Steven Wasira siyo mwenyekiti haina madharaNi ipi sababu ya STIVIN WASIRA kuanzia mwaka 1970 hadi Leo yupo Lumumba anachukua mishahara?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Steven Wasira siyo mwenyekiti haina madharaNi ipi sababu ya STIVIN WASIRA kuanzia mwaka 1970 hadi Leo yupo Lumumba anachukua mishahara?
Kwani Mtei na Makani walinunulika?Huyo hamumtaki kwa kuwa hanunuliki, mmeshindwa kumnunua. Tulieni. Shughulikieni mapungufu yenu huko ccm, yapo mengi
Nyerere akaishia kutuachia CCM na uchumi mbovu.Hata Nyerere ilibidi akae madarakani miaka 22, CDM inamwitaji Mbowe sasa kuliko wakati mwingine wowote!
Wakati wa hao wazee CDM haikuwa na nguvu bado, so ccm wasingehitaji kununua m/kiti wakeKwani Mtei na Makani walinunulika?
Inawezekana wapo wengineKwahiyo chadema nzima ambaye hanunuliki ni mmoja Tu Mbowe pekee yake? Duuh
Hayo umesema wewe..Kwa hiyo ukiondoa Mbowe waliobaki wote Chadema ni wala rushwa(wananunulika?)
Siku ya msiba wake ndo watu watasikia kuwa alikuwa tai mweusi.Siku Mbowe anaachia uenyekiti ndio siku tutaona upinzani halisi Chadema. Kwa sasa ni wakala mwaminifu
Kama watatupatia umeme wa uhakika wapewe nchi, maana Hawa waliopo ni outdated, wamebaki kucheza na maneno tu na wizi wa kura.Hiyo nchi ya kupewa chadema ni nchi gani kweli?
Hawa mkiwapa nchi wanabadili katiba ya nchi mara moja ili rais toka kwao awe madarakani kama mwenyekiti wao.
Uenyekiti wa chama wameugeuza kuwa ufalme!
Kama wewe ni mwanachama wakati ukifika chukua form ugombee kama kura zikitosha utakuwa mwenyekiti.Je CHADEMA watu wenye hakuna uwezo wa kuwa wenyeviti? Mbona kina Mtei na Bob Makani walimuamini inamaana baada ya yeye hakuna mwingine mwenye uwezo?
Ni kipi kinafanyika kwenye chama chetu CHADEMA kinachoonesha uwepo wa Demokrasia ? Ni miaka zaidi ya 20 mwenyekiti yule yule.
Binafsi kama mwanachama huwa najiuza hili swali nikiuliza najibiwa akiondoka chama kinakufa, je kweli?
Je, hakuna namna ikawekwa misingi Imara kama ilivyo kwa Republican na Democratic US?
Au kuna elements za dictatorship kama
Kuamini hakuna mtu mwenye uwezo zaidi yako
Tamaa ya kuendelea kuwepo madarakani?
Kuna muda naona kama anafanya vitu ambavyo vinaipa faida sana CCM kuliko CDM naona akipumzika akawa Mlezi wa chama kinaweza songa mbele zaidi .
Tumia akiliKama wewe ni mwanachama wakati ukifika chukua form ugombee kama kura zikitosha utakuwa mwenyekiti.
Wameshindwa kununua hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu, huo umeme watauiba toka wapi?Kama watatupatia umeme wa uhakika wapewe nchi, maana Hawa waliopo ni outdated, wamebaki kucheza na maneno tu na wizi wa kura.
Kama ukinunua kiwanja Cha kujenga ofisi ya makao makuu ndio unaweza kuleta umeme, ccm kimewashinda Nini?Wameshindwa kununua hata kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu, huo umeme watauiba toka wapi?
Akili finyu sanaHuyo hamumtaki kwa kuwa hanunuliki, mmeshindwa kumnunua. Tulieni. Shughulikieni mapungufu yenu huko ccm, yapo mengi
Bwawa la yule jamaa litaanza kutema mzigo wakati chadema bado hawana hata kiwanja. We subiri uone!Kama ukinunua kiwanja Cha kujenga ofisi ya makao makuu ndio unaweza kuleta umeme, ccm kimewashinda Nini?
Hata bomba la gas mlilosema likifika hapa Dar mgao utakuwa ni historia, bomba liko hapa Dar na porojo ni zile zile. Kipi kinakufanya ujiamini kuhusu hilo bwawa kufanya unachotamani? Isitoshe hilo bwawa sio la ccm, japo unafanya Miradi ya umma ndio kipimo Cha ccm dhidi ya cdm.Bwawa la yule jamaa litaanza kutema mzigo wakati chadema bado hawana hata kiwanja. We subiri uone!
Mwenyekiti amekigeuza chama kuwa shamba la bibi.