Loading failed ukweli mchungu ni kuwa, 'mwanamke hatoacha kukupima maisha yako yote' hivyo kamwe usilegeze kamba, tena kama ndiyo 'wenzangu na Mimi' ushasema, hili kabila kuna namna tupo bold naturally tu, yaani ukiwa dhaifu hakuna rangi utaacha kuona..!!
Kuwa mkali, kuwa na misimamo, hakikisha sana usiyumbishwe, ukikubali kuwa chini kwenye moja amini nakuambia umefungua mlango kuletewa ujeuri kwenye lingine..!! Hakuna mwanamke anapenda mwanaume dhaifu, laini laini, analegeza legeza, tunapenda wanaume wenye AMRI, na Ile MANHOOD hasa..!! kama wewe ni wa zile za 'babe babe' kwenye kila situation shauri yako,
Mwanamke wako akizingua unatakiwa uwashe moto hasa mzee, ukimuangalia jicho moja anaomba samahani, nyie endeleeni na mapenzi ya Kikorea..!!