Ni ipi hasa sababu ya Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kirefu hivi?

Ni ipi hasa sababu ya Freeman Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti wa CHADEMA kwa kipindi kirefu hivi?

Je, CHADEMA watu wenye hakuna uwezo wa kuwa wenyeviti? Mbona kina Mtei na Bob Makani walimuamini inamaana baada ya yeye hakuna mwingine mwenye uwezo?

Ni kipi kinafanyika kwenye chama chetu CHADEMA kinachoonesha uwepo wa Demokrasia? Ni miaka zaidi ya 20 mwenyekiti yule yule.

Binafsi kama mwanachama huwa najiuza hili swali nikiuliza najibiwa akiondoka chama kinakufa, je kweli?

Je, hakuna namna ikawekwa misingi Imara kama ilivyo kwa Republican na Democratic US?

Au kuna elements za dictatorship kama

Kuamini hakuna mtu mwenye uwezo zaidi yako

Tamaa ya kuendelea kuwepo madarakani?

Kuna muda naona kama anafanya vitu ambavyo vinaipa faida sana CCM kuliko CDM naona akipumzika akawa Mlezi wa chama kinaweza songa mbele zaidi .

Bro kile siyo chama. Ni saccos ya mtu. Kama unanibishia, hakuna mtu awaye yote ambaye ataweza kuwa mwenyekiti wa chama, isipokuwa mwenyekiti aliyepo atangulie mbele ya haki. Kama unabisha acha tuupe muda nafasi. Utapata jibu.
 
Mwamba Tuvushe hawana tofauti na MAGA na MATAGA. Ni vikundi vya kinazi.
 
Je, CHADEMA watu wenye hakuna uwezo wa kuwa wenyeviti? Mbona kina Mtei na Bob Makani walimuamini inamaana baada ya yeye hakuna mwingine mwenye uwezo?

Ni kipi kinafanyika kwenye chama chetu CHADEMA kinachoonesha uwepo wa Demokrasia? Ni miaka zaidi ya 20 mwenyekiti yule yule.

Binafsi kama mwanachama huwa najiuza hili swali nikiuliza najibiwa akiondoka chama kinakufa, je kweli?

Je, hakuna namna ikawekwa misingi Imara kama ilivyo kwa Republican na Democratic US?

Au kuna elements za dictatorship kama

Kuamini hakuna mtu mwenye uwezo zaidi yako

Tamaa ya kuendelea kuwepo madarakani?

Kuna muda naona kama anafanya vitu ambavyo vinaipa faida sana CCM kuliko CDM naona akipumzika akawa Mlezi wa chama kinaweza songa mbele zaidi .
Mbona baba Yako anaendelea kuwa baba yako kipindi kirefu kama hiki
 
Chawa Nehemia Kilave anahoji inakuaje Mbowe ang'ang'anie uenyekiti halafu kwenye thread nyingine anatetea Mbowe kuendelea kuwa mwenyekiti na sio Tundu Lissu.

Kweli uchawa ni kukosa akili.
 
Back
Top Bottom