Synthesizer
Platinum Member
- Feb 15, 2010
- 12,699
- 22,598
Sikujua tulikuwa tunashindana. Ningejua ulikuwa unafanya mashindano ningekupiga kwa hoja kali hata zaidi!Unaongea kutokana na ubishi, ujuaji na mihemko vimekujaa!
Haya umeshinda! We ndo unajua zaidi na wewe ndo upo sahihi na wewe ndo umeshida ππ
Unataka umfue kama dafu?Kuwa makini dawati watakusomba juu kwa juu uwe unapimiwa chai kama dawa ya kifua.Mkuu unamaanisha niwe na mfua kila mara au imekaaje ndugu yangu?
Hahahahahahah ni kawaida yao akina Mankaa.Siyo mpare ni mtani wake
He will learn the hard way lets give hands to time.Loading failed ukweli mchungu ni kuwa, 'mwanamke hatoacha kukupima maisha yako yote' hivyo kamwe usilegeze kamba, tena kama ndiyo 'wenzangu na Mimi' ushasema, hili kabila kuna namna tupo bold naturally tu, yaani ukiwa dhaifu hakuna rangi utaacha kuona..!!
Kuwa mkali, kuwa na misimamo, hakikisha sana usiyumbishwe, ukikubali kuwa chini kwenye moja amini nakuambia umefungua mlango kuletewa ujeuri kwenye lingine..!! Hakuna mwanamke anapenda mwanaume dhaifu, laini laini, analegeza legeza, tunapenda wanaume wenye AMRI, na Ile MANHOOD hasa..!! kama wewe ni wa zile za 'babe babe' kwenye kila situation shauri yako,
Mwanamke wako akizingua unatakiwa uwashe moto hasa mzee, ukimuangalia jicho moja anaomba samahani, nyie endeleeni na mapenzi ya Kikorea..!!
π€£Hawajelelewa kivipi mzee, ukiwa legelege mwanamke haitaji kuwa mpare kabisa hata mzaramo atakuburuzaKwa uhalisia Wapare hawajalelewa vizuri.
Mi nanaye huwa namcheki tu
Achana na huyo dada mara moja kabla haujapewa limbwataNdugu zangu wana Jf Salaam sana.
Ndugu zangu kweli mimi nilikua mkereketwa wa chama cha wanaokataa ndoa ila mwisho wa siku niliona huwezi kuwa rijali na ukakataa kuishi na mwanamke . Nilikusanya akili zangu na kuamua kuoa sasa leo hii nipo hapa kuomba ushauri wa namna nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonyesha kila dalili ya kutaka kumtawala mwanaume.
Mimi nimeoa ila kipindi cha uchumba mke wangu alikua ananisikiliza sana na alikua nikimuongoza anafata kwa usahihi yale yote niliyokua na mwelekeza na alinionyesha tabia njema mpaka nikavutiwa kumuoa
Sasa Kilichokuja kutokea ni baada ya kumuoa ndiyo ameanza kunionyesha mabadiliko mara kwa mara.
1: MKE WANGU, Amekua akinionyesha kwa maongezi na vitendo vyake kwamba ana kila dalili ya kutaka kunitawala mimi mume wake , hata kupitia mazungumzo yake na lawama zake unaona kabisa hapa anatak kunitawala.
2: MKE WANGU, Amekua akinitaka mimi mume wake nifate kila utaratibu wa maisha anaosema yeye jambo ambalo linaashiria kabisa anataka mimi mume wake nikae kwenye mfumo jike wake na siyo yeye kukaa kwenye taratibu zangu
3: MKE WANGU, amekua akiishi na mimi kama mtu mwenye machale machale mguu nje mguu ndani na mara nyingi tukipishana kauli amekua akiniambia kama simtaki au nimemchoka ni mwambie aondoke.
4: MKE WANGU, amekua akiongea kauli ambazo zinakua na amri amri ndani yake mfano, nataka , naenda, nipe, niletee, kama hutaki niambie au fanya.
5: MKE WANGU , amekua akijifanya yeye ni mweye misimamo mikali hata kama haina maana yeyote ile, aking'ang'ania jambo ameling'ang'ania hasa.
6: Mbali na yote hayo hata akiongea ujinga , akikosea au akinijia juu anataka mimi ndo nishuke nianze kumbembeleza na kumwelekeza kwa upole. na siyo yeye kushuka kama ilivyo desturi ya mwanamke awe mnyenyekevu na mtiifu kwa mumewe.
Nb.
Ndugu zangu mimi kwa upande wangu kaa mwanaume kuhusu majukumu mengine kweli mke wangu anajitahidi ila kuhusu hayo hapo juu nimeweka msimamo kwamba sipoteyari kwa namna yeyote ile kukubaliana na mambo yake na kila mara na mwambia mwanaume ndiye nguzo, msimamizi na kiongozi wa mwanamke.
