Ni ipi kazi ya shanga kwenye mahusiano?

Ni ipi kazi ya shanga kwenye mahusiano?

🤣🤣🤣🤣🤣Weweeee,,,mi kabila langu wanavaa shanga tangu enzi za mababu,nilikwambia ukiwa JF inabidi uishi kama FBI mi sio MPARE,
Sema style ya mahaba ninayoipenda Mimi sio mambo ya shanga na Udi,Mimi ni "roses, chocolate and wine"
Wengine tunajiachia tu, codes chache tunaweka ili kupunguza matatizo. Najua we sio mpare, nasemea huko kwetu na hizo shanga wapi na wapi!!
 
Utamu una anzia kwenye k hizo nyingine mbwembwe hata uvae shanga za kujaza kiuno hadi shingoni kama ile kitu sio tamu ni kazi bureee
Mengine tunamuachia Mungu, binadamu hawezi kujiumba, ndio maana wanaongezea vya ziada; kupata k mnato si rahisi, wapo wachache sana.
 
Back
Top Bottom