Ni ipi logic ya kupewa hela au zawadi yoyote siku ya kuzaliwa kwako?

Wewe ni dingiii kabisaa, mungu akutunze kwa ajili ya wanao. Najua hata kwenye kuwasapoti 'in whatever they wish to' upo naooo.....heshima yako faza
 
Wewe ni dingiii kabisaa, mungu akutunze kwa ajili ya wanao. Najua hata kwenye kuwasapoti 'in whatever they wish to' upo naooo.....heshima yako faza
Ahsante.
Nipo nao bega kwa bega. Wao ndio furaha yangu.
Namshukuru MUNGU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…