SASA NIPO HAPA NAOMBENI NAMNA NZURI YA KUISHI NA MKE WANGU MWENYE KILA DALILI YA KUTAKA KUNITAWALA NA KUTAKA MIMI NDIYE NIWE NA MSIKILIZA YEYE NA MWENYE KUJISHUSHA KWAKE MAANA MIMI SIPO TEYARI KABISA KUKUBALIANA NA MAMBO YAKE.
"" MSINISHAURI NI ACHANE NAE MAANA KWA STYLE HII NIMESHA WAACHA WENGI SANA"
ASANTEN:;-
Unahangaika bure tu, mbadilikie ajue kwamba una sura mbili. Huwezi kuishi na mwanamke ukiwa na profile moja kwake haswa ile ya Laissez faire tu.Acha iteketee ila sishuki hakika, hapa nikutafuta njia ya kuishi nae ambayo atajikuta kajiteketeza yeye mwenyewe huku ndoa ikimcheka kwa upumbavu wake
Nop huyu sio Gily Gru ninayemjua akaunti imevamiwaAcha kushindana nae. Hata kama akikuumiza usionyeshe kama umekereka
Uwe unamfanyia Yale anayokukera aki mimd mulize mbona ulinifanyia hivi
Kuwa a very bad boy, usimfanye apumzike.
Onyesha kuwa na amri. Amka saa nane za usiku mwambie akutengenezee Chai, maziwa au mpe kikazi.
Usimjali sana akikwambia anaondoka cheka kwa dhihaka. Msikitikie
Usiache kumfira, usimfire kistaarabu...kumbuka ushauri wa mwanzo
Labda mleta uzi anaangalia sana movie za kihindi kazoea kumuona Sharukhan akimlilia mpenzi wake na yeye anafanya hivyo hivyoLoading failed ukweli mchungu ni kuwa, 'mwanamke hatoacha kukupima maisha yako yote' hivyo kamwe usilegeze kamba, tena kama ndiyo 'wenzangu na Mimi' ushasema, hili kabila kuna namna tupo bold naturally tu, yaani ukiwa dhaifu hakuna rangi utaacha kuona..!!
Kuwa mkali, kuwa na misimamo, hakikisha sana usiyumbishwe, ukikubali kuwa chini kwenye moja amini nakuambia umefungua mlango kuletewa ujeuri kwenye lingine..!! Hakuna mwanamke anapenda mwanaume dhaifu, laini laini, analegeza legeza, tunapenda wanaume wenye AMRI, na Ile MANHOOD hasa..!! kama wewe ni wa zile za 'babe babe' kwenye kila situation shauri yako,
Mwanamke wako akizingua unatakiwa uwashe moto hasa mzee, ukimuangalia jicho moja anaomba samahani, nyie endeleeni na mapenzi ya Kikorea..!!
Atakuwa Mjamzito, akijifungua atabadilika.kuwa uvumilivu..Ndugu zangu wana Jf Salaam sana.
Ndugu zangu kweli mimi nilikua mkereketwa wa chama cha wanaokataa ndoa ila mwisho wa siku niliona huwezi kuwa rijali na ukakataa kuishi na mwanamke . Nilikusanya akili zangu na kuamua kuoa sasa leo hii nipo hapa kuomba ushauri wa namna nzuri ya kuishi na mwanamke anayeonyesha kila dalili ya kutaka kumtawala mwanaume.
Mimi nimeoa ila kipindi cha uchumba mke wangu alikua ananisikiliza sana na alikua nikimuongoza anafata kwa usahihi yale yote niliyokua na mwelekeza na alinionyesha tabia njema mpaka nikavutiwa kumuoa
Sasa Kilichokuja kutokea ni baada ya kumuoa ndiyo ameanza kunionyesha mabadiliko mara kwa mara.
1: MKE WANGU, Amekua akinionyesha kwa maongezi na vitendo vyake kwamba ana kila dalili ya kutaka kunitawala mimi mume wake , hata kupitia mazungumzo yake na lawama zake unaona kabisa hapa anatak kunitawala.
2: MKE WANGU, Amekua akinitaka mimi mume wake nifate kila utaratibu wa maisha anaosema yeye jambo ambalo linaashiria kabisa anataka mimi mume wake nikae kwenye mfumo jike wake na siyo yeye kukaa kwenye taratibu zangu
3: MKE WANGU, amekua akiishi na mimi kama mtu mwenye machale machale mguu nje mguu ndani na mara nyingi tukipishana kauli amekua akiniambia kama simtaki au nimemchoka ni mwambie aondoke.
