Ni ipi kazi ya shanga kwenye mahusiano?

Ni ipi kazi ya shanga kwenye mahusiano?

ukiona hujui maana ya shanga ujue hujui kuzitumia, hizo zina namna zikinyonywa lazima mwanamke umpandishe mzuka, inapendeza shanga moja tu yenye nakshi na rangi kueleweka, by the way unavyoikatikia jinsi shanga zinakugusa gusa lazima ufike mshindo
 
Mimi sinaga mavuzi, pako soft n smooth [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Na kazi ya shanga naiujua atii, sio msungo mie nitoe siri za unyagoni!!!

Sema nakuibia hii moja siku nyingine fungua shanga moja iingize na dyudyu kwenye kei, majibu utabaki nayo usiniletee [emoji6]
Inaweza ikatairi kichwa kwa mara ya pili, au ikaleta mpasuko kwenye kichwa; naona itakuwa hatari kwa afya ya kitendea kazi 😀 😀
 
Yeah lazima inase tu
Yaani kwa kifupi hizi shanga, vikuku, vipin puani, kipini kwa ulimi, toe ring, vipini vya kwenye K, kwenye kitovu huwa zinatudatisha sana baadhi ya wanaume tukiona manzi amevaa

Mimi inafika kipindi nikiona manzi ametoboa sikio zaidi ya matundu mawili akayatia hereni fulani hivi zenye mvuto huwa namtamani sana kingono

Sijui hivi vitu huwa vina nini aisee
 
MI NAVYOJUA SHANGA ESPECIALLY VIJIJINI AU MJINI UVALISHWA WATOTO WANAOKARIBIA KUVUNJA UNGO ILI KUWATENGENEZA KIUNO YAAN KIUNO DONDOLA NA KULETA AKSHI(MSISIMKO) WAKATI WAKUFANYA MAPENzi
 
Back
Top Bottom