Ni ipi logic ya kupewa hela au zawadi yoyote siku ya kuzaliwa kwako?

Ni ipi logic ya kupewa hela au zawadi yoyote siku ya kuzaliwa kwako?

Kwangu hakuna mambo ya birthday na watoto wameshazoea hivyo. Hawana mzuka kabisa na birthday zao zaidi ya kusali baas.

Nimewaambia jambo zuri ni kumpenda ndugu yako, mpongeze kila wakati ikibidi na sali mara nyingi uwezavyo.

Sitaki wanangu waje kuendeshwa na kasumba za hii dunia.
Wewe ni dingiii kabisaa, mungu akutunze kwa ajili ya wanao. Najua hata kwenye kuwasapoti 'in whatever they wish to' upo naooo.....heshima yako faza
 
Wewe ni dingiii kabisaa, mungu akutunze kwa ajili ya wanao. Najua hata kwenye kuwasapoti 'in whatever they wish to' upo naooo.....heshima yako faza
Ahsante.
Nipo nao bega kwa bega. Wao ndio furaha yangu.
Namshukuru MUNGU
 
Back
Top Bottom