Mama Mwana
JF-Expert Member
- Jun 6, 2023
- 2,435
- 7,784
- Thread starter
- #21
hahaha bado sjajua kwa nn hua hivyoNi kukutakia heri tu ndugu,hiyo huambatana na maneno mazuri ya kukutia moyo na kouona mchango wako kwa watu wako.kuna mtu ulimgusa jwa namna moja au nyingine au hata ni kipenz chako anamua kukupa zawadi.ni hongera pia kwa kujitunza maana maisha na afya vinaanza na wewe kwanza