Huwa wapo vizuri, kwa huku kigamboni hospitali ya kibugumo kuna daktari mzuri, yeye anashona havalishi Pete. Bei 15,000 tuHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Mimi natahiri nyumbani bure kabisa lakini nitaomba tu kubaki na govi, nina kazi nazo sanaHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Miaka 13? Mbona mbali sana Mkuu, mm nilitahiriwa nikiwa na Miaka mitano.Hao bado wadogo, subiri wafike 13yrs
Cc uku kwetu mtt akitimiza 40 tu toka kuzaliwa kwake anatahiriwaHao bado wadogo, subiri wafike 13yrs
Lugalo TPDF HOSPITALHabari zenu jamani naulizia hospitali gani nzuri ya serikali kwa Dar es salaam ambayo inatoa huduma ya kutahiri watoto wa kiume. Nipo na watoto wawili mmoja miaka 9 mwingine miaka 7 nataka watahiriwe wiki hii.
Niligoogle namba za Dk. Juma wa Kariakoo wanamsifu sana lakini bei zake zimechangamka. Sh elfu 60 kwa kila mtoto jumla laki na 20 sina hiyo pesa.
Je kwenye kila hispitali ya serikali hiyo huduma huwa inakuwepo? Naishi Chanika
Hannah wana kigamboni wanaongezeka, huyu tumpe ukatibu ama?Huwa wapo vizuri, kwa huku kigamboni hospitali ya kibugumo kuna daktari mzuri, yeye anashona havalishi Pete. Bei 15,000 tu
kwanini unamchelewesha mkuuNategemea kutahili wangu atakapomaliza Drs la SITA,akiwa na 12 yrs
Kwa nini unasema wadogoHao bado wadogo, subiri wafike 13yrs
Ajiangalie yeye atajuaKwa nini unasema wadogo
Wanadai itakuwa kiba100,kwanini unamchelewesha mkuu
kwahiyo Mungu alikuwa mjinga kuwaambia waisraeli watairi baada ya siku 8?Wanadai itakuwa kiba100,
Mkuu Mimi sio muizrael,au wewe muizrael?kwahiyo Mungu alikuwa mjinga kuwaambia waisraeli watairi baada ya siku 8?
digba sowey mkeketaji mkuu kutoka unanswered cries😂Mimi sio muizrael,au wewe muizrael