4: MKE WANGU, amekua akiongea kauli ambazo zinakua na amri amri ndani yake mfano, nataka , naenda, nipe, niletee, kama hutaki niambie au fanya.
5: MKE WANGU , amekua akijifanya yeye ni mweye misimamo mikali hata kama haina maana yeyote ile, aking'ang'ania jambo ameling'ang'ania hasa.
6: Mbali na yote hayo hata akiongea ujinga , akikosea au akinijia juu anataka mimi ndo nishuke nianze kumbembeleza na kumwelekeza kwa upole. na siyo yeye kushuka kama ilivyo desturi ya mwanamke awe mnyenyekevu na mtiifu kwa mumewe.
Nb.
Ndugu zangu mimi kwa upande wangu kaa mwanaume kuhusu majukumu mengine kweli mke wangu anajitahidi ila kuhusu hayo hapo juu nimeweka msimamo kwamba sipoteyari kwa namna yeyote ile kukubaliana na mambo yake na kila mara na mwambia mwanaume ndiye nguzo, msimamizi na kiongozi wa mwanamke.
SASA NIPO HAPA NAOMBENI NAMNA NZURI YA KUISHI NA MKE WANGU MWENYE KILA DALILI YA KUTAKA KUNITAWALA NA KUTAKA MIMI NDIYE NIWE NA MSIKILIZA YEYE NA MWENYE KUJISHUSHA KWAKE MAANA MIMI SIPO TEYARI KABISA KUKUBALIANA NA MAMBO YAKE.
"" MSINISHAURI NI ACHANE NAE MAANA KWA STYLE HII NIMESHA WAACHA WENGI SANA"
ASANTEN:;-
Chukua ushauri huu hapa, ajabu hakuna mwanaume aliyetoa ushauri wa kiume kama huu, inaonesha the level of emasculation in our society. Wanawake wachagga na wapare ni feminists by nature, nafikiri wengi wamekuzwa kwenye matriachy family (Mother rules) so kazi yao ni kuwafundisha wanaume kuwa wanaume, ukilegeza umeliwa.Loading failed ukweli mchungu ni kuwa, 'mwanamke hatoacha kukupima maisha yako yote' hivyo kamwe usilegeze kamba, tena kama ndiyo 'wenzangu na Mimi' ushasema, hili kabila kuna namna tupo bold naturally tu, yaani ukiwa dhaifu hakuna rangi utaacha kuona..!!
Kuwa mkali, kuwa na misimamo, hakikisha sana usiyumbishwe, ukikubali kuwa chini kwenye moja amini nakuambia umefungua mlango kuletewa ujeuri kwenye lingine..!! Hakuna mwanamke anapenda mwanaume dhaifu, laini laini, analegeza legeza, tunapenda wanaume wenye AMRI, na Ile MANHOOD hasa..!! kama wewe ni wa zile za 'babe babe' kwenye kila situation shauri yako,
Mwanamke wako akizingua unatakiwa uwashe moto hasa mzee, ukimuangalia jicho moja anaomba samahani, nyie endeleeni na mapenzi ya Kikorea..!!
"Kwani unatakaje?" men with ballsHuyo kama akiwa anakuletea zile za kama hautaki sema ,Wewe muulze kwani ww unatakaje!? Sjui nataka uje nyumbani sshv kama upo busy mwambie kwa sasa nko busy ila baadae kdgo nitakuwa home akianza kama kufoka muulze huko kufoka kwako unamaanisha nn yani! Unatakaje sasa, Niamini atakuwa anatulza mshono.
Ndo mpaka uwe mtu wa hovyo sasa π€£Mfanyie vitu vya kishenzi shenzi. Mfano, uwe unamla ndogo tigo kila siku asubuhi
Huo kumfira ni mfano tu, Mungu hapendi.
Maana yake ukimfanyia vitu vya kishenzi shenzi unqmvuruga mda wote hapoi roho yake iko juu juu atakupenda sana.
Wanawake wanapenda wanaume wa ovyo, ukiwa mstaarbu sana anakuona Lofa anakupanda.
Acha kushindana nae kabisa
Hereππππππdada zangu nawajua ....usipokua mwanaume watakutia vidole machoni watakuburuza haswaaa...in short mkeo Ni anakuendesha ameona umekaa kilofa.....be strong as man Kuwa mwanaumeNi kaskazini mkuu
NakaziaChama bado kinakuita mkuu.
Hapo lazima ugangamale na uwe na misimamo zaidi yake, ukorofi na nginjanginja nyinginezo.
N.B Namba 3, ikitokea akasema tena mwambie aondoke bila kupepesa macho, akiondoka usimfuate hata iweje