi, na wananchi hao walikuja kuthibitisha kumuunga mkono kupitia idadi ya kura alizopata kama mgombea urais, alipata kura nyingi ambazo hazijawahi kupatikana kwa mgombea yeyote wa upinzani mpaka sasa.
Suala la kuhalalisha tuhuma za ufisadi zilizowahi kutolewa dhidi ya Lowassa, hapa ndipo kuna "collective responsibility", kwasababu rule inasema; he who alledges must prove.
Bahati mbaya wale waliomtuhumu hawakuwahi kuja na ushahidi, na bahati mbaya zaidi yule aliyemtuhumu kwa kulitaja jina lake kwenye list of shame pale Temeke, Mwembeyanga, akawa wa kwanza kukimbilia kwa wale waliomlea Lowassa.
Above all, usidanganyike na kile kinachoitwa "nguvu ya Dr. Slaa", huo ulikuwa ni msemo tu, kumbuka Dr. Slaa huyo mwenye nguvu aliwahi kushindwa uchaguzi dhidi ya Kikwete aliyeonekana dhaifu 2010, sasa utamuitaje mwenye nguvu mtu wa aina hiyo?!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Mengi ya maelezo yako kumhusu Lowassa upo sahihi, kuanzia kwenda makanisani kuomba kura, mpaka kutuahidi kutuletea wabunge 50 wa CCM, hapo tuko pamoja.2010 ilikuwa ni turning point ya cdm kwenda kuchukua nchi 2015. Kuanzia 2010-2015 cdm ndio chama Cha siasa kilichofanya kazi ya siasa kuliko chama kingine chochote. Wakati huo cdm wakifanya kazi ya siasa, Lowassa alikuwa ccm akigawa fedha makanisani. Tukajiandikisha kwa hamasa kubwa kupiga kura tukiamini ccm watampitisha Lowassa, huku tukiita kitambulisho Cha kura kichinjio, kwa kumaanisha ni Cha kumchinjia mbali Lowassa.
Kwa mshangao wa wengi, uongozi wa cdm chini ya genge la Mbowe kwa maslahi Yao binafsi wakamuuzia Lowassa nafasi ya ugombea urais! Kosa lile la karne limeharibu haiba ya cdm hadi Leo kuwa ni chama Cha waropokaji, na wachafua heshima ya watu kwa tuhuma za uongo. Alaaniwe Mbowe na genge lake kwa kumpa mtu mchafu nafasi adhimu ya kugombea urais kwa maslahi Yao. Lowassa alifanikiwa kuwahadaa viongozi wa cdm kuwa angekwenda na wabunge zaidi ya 50 na madiwani lukuki, kitu ambacho kulikuwa uongozi mkubwa.
Hakuna uongozi makini unaweza kuukota mgonjwa, mchafu asiye na maadili muda mfupi wa kampeni na kumpa nafasi muhimu kama ya ugombea urais. Ukiona hivyo ujue hicho chama hakina uongozi wa maana, bali genge la wapigaji. Kwa hapa Slaa alikuwa sahihi kuzira, japo naye ni boya tu kwa kwenda kujiunga na dhalimu.
SeenHalafu utakuwa wewe nani?
Unajua hata maana ya kilaza kweli wewe?
Au umekariri tu kwa sababu umesikia wengine husema "wewe ni kilaza" na wewe umefyatuka hivyo hivyo?
Pole sana..
AiseeNi kweli ni tuhuma kama Makonda na Lengai Ole walivyosingiziwa bila ushahidi
Kwani kipindi hicho si ndio kipindi ambacho vyama vilishirikiana na kuamua kumpigia kura za urais mtu mmoja ambaye ni Lowassa?- Part ya 1 ya mada yako, kosa la Dr. Slaa.
Kosa la Dr. Slaa alikuwa msaliti, alinunuliwa na CCM akaenda kufichwa hotelini, kisha akapewa ulinzi na TISS.
Alikuwa msaliti pia kwasababu, wakati wa kumpokea Lowassa alikuwepo, akajua yote yatakayotokea, lakini ghafla akabadilika na kuifuata njia ya CCM.
Nafahamu alinunuliwa na CCM ili apunguze nguvu ya Chadema kwa wakati ule, bahati nzuri licha ya kuhama kwake, bado Chadema ilishinda uchaguzi mkuu 2015 lakini wakaibiwa kura na wakina Nape na Makamba.
- Part 2 kumsimamisha Lowassa.
Alikuwa mgombea mwenye ushawishi kwa wakati ule, hili linathibitishwa na idadi ya kura za urais ilizopata Chadema zaidi ya milioni sita, licha ya kuibiwa kura nyingine na wakina Makamba.
Suala la ruzuku nalo ni sahihi, kwasababu chama kinapopata kura nyingi kwenye uchaguzi, matokeo yake huwa ni kupata ruzuku nyingi pia inayokiwezesha kuendesha chama.
Lowassa aliletwa kwa maslahi ya wananchi, na wananchi hao walikuja kuthibitisha kumuunga mkono kupitia idadi ya kura alizopata kama mgombea urais, alipata kura nyingi ambazo hazijawahi kupatikana kwa mgombea yeyote wa upinzani mpaka sasa.
Suala la kuhalalisha tuhuma za ufisadi zilizowahi kutolewa dhidi ya Lowassa, hapa ndipo kuna "collective responsibility", kwasababu rule inasema; he who alledges must prove.
Bahati mbaya wale waliomtuhumu hawakuwahi kuja na ushahidi, na bahati mbaya zaidi yule aliyemtuhumu kwa kulitaja jina lake kwenye list of shame pale Temeke, Mwembeyanga, akawa wa kwanza kukimbilia kwa wale waliomlea Lowassa.
Above all, usidanganyike na kile kinachoitwa "nguvu ya Dr. Slaa", huo ulikuwa ni msemo tu, kumbuka Dr. Slaa huyo mwenye nguvu aliwahi kushindwa uchaguzi dhidi ya Kikwete aliyeonekana dhaifu 2010, sasa utamuitaje mwenye nguvu mtu wa aina hiyo?!
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kwa maana hiyo Lowassa alinunua chadema?Slaa hakuwa na hela,,,,, siasa ni pesa, popote pale duniani
Mimi si Chadema lakini nafikiri kosa lako kubwa hapa, Nehemia Kilave, ni utoto. Tatizo la nyie watoto wa jana ni kwamba hamuijui historia.Ni ipi hasa ilikuwa sababu ya kumsimamisha Edward Lowassa kama mgombea wa Urais CHADEMA 2015? Lipi lilikuwa kosa la Dkt. Slaa?
Slaa aliisaliti chama chake cha kifisadi, CCM, baada ya jina lake kukatwa kugombea ubunge mwaka 1995. Chadema ilimpa hifadhi na hivyo akagombea ubunge kwa tiketi ya Chadema.Ni ipi hasa ilikuwa sababu ya kusimamishwa EL? Je kama ni maslahi ya wachache kulikuwa na haja ya Viongozi wa CHADEMA walioshiriki kuachia ngazi/
Mkuu tuanzie hapa kwa kujiuliza role ya Dr. Slaa kwenye umoja wa ukawa ilikuwa ipi?Tunajifunza kutokana na makosa.
Chama makini kinaangalia makosa ya nyuma ili kujiimarisha.
Hii ndiyo mijadala inayopaswa kujadailiwa ili kujisahihisha katika kujiimarisha.
Umeeleza vizuri tatizo hujawa clear sababu ya CHADEMA kumsimamisha ELMimi si Chadema lakini nafikiri kosa lako kubwa hapa, Nehemia Kilave, ni utoto. Tatizo la nyie watoto wa jana ni kwamba hamuijui historia.
Kihistoria hakuna tofauti yoyote kati ya Slaa na Lowassa. Kwa namna ile ile Slaa alivyotoka CCM na kukimbilia Chadema na kukaribishwa ndivyo Lowassa alivyotoka CCM na kukimbilia Chadema.
Sababu kubwa ya wana siasa malaya kama alivyowahi kusema Baba wa Taifa ni kwamba ni walafi wa madaraka...huku wataka na kule wataka!
Slaa aliisaliti chama chake cha kifisadi, CCM, baada ya jina lake kukatwa kugombea ubunge mwaka 1995. Chadema ilimpa hifadhi na hivyo akagombea ubunge kwa tiketi ya Chadema.
Lowassa aliisaliti chama chake cha kifisadi cha CCM na kutafuta hifadhi Chadema baada ya jina lake kukatwa alipotaka kugombea Urais mwaka 2000!
Hata marehemu mzee wa Kiraracha naye mwaka 1995 pamoja na kupiga vita mageuzi alidandia NCCR baada ya jina lake kukatwa kugombea Urais kupitia chama cha kifisadi cha CCM.
Kwa kifupi ni kwamba awali wote walikuwa mamluki wa Chama cha Kifisadi, CCM. Slaa alimtaka Lowassa kama mtaji wa kuukwaa Urais. Kwa bahati mbaya UKAWA wakamteua Lowassa kugombea, hivyo akazira!
Jibu maswali kiongoziEL ni mtaji, Dr ni hakuna kitu pale!.
Karibu Ujio wa Lowassa CHADEMA: Kuna kundi wamesusa, wanapanga kurejea CCM!
Dr. Slaa hakuwa na uwezo wa kupata hata nusu ya kura za Eddo!. Elections 2015 - Kuelekea 2015: Kama CCM Itamsimamisha Edward Lowassa... mtaji huu ndio Chadema wameutumia. Na kilichowakosesha Chadema ikulu ile 2015 ni kufanya makosa ya kijinga tuu Elections 2015 - Kuelekea 2015: CHADEMA, Don't Miss the Target, Adui Mkubwa sio CCM Bali ni ...